Wizara ya Afya chukueni tahadhari kuhusu COVID-19, Waganda wanateketea

Tusitishane! RIE&P our great African hero πŸ’” Hon Dr JPM πŸ™πŸ˜­!
 
Wa TZ sijui nani katuloga? Hakuna taadhari yeyote sasa hivi vitakasa mikoni maji tiririka vyote wametupa mbali

Heri kipindi cha Mwendazake
Wewe ndio huchukui tahadhari. Unategemea nani akuambie nawa mikono? Unasubiri rais ndiye akuambie kunawa mikono? Pole! Usilaumu mtu au kiongozi yeyote, jilaumu mwenyewe. Uganda walishapata chanjo!
Ndio mjue kuwa chanjo mbali na kuwa haikukingi kikamilifu na corona lakini pia kwa vyovyote vile huwezi kupata chanjo ya kuchanja asilimia 70 ya watu ili kufikia kinga madhubuti kwenye jamii yaani herd immunity! Hata hao wanaojifanya kutengeneza chanjo kama marekani, India Uingereza nk hawajaweza kifikia 70%. Kama WHO wakifikia malengo yao kwa asilimia 100%, basi nchi zenye uchumi mdogo zitapata chanjo asilimia 20% ya watu wake kitu ambacho hakisaidii chochote kwenye kuikinga jamii dhidi ya corona!
Kwa taarifa yako Tz tuko vizuri, Mungu alishatuponya, ukikataa ukweli huo corona itakutambua na itakufuata peke yako na nyumba yako! Corona na Tz inayokiri uponyaji wa Mungu ni sawa na paka na panya!
 
Kwetu n
Huku ni wimbi la tatu sio pili
 
Hero gani anakufa kabla hajawamaliza mabeberu?
Hivi ni ww au kuna mtu anatumia akaunti yakoπŸ˜€!? Ww leo wa kumgeuka Magufuli duh, ukistaajabu ya Mussa...πŸ€”! Please JPM usijali ya hawa viumbe
RIEP&P our forever beloved president Hon Dr JPM πŸ™πŸ˜­!
 
Sawa mwerevu...Ila nataka nikuhakikishie kufa kupo..Kama uspokufa kwa Corona ..utakufa kwa malaria..ama ugonjwa wowote ule..kikubwa ishinde hofu ya kifo kwa kuomba Mwenyezi Mungu ..zingatia kuimarisha Kinga ya mwili wako..jiepushe na maambukizi kwa kuchukua hatua mwenyewe...huu ugonjwa ni kama magonjwa mengine tu..Ila unakuzwa Sana Ili kuzalisha hofu ambayo inawazubaisha watu na kuwwkatisha tamaa watu ya kuchukua hatua za kujikinga na kuimarisha afya zao....

Amka asubuhi piga zoezi lako mujarab..kunywa maji ya vuguvugu ama chai changanya na limao kila siku..huyo corona atakuacha ..

Pia ..zingatia..Iman yako ikishuka na ukawa na hofu Sana ..ni rahisi kufa.

Uwe hai.
 
Kwann hatuchukui tahadhari? Nimapata shaka n serikali yetu. Kwa mapendekezo y kamati kuna mambo yalistahili hivi ss yawe yamekekatazwa n mingine kutiliwa msisitizo. Kupiga marufuku mikusanyiko km vile viwanja vya michezo, mahurusi, mikutano mbali mbali. Watu wavae barako haswa kwenye mabasi. Mungu tusaidie
 
Leo tunamuuguza ndugu yetu ambaye amedhibitika kuwa na covid-19. Naye alipata hospitalini alipokuwa anauguza mgonjwa aliyelazwa wodini. Je tuseme nini? Tujifunze kusema kweli ili kweli ituweke huru!
Hakika
 
Taratibu ndugu, hata hivyo Waganda ni asilimia ndogo sana waliochanjwa hadi sasa na chanjo huwa haizuii mtu kuambukiza mwingine asie na korona ,na nyie mlioko mpakani sijui wale wa Kagera, kaeni chonjo! Kila mtu apambane na hali yake!
Nina ndugu kagera kuna shida inaendelea ..tuchukue tahadhari ..
 
Ivi hili tatzo linaisha lini. Mbna linatuandama sana. Dah!
 
Sisi Jemedari wetu alitufanya tukapata immunity ya kutosha . Endelea kuchukua tahadhari. Hao wanaovaa barakoa miaka miwili sasa si ndio hao waganda haya wameipataje corona. Haya Jemedari Magufuli hatunae mbona hamvai barakoa sasa?
 
Sasa kazi ya chanjo ni nini ikiwa haizuii maambukizi?
Ndio mjiulize mnaoingangania na sasa mashirika ya ndee yanaanza kuwakataa waliochanja kuepuka kuganda kwa damu huko hewani. Mtamkumbuka Jemedari genious wetu. Mtajijua sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…