No SQL
JF-Expert Member
- Nov 8, 2014
- 7,063
- 12,563
Si ndio hapo et leo wanajifanya sio..'money oriented'..kifupi hospitalini hakuna utuNa hakuna mwanadamu wa kawaida anayeweza kungangania maiti kama sio mchawi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si ndio hapo et leo wanajifanya sio..'money oriented'..kifupi hospitalini hakuna utuNa hakuna mwanadamu wa kawaida anayeweza kungangania maiti kama sio mchawi.
Itakuwa Marangu hiyo!
Hahahaaaa........ Ndio maana anawafanyia ubaya akina meku!Huyu daktari namjua tunaishi naye mtaa mmoja
Ni CCM kindakindaki km Johnthebaptist
Hahahaaaa........ Ndio maana anawafanyia ubaya akina meku!
Umeelewa mada lakini?Upumbavu wa enzi za JK wa watu kupasuliwa vichwa badala ya miguu umeanza kurudi tena,
WEWE UMEONA MBALI. WIZARA INAWACHONGANISHA WAHUDUMU WA AFYA NA WANANCHI. MFANO SUALA LA KUZUIA MAITI NA HILI LA MALIPO SIO RAIS WALA WIZARA WALIOLISEMEA.Ndivyo walivyo...kwan kumnyima mtu maiti si kitu hiki hiki...vyote kutanguliza pesa na sio utu
Hakuna doctory mwente roho nzuri ni utu tuu wanafanya kiutendajiana roho mbaya hivyo.
Aisee apatikane haraka sana.
Hafu anajitetea eti bila aibu na gloves zake.
Tangu nione sijazaliwaWizara ya Afya imepokea kwa masikitiko makubwa taarifa hii inayozunguka mitandaoni kuwa, mtaalamu wa Afya katika kituo ambacho bado hakijatambuliwa amemshona mgonjwa jeraha kisha akalifumua kwa madai kuwa mgonjwa huyo hakuweza kulipia gharama. Ikiwa hili limetokea nchini Tanzania, basi ni ukiukwaji mkubwa wa huduma za kitabibu. Hivyo, wizara inaomba wenye taarifa za wapi huku au kituo gani wawasilishe mara moja kwa namba ya huduma kea mteja 199 ya wizara ya afya au watume ujumbe mfupi kwenye namba ya waziri wa Afya ya 0734124191.
View attachment 1923425