Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Kilichonishangaza zaidi ni huyo mgonjwa kuachwa kajilaza chini na huku wakubwa wanamjadili utafikiri kama ni ng’ombe na sio binadamu
Najua wengi hawalioni hili kwa sababu wamezoeshwa udhalilishaji
Yaani badala ya huyo anaejinasibu zaidi ya mara 10 kuwa wao ndio wakubwa
Ameshindwa kutumia busara na kusema aondolewe hapo na awekwe hata sehemu safi
Au mimi ndio mkorofi
Najua wengi hawalioni hili kwa sababu wamezoeshwa udhalilishaji
Yaani badala ya huyo anaejinasibu zaidi ya mara 10 kuwa wao ndio wakubwa
Ameshindwa kutumia busara na kusema aondolewe hapo na awekwe hata sehemu safi
Au mimi ndio mkorofi