Dreadnought
JF-Expert Member
- Mar 25, 2013
- 2,876
- 3,942
Nchi zilizoendelea huwezi kuta mambo kama haya.
Shida Africa tunafanya kazi sababu ya maslahi na si wito. Kazi kama za afya na ualimu huhitaji passion vinginevyo ndo haya tunayoyaona.
Huwa nasikitika sana.
Shida Africa tunafanya kazi sababu ya maslahi na si wito. Kazi kama za afya na ualimu huhitaji passion vinginevyo ndo haya tunayoyaona.
Huwa nasikitika sana.