Wizara ya Afya yamtafuta mtaalamu aliyefumua jeraha la mgonjwa baada ya kushindwa kulipa hela

Wizara ya Afya yamtafuta mtaalamu aliyefumua jeraha la mgonjwa baada ya kushindwa kulipa hela

Nchi zilizoendelea huwezi kuta mambo kama haya.

Shida Africa tunafanya kazi sababu ya maslahi na si wito. Kazi kama za afya na ualimu huhitaji passion vinginevyo ndo haya tunayoyaona.

Huwa nasikitika sana.
 
Muache mihemko

Msikilize na madai ya muhusika


Asipolipa mgonjwa muhudumu atalipia yeye
Mbona majeneza mnanunua? Yani mtu akuhudumie halafu ghalama azilipe yeye?
Tuma akili kidogo. Mpaka anamtibu majeraha gharama zimeshatumika. Sasa kufumua jeraha hakurudishi gharama
 
WEWE UMEONA MBALI. WIZARA INAWACHONGANISHA WAHUDUMU WA AFYA NA WANANCHI. MFANO SUALA LA KUZUIA MAITI NA HILI LA MALIPO SIO RAIS WALA WIZARA WALIOLISEMEA.

HUYO MGONJWA ANGEONDOKA BILA KULIPA HUYU MUUGUZI ANGEKATWA MSHAHARA.

USHAURI: WIZARA ITOE WARAKA WA KUELEWEKA KUHUSU KUZUIA MAITI NA GHARAMA ZA MATIBABU KWA WAGONJWA WASIO NA UWEZO.

HELA ZA TOZO NA MAFUTA ZIKATOE HUDUMA BURE ZA AFYA NA ELIMU.
Uko toooo negative kwa kila jambo.
Kaa utulie
 
Muache mihemko

Msikilize na madai ya muhusika


Asipolipa mgonjwa muhudumu atalipia yeye
Mbona majeneza mnanunua? Yani mtu akuhudumie halafu ghalama azilipe yeye?
Madai yake hayana mashiko hata kidogo huyo mpuuzi,nikuulize baada ya kumfumua hio hela amepewa?kuna njia nyingi angetafuta na sio kuweka rehani maisha ya mgonjwa huo ni uuaji
 
Mhhh hata hivyo sdhan kama kuna madawa huko hospital
 
Back
Top Bottom