Dreadnought
JF-Expert Member
- Mar 25, 2013
- 2,876
- 3,942
Tuma akili kidogo. Mpaka anamtibu majeraha gharama zimeshatumika. Sasa kufumua jeraha hakurudishi gharamaMuache mihemko
Msikilize na madai ya muhusika
Asipolipa mgonjwa muhudumu atalipia yeye
Mbona majeneza mnanunua? Yani mtu akuhudumie halafu ghalama azilipe yeye?
Uko toooo negative kwa kila jambo.WEWE UMEONA MBALI. WIZARA INAWACHONGANISHA WAHUDUMU WA AFYA NA WANANCHI. MFANO SUALA LA KUZUIA MAITI NA HILI LA MALIPO SIO RAIS WALA WIZARA WALIOLISEMEA.
HUYO MGONJWA ANGEONDOKA BILA KULIPA HUYU MUUGUZI ANGEKATWA MSHAHARA.
USHAURI: WIZARA ITOE WARAKA WA KUELEWEKA KUHUSU KUZUIA MAITI NA GHARAMA ZA MATIBABU KWA WAGONJWA WASIO NA UWEZO.
HELA ZA TOZO NA MAFUTA ZIKATOE HUDUMA BURE ZA AFYA NA ELIMU.
Eti eeh.Uko toooo negative kwa kila jambo.
Kaa utulie
Uzuri akili yako ina akiliEti eeh.
Hapa ni ujumbe umefikishwa kwa kutumia njia hiiTuma akili kidogo. Mpaka anamtibu majeraha gharama zimeshatumika. Sasa kufumua jeraha hakurudishi gharama
Madai yake hayana mashiko hata kidogo huyo mpuuzi,nikuulize baada ya kumfumua hio hela amepewa?kuna njia nyingi angetafuta na sio kuweka rehani maisha ya mgonjwa huo ni uuajiMuache mihemko
Msikilize na madai ya muhusika
Asipolipa mgonjwa muhudumu atalipia yeye
Mbona majeneza mnanunua? Yani mtu akuhudumie halafu ghalama azilipe yeye?