DOKEZO Wizara ya elimu fuatilieni shule binafsi za msingi zinazokiuka maagizo ya Serikali

DOKEZO Wizara ya elimu fuatilieni shule binafsi za msingi zinazokiuka maagizo ya Serikali

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Isalu

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2022
Posts
504
Reaction score
665
Tunatambua umuhimu wa wanafunzi wa darasa la 4 na darasa la 7 kusoma na kujiandaa kwa ajili ya mitihani yao ya kitaifa baadae mwaka huu. Lakini imekuwa ni kawaida kwa shule za binafsi kukiuka utaratibu wa mapumziko(likizo)pindi shule zinapofungwa kwa kulazimisha wanafunzi kupumzika Kwa wiki moja tu ya mwanzo kisha kuendelea na masomo wkt wanafunzi wa madarasa mengine wakiwa likizo.

Isitoshe pia, shule nyingi za binafsi kwa siku ambazo shule hazijafungwa, zimepanga ratiba tofauti kwa darasa la 4 na 7 kuwahi shuleni saa 12 asubuhi na kutoka saa12 jioni. Ndio! Tunahitaji watoto wafaulu mitihani lakini sio kwa dose hii kubwa kiasi hiki kwa watoto ambao wengi ni miaka 11, 12 na 13.

Na sio kweli kwamba kuwa overload kusoma wanafunzi hawa ndio kufaulu kwao mitihani. Kuna shule nyingine ambazo kwa kukiuka agizo la serikali zimeamua kuwafundishia wanafunzi kwenye hostel zao wanapolala.

Hii sio sawa. Tunaomba wanafunzi hawa wapate muda wa kupumzisha akili zao. Hivyo serikali fuatilieni shule hizo.
 
Waanze na shule zilizoko Moshi, Archangel, waende Kwingine...upuuzi mtupu
 
Mkuu unateseka mwanao kupewa dozi kubwa? Hutaki apige 100. Prof. Mchome mwenyewe mwanae yupo anakula dozi mpaka sasa, unafikiri atasema nini
 
Wanakimbizana na module

Kwa sababu inatakiwa mpaka kufika mwezi WA tatu pale wanapoanza kufanya mitihani ya kujipima ya nje na ndani ya shule wawe washamaliza topic hii ni kwa Sababu mitihani ya nje hu include topic zote, haijalishi mwanafunzi kafundishwa au hajafundishwa.
 
Kupanga ni kuchagua, ...mwambie mwanao apumzike mkuu, akipatiwa fimbo nenda wizara husika
 
Upo sahihi mkuu. Kimsingi, unapofuata huduma ya kulipia, wewe ndio unakua mfalme, unaelekeza namna gani unataka ufanyiwe hiyo huduma ingawa utaalamu utafanywa na huyo mtoa huduma.

Sasa hizo shule za kulipia, zimejigeuza zenyewe ndio wateja. Watoto wanasoma kwa nguvu sio kwa faida yao bali kwa faida ya wenye shule kujenga reputation.

Ila shule za mitaala ya Cambridge nafikiri hawana hizo mbanga. Mtoto likizo anapumzika na shule anasoma masaa yaliyopendekezwa na sio kukaa kaa tu shule siku nzima
 
Tunatambua umuhimu wa wanafunzi wa darasa la 4 na darasa la 7 kusoma na kujiandaa kwa ajili ya mitihani Yao ya kitaifa baadae mwaka huu. Lakini imekuwa ni kawaida kwa shule za binafsi kukiuka utaratibu wa mapumziko(likizo)pindi shule zinapofungwa kwa kulazimisha wanafunzi kupumzika Kwa wiki moja tu ya mwanzo kisha kuendelea na masomo wkt wanafunzi wa madarasa mengine wakiwa likizo. Isitoshe pia,shule nyingi za binafsi,kwa siku ambazo shule hazijafungwa,zimepanga rtb tofauti kwa darasa la 4 na 7 kuwahi shuleni saa12 asbh na kutoka saa12 jioni. Ndio! Tunahitaji watoto wafaulu mitihani lakini sio kwa dose hii kubwa kiasi hiki kwa watoto ambao wengi ni miaka 11,12 na 13. Na sio kweli kwamba kuwa overload kusoma wanafunzi hawa ndio kufaulu kwao mitihani. Kuna shule nyingine ambazo kwa kukiuka agizo la serikali zimeamua kuwafundishia wanafunzi kwenye hostel zao wanapolala. Hii sio sawa. Tunaomba wanafunzi hawa wapate muda wa kupumzisha akili zao. Hivyo serikali fuatilieni shule hizo.
Ujinga mtupu! Kama hupendi mpeleke mwanao Govt
 
Mkuu vumilia kidogo mwezi wa 9 na 10 wanamaliza mitihani ya taifa, watalala sana, watakuchosha hapo home na sarakasi hadi utatamani waende twisheni.
 
Tunatambua umuhimu wa wanafunzi wa darasa la 4 na darasa la 7 kusoma na kujiandaa kwa ajili ya mitihani Yao ya kitaifa baadae mwaka huu. Lakini imekuwa ni kawaida kwa shule za binafsi kukiuka utaratibu wa mapumziko(likizo)pindi shule zinapofungwa kwa kulazimisha wanafunzi kupumzika Kwa wiki moja tu ya mwanzo kisha kuendelea na masomo wkt wanafunzi wa madarasa mengine wakiwa likizo. Isitoshe pia,shule nyingi za binafsi,kwa siku ambazo shule hazijafungwa,zimepanga rtb tofauti kwa darasa la 4 na 7 kuwahi shuleni saa12 asbh na kutoka saa12 jioni. Ndio! Tunahitaji watoto wafaulu mitihani lakini sio kwa dose hii kubwa kiasi hiki kwa watoto ambao wengi ni miaka 11,12 na 13. Na sio kweli kwamba kuwa overload kusoma wanafunzi hawa ndio kufaulu kwao mitihani. Kuna shule nyingine ambazo kwa kukiuka agizo la serikali zimeamua kuwafundishia wanafunzi kwenye hostel zao wanapolala. Hii sio sawa. Tunaomba wanafunzi hawa wapate muda wa kupumzisha akili zao. Hivyo serikali fuatilieni shule hizo.
Tatizo la kukiuka taratibu na miongozo ni kubwa sana nchini. Tatizo hili uchangiwa na viongozi ambao ni wapenda sifa na wasio waadilifu katika kusimamia elimu. Kiutaratibu mtoto anapaswa kusoma siku 194 kwa mwaka na siku zilizobaki ni za kupumzika.

Ushauri wangu ni kwamba, kama itapendeza tufute likizo kabisa maana wengi wa viongozi wetu hawapendi watoto wapumzike na hasa halmashauri za bembezoni mwa nchi. Pia kama hili la kumpuzika ni bora basi nawaomba wasimamie taratibu ili kuwa na mwelekeo mmoja kitaifa.

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
 
Mbona hata shule za serikali darasa la 4 na 7 hawajafunga? Naona wanawachosha wanafunzi Tz tuna safari ndefu sanaaa
 
Tunatambua umuhimu wa wanafunzi wa darasa la 4 na darasa la 7 kusoma na kujiandaa kwa ajili ya mitihani yao ya kitaifa baadae mwaka huu. Lakini imekuwa ni kawaida kwa shule za binafsi kukiuka utaratibu wa mapumziko(likizo)pindi shule zinapofungwa kwa kulazimisha wanafunzi kupumzika Kwa wiki moja tu ya mwanzo kisha kuendelea na masomo wkt wanafunzi wa madarasa mengine wakiwa likizo.

Isitoshe pia, shule nyingi za binafsi kwa siku ambazo shule hazijafungwa, zimepanga ratiba tofauti kwa darasa la 4 na 7 kuwahi shuleni saa 12 asubuhi na kutoka saa12 jioni. Ndio! Tunahitaji watoto wafaulu mitihani lakini sio kwa dose hii kubwa kiasi hiki kwa watoto ambao wengi ni miaka 11, 12 na 13.

Na sio kweli kwamba kuwa overload kusoma wanafunzi hawa ndio kufaulu kwao mitihani. Kuna shule nyingine ambazo kwa kukiuka agizo la serikali zimeamua kuwafundishia wanafunzi kwenye hostel zao wanapolala.

Hii sio sawa. Tunaomba wanafunzi hawa wapate muda wa kupumzisha akili zao. Hivyo serikali fuatilieni shule hizo.
Wanatengeneza Pesa
 
Tunatambua umuhimu wa wanafunzi wa darasa la 4 na 7 kujiandaa kwa ajili ya mitihani yao ya kitaifa baadae mwaka huu.

Ila ni muhimu wanafunzi hao kupata muda wa kupumzisha akili zao wkt wa likizo zao. Ila zipo shule binafsi zimejiwekea utaratibu kwa kuwapa rtb za mfululizo za watoto hawa,za kuhudhuria shuleni. Kuna ambazo wanafunzi wao wanafika shuleni na kuanza masomo ya ziada saa12 asbh na baada ya wanafunzi wa madarasa mengine kutoka shule saa9, wao huendelea Tena na masomo hadi saa12 jioni.

Hata shule zilipofungwa wao walipumzika kwa wiki1 tu Kisha wakarejea shule. Na hata baada ya serikali kuwataka wawaache utaratibu huo,shule hizo zimeamua kuwafundishia kwenye hostel zao kukwepa kufuatilia shuleni. Tunaitaka serikali kupitia wizara husika ikomeshe mara moja hii hali na ichukue hatua kwa wanaokiuka maagizo ya serikali.

Kwani kusoma sana kwa watoto bila kupumzisha akili zao ni hatari pia kwa afya ya akili. Kwani ni kuwa overdose wanafunzi.
 
Tunatambua umuhimu wa wanafunzi wa darasa la 4 na 7 kujiandaa kwa ajili ya mitihani yao ya kitaifa baadae mwaka huu. Ila ni muhimu wanafunzi hao kupata muda wa kupumzisha akili zao wkt wa likizo zao. Ila zipo shule binafsi zimejiwekea utaratibu kwa kuwapa rtb za mfululizo za watoto hawa,za kuhudhuria shuleni. Kuna ambazo wanafunzi wao wanafika shuleni na kuanza masomo ya ziada saa12 asbh na baada ya wanafunzi wa madarasa mengine kutoka shule saa9,wao huendelea Tena na masomo hadi saa12 jioni. Hata shule zilipofungwa wao walipumzika kwa wiki1 tu Kisha wakarejea shule. Na hata baada ya serikali kuwataka wawaache utaratibu huo,shule hizo zimeamua kuwafundishia kwenye hostel zao kukwepa kufuatilia shuleni. Tunaitaka serikali kupitia wizara husika ikomeshe mara moja hii hali na ichukue hatua kwa wanaokiuka maagizo ya serikali. Kwani kusoma sana kwa watoto bila kupumzisha akili zao ni hatari pia kwa afya ya akili. Kwani ni kuwa overdose wanafunzi.
 
Suala la elimu ni changamoto sana. Kama taifa tusipokuwa na dira ya pamoja hatutakaa tusogee. Zama hizi kweli bado watoto wanakaririshwa kupoteza muda shule kisa mitihani ya taifa, dasara la nne, la saba, form two na kidato cha nne. Badala ya ku jikita kwenye uwekezaji wa Sayansi watoto wafanye kwa vitendo leo tunawakaririsha kwaajili ya mitihani. Wakishaongoza hiyo mitihani kinachofuatia?ndiyo mwisho wa kufikiri nako unagota hapo kwa watoto wetu.
 
Tunatambua umuhimu wa wanafunzi wa darasa la 4 na 7 kujiandaa kwa ajili ya mitihani yao ya kitaifa baadae mwaka huu. Ila ni muhimu wanafunzi hao kupata muda wa kupumzisha akili zao wkt wa likizo zao. Ila zipo shule binafsi zimejiwekea utaratibu kwa kuwapa rtb za mfululizo za watoto hawa,za kuhudhuria shuleni. Kuna ambazo wanafunzi wao wanafika shuleni na kuanza masomo ya ziada saa12 asbh na baada ya wanafunzi wa madarasa mengine kutoka shule saa9,wao huendelea Tena na masomo hadi saa12 jioni. Hata shule zilipofungwa wao walipumzika kwa wiki1 tu Kisha wakarejea shule. Na hata baada ya serikali kuwataka wawaache utaratibu huo,shule hizo zimeamua kuwafundishia kwenye hostel zao kukwepa kufuatilia shuleni. Tunaitaka serikali kupitia wizara husika ikomeshe mara moja hii hali na ichukue hatua kwa wanaokiuka maagizo ya serikali. Kwani kusoma sana kwa watoto bila kupumzisha akili zao ni hatari pia kwa afya ya akili. Kwani ni kuwa overdose wanafunzi.
Mwanzo nilifahamu jukwaa hili ni huru, lakini cha kushangaza uhuru haupo maana vitendo vya kufutiana maoni vimekithili sana. Hofu yangu ni kuwa wahusika wapo kimya anayefuta maoni ya watu kama sisi ni nani na anaajenda gani?


Narudia tena kwa mara nyingine swala la kufudisha nyakati za likizo linachochewa na viongozi waliopewa dhamana kusimamia elimu na hasa hawa viongozi wa ngazi za halmashauri,kata na uongozi wa shule husika. Hawa viongozi ndio wanaowashinikiza walimu wao kufudisha nyakati za likizo, huku wakifahamu fika jambo hilo ni haramu na wakiulizwa hudai ni maelekezo kutoka juu. Sasa ukiuliza huyo aliyejuu ni nani, huwa hawamtaji kabisa.

Pia swala hili liko kote yaani upande wa binafsi na serekalini. Hivyo basi nashauri serikali iwape walaka wa maelekezo juu ya umuhimu wa likizo na pia iwape walaka wa adhabu kwa wale watakaoendelea na tabia hii chafu yenye kukiuka miongozo na taratibu.

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
 
Tunatambua umuhimu wa wanafunzi wa darasa la 4 na 7 kujiandaa kwa ajili ya mitihani yao ya kitaifa baadae mwaka huu. Ila ni muhimu wanafunzi hao kupata muda wa kupumzisha akili zao wkt wa likizo zao. Ila zipo shule binafsi zimejiwekea utaratibu kwa kuwapa rtb za mfululizo za watoto hawa,za kuhudhuria shuleni. Kuna ambazo wanafunzi wao wanafika shuleni na kuanza masomo ya ziada saa12 asbh na baada ya wanafunzi wa madarasa mengine kutoka shule saa9,wao huendelea Tena na masomo hadi saa12 jioni. Hata shule zilipofungwa wao walipumzika kwa wiki1 tu Kisha wakarejea shule. Na hata baada ya serikali kuwataka wawaache utaratibu huo,shule hizo zimeamua kuwafundishia kwenye hostel zao kukwepa kufuatilia shuleni. Tunaitaka serikali kupitia wizara husika ikomeshe mara moja hii hali na ichukue hatua kwa wanaokiuka maagizo ya serikali. Kwani kusoma sana kwa watoto bila kupumzisha akili zao ni hatari pia kwa afya ya akili. Kwani ni kuwa overdose wanafunzi.
Kwa kweli Wizara ya Elimu ijikite kusimamia utoaji wa elimu na isikubali huu mkenge wa kukarisha watoto wadogo wa miaka kumi hadi kumi na mbili.Hivi inakuaje wameruhusu watato wasome kuanzia saa kumi na mbili asubui hadi saa tatu na nusu usiku?
 
Pole sana mkuu, wangekuwa wanatoa vitini vya maswali yaani Holiday Package kwa kila mwanafunzi.

Madarasa ya chini wanauza package kwa 10,000. Kila siku mtoto anafanya ukurasa mmoja, inampa pia na yeye muda wa kupumzika aiseee.
 
Back
Top Bottom