Upo sahihi mkuu. Kimsingi, unapofuata huduma ya kulipia, wewe ndio unakua mfalme, unaelekeza namna gani unataka ufanyiwe hiyo huduma ingawa utaalamu utafanywa na huyo mtoa huduma.
Sasa hizo shule za kulipia, zimejigeuza zenyewe ndio wateja. Watoto wanasoma kwa nguvu sio kwa faida yao bali kwa faida ya wenye shule kujenga reputation.
Ila shule za mitaala ya Cambridge nafikiri hawana hizo mbanga. Mtoto likizo anapumzika na shule anasoma masaa yaliyopendekezwa na sio kukaa kaa tu shule siku nzima