DOKEZO Wizara ya elimu fuatilieni shule binafsi za msingi zinazokiuka maagizo ya Serikali

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Katika kitu kinachoua uelewa ni hili suala la kulazimisha ndani ya miezi mi3 au 4 muhtasari (syllabus) iwe imekamilika ili mtoto apate kujibu vizuri mitihani ya utamirifu (mock) au kumaliza tu ili ifanyike marudio. Elimu imekuwa kama vita. Ni banking education tupu.
 
Na hiyo ndio elimu inapaswa kusomwa kwa namna hiyo. Kuna wakati wa kusoma na wakati wa kupumzisha akili. Shule binafsi zinashindana sana kutafuta 'A' za kwenye karatasi bila kujua kuwa wanaua uelewa wa mtoto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…