MISULI
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 7,843
- 5,476
Lete hiyo sera humuNi kweli hawajaweka full commitment. Lakini sera ya elimu iliyopo na inayotumika sasa inataka watoto wakishajifungua warudi shule ileile waliyokuwa wanasoma.
Na the right time hua ni mwaka wa masomo unaofuata, yaani mtoto atarudia darasa.
Senti bai yuzingi tecno T301