Wizara ya elimu yakana kuwapima mimba watoto wa kike kwa lazima, yasema wataendelea na masomo baada ya kujifungua

Wizara ya elimu yakana kuwapima mimba watoto wa kike kwa lazima, yasema wataendelea na masomo baada ya kujifungua

Bado la tume huru ya uchaguzi, wazungu shikilieni hapo mpaka wazee wa siasa chafu wanyooke. Inatakiwa wapinzani wasusie uchaguzi mpaka ipatikane tume huru ya uchaguzi ipatikane. Na isipopatikana tuwekewe vikwazo vya kiuchumi.
Tume huru na ikiwezekana mgombea binafsi ndio ushindi mkubwa kwa wapenda demokrasia na mabadiliko ya kweli.
 
Opportunity mzee ni fulsa , na ukisema fulsa maana yke nikwenda qt, vetta nk. Kama wangetumia shall basi tungesema serikari imesalim amri! Maana ingekuwa lazima.

Kwahiyo hiyo barua mpaka uwe mweledi kuisoma lakini uwe unajua kuvunja mayai kisawasawa vinginevyo unaweza kubeba jiwe lakuponda mwizi hafu likakomea juu baada yakuona sura ya mwizi😎😎
Angalia vizuri, wamebadilisha tangazo, lile la awali lilikua na implication kuwa watoto wangepewa nafasi ya kuendelea na masomo, BTW hata wanaochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza ni 'opportunity', huwezi kuifunga serikali ikikunyima nafasi hiyo. Hakunaga 'shall' kwenye mambo haya.
 
Hata hiyo ya awali mbona iko clear na Hakuna kilichobadilika?Mkuu hujui kiingilish?

Senti bai yuzingi tecno T301
Kiazi kweli wewe, katibu mkuu analazimika kutoa barua ya pili na kuifuta ile ya awali wewe unasema ziko sawa, watanzania mnashida vichwani.
 
Haku nawaambia habari hii kama ni kweli wanafunzi huko mtaani wanagongwa saizi...
ni sawa na kuruhusu mapenzi..... Tena ngono zembeee
 
Opportunity mzee ni fulsa , na ukisema fulsa maana yke nikwenda qt, vetta nk. Kama wangetumia shall basi tungesema serikari imesalim amri! Maana ingekuwa lazima.

Kwahiyo hiyo barua mpaka uwe mweledi kuisoma lakini uwe unajua kuvunja mayai kisawasawa vinginevyo unaweza kubeba jiwe lakuponda mwizi hafu likakomea juu baada yakuona sura ya mwizi😎😎
mbona liko wazi sana ndg!
 
Kuna jamaa alinunua gari harafu akaliandika nyuma.. TATIZO SHULE nahao waliotoa puvu wte kuwa serikari imesalim amri TATIZO CYO WAO ILA NI SHULE ndo maana niliwaambia mapema ilichopo hapo ni opportunity sio shall. Nikajibiwa nisome waraka.
duh! Kunawatu wanateseka na maendereo ya nchi hii kupitia kamanda mkuu Baba lao JPM
kunawatu wanatesekaaaaa!!! Nawaona nawaona!! Nabado kuna kongore la trump linakuja very soon.
 
Update
Naona katibu mkuu kabadili gia angani, wameifuta ile taarifa ya awali na kuweka nyingine kama inavyo onekana hapa chini. Ni hatari kwelikweli.
Kwa minajili hiyo msimamo wa serikali ni uleule, watoto wa kike wataendelea kunyimwa fursa ya elimu wakipata mimba.
SAD
Em PunguzA miheMko basi.. Soma tena. Hakuna tofauti yeyote.
 
Ahsante USA...

SERIKALI IMELAINISHA LUGHA...
 
Kuna jamaa alinunua gari harafu akaliandika nyuma.. TATIZO SHULE nahao waliotoa puvu wte kuwa serikari imesalim amri TATIZO CYO WAO ILA NI SHULE ndo maana niliwaambia mapema ilichopo hapo ni opportunity sio shall. Nikajibiwa nisome waraka.
duh! Kunawatu wanateseka na maendereo ya nchi hii kupitia kamanda mkuu Baba lao JPM
kunawatu wanatesekaaaaa!!! Nawaona nawaona!! Nabado kuna kongore la trump linakuja very soon.
Unajifanya mjuaji kwenye vitu usivyo vijua, serikali haiwezi kuweka 'shall' hapo hata siku moja, labda kama wewe ni mgeni na nyaraka za serikali. Serikali haiwezi kujifunga mikono kijinga kiasi hicho.
Kwa taarifa yako hata nafasi ya kujiunga kidato cha kwanza ni 'oportunity'.
 
Mbona hili zoezi la kuwapima mimba watoto wa kike ni maarufu sana mashule ya bweni? Binafsi kwa miaka M4 ya O'level girls only sec nimepimwa mimba mara 8.

Sitaki kulikumbuka hili zoezi, yaani wanapimwa mimba hata ambao hawakua wamevunja ungo!

Haya mambo yalikuwepo, mama wamesitisha ni vema.
 
Back
Top Bottom