Peasant educator
JF-Expert Member
- Mar 13, 2020
- 209
- 187
Kulitolea ufafanuzi kwa maslahi ya Emma.Kuhusu jambo hilo linaleta utata pindi unapopeleka shauri/shtaka mahakamani. Naenda kutambua sheria anasemaje iwapo mtu au taasisi itakukuwa imekutendea vibaya iwe negligence au general damage mana inamlazimu mtu approve cost wakati kuna wakati damage zinazotokea huwezi prove. Hili linatokea nchi za wenzetu endapo mtu au taasisi imekuharibia taswira yako ama imekusumbua kwenye kupata huduma unaweza peleka shauri mahakamani na mahakama ikailazimu taasisi husika kukulipa general damages pai na kuprove specific damages?
Ni kwamba kuna general damages Amazon's hutokana na kupotezewa mda, usumbufu, msongo wa mawazo na kadhalika na kuna specific damages Ambazo ni hasara za moja kwa moja ambazo mtu hupata kwenye kipato chake. Sasa specific damages kwa mtu ambae hana kazi rasmi (hana paperwork/document/mkataba wa kazi) anashindwa kuziprove au ni chache anafanyaje? Haki ya kuomba general damages anakosa?
1. Mfano mtumishi aliechapwa viboko?
2. Mtu aliekwa zaidi ya masaa 24 mahabusu anawezaje pats fidia kama hana kazi rasmi?
3. Benki imefanya negligence? Maelezo : mm ni signatory ya kampeni fulani, sasa signatory mwenzangu akaongea na benki ili waniblock nisiweze tanya miamala bila kupewa notice au kufata sheria. Bank ikanitoa usignatory. Wakileta anasema lazima improve specific damages kwanza kwa hiyo ikakwamisha kufungua shauri mahakamani mpaka nitakapo pata ruling mahakamani ya kesi na kampuni mana waligoma kulipa(kufanya kazi bila mikataba,kindugundugu). Sasa kuna damages kama kuniharibia Jina na kuweka mahusiano na wadau vibaya mana nimeifanya malipo yakabounce na kuhangaika huku na huku kutafuta tatizo. Hapo natakiwa nifanyeje au ndo km siwezi kuprove specific damage ndo nimepokea haki zote pamoja na general damage?
Naomba msaada. Ila kama inamlazimu mtu kuprove specific damages kwanza ndio apate general damages basi utakuwa na tatizo ambalo wizara inahitaji kukaa na kuondoa hugo masomo mana watu ambao hawana kazi rasmi napambana vp na polisi au bank na taasisi pindipo hawamtandea haki?
Nawasilisha