Wizara ya Ulinzi na Usalama inahitaji mtu mahsusi, Bashungwa bado hajakomaa

Wizara ya Ulinzi na Usalama inahitaji mtu mahsusi, Bashungwa bado hajakomaa

Zungu mbona hapewi Wizara pamoja na kujipendekeza kote Kule!!!!! Kapambana saba kuleta zigo la tozo kwa watanzania lakini mama hajampa hata u naibu waziri? Zungu afikiriwe jamani nadhani akipewa unaibu waziri wa fedha atafaa sana maana anaweza kubuni tozo zingine ili uchumi wa nchi uendelee kukua na viongozi wetu waweze kununuliwa walau V8 tano tano, na kuongezewa posho .na Tanzania ikiwa ndiyo nchi yenye uchumi mkubwa zaidi Africa
 
Uzuri wa wizara ya ulinzi …..hana access ya kujua kila kitu kinachoendelea , mama Stagomena Tax ni mtu wa usalama muda mrefu na ana uzoefu mkubwa sana kuhangaika na mambo ya usalama na ulinzi ndani ya SADC hakika alifaa sana pale …
Huyu Inno hata sijui ni kazi gani ambayo utasema anaiweza vizuri …yuko so cold ……
Lakini pia inahitaji uchambuzi wa hali ya juu kabla ya kumpa access ni siri za nchi yetu …..ukimtazama yeye na mkewe ambaye ana familia Rwanda ….ambao always wanajitajidi sana kuweka bifu na sisiii japo ni watoto wetu ……Inno angebakia kwanza mbunge …maana ashajaribiwa wizara karibu nne na zote hakuna cha kukumbukwa amekifanya …nadhani upole umemzidi ……
Inno kawekwa tu hapo.

Huyo alie chini ndie mtendaji lakini wapo watu maalum waendesha wizara.

Kuna mengi pale, mikataba, zabuni na kadhalika ni vitu ambavyo wapo watu wafanya mambo yao.
 
Unamjua ……..na huwa anaona yeye ndio anajua kila kitu ….wenzake hawawezi ….muda mwingi anautumia kudiscredit wenzake ndio maana huwa anakosana nao
Lakini ni mtu anajua kutembea na ajenda na kuipigia debe …sasa kama anafanikiwa kwa kiasi gani sijui …lakini unaweza kuona Simiyu alisimama na viwanda [ one district one industry ] , kama vinaendelea au vimekufa sijui lakini alisimamia pamoja na Elimu ….
Dodoma akasimama na Elimu na Soko la wamachinga ambalo kafanikisha …….
So in summary ana mazuri na madhaifu yake …..bado anahitaji exposure zaidi ikiwa anahitaji kuja kutumikia taifa kwa nafasi kubwa huko mbeleni ili tusitengeneze Magufuli wengine …ikumbukwe magufuli kitu muhimu alikosa ni Exposure [ alikuwa mshamba ] …..sasa hawa kina mtaka kama tunataka kuwatumia tuwapeeleke big leadership colleges …tuwatafutie international jobs etc ili waondoe tongotongo
Mtaka afaa kuwa RC ili aweke mawazo yake ya maendeleo katika mikoa ya kimkakati.

Hivyo angeachwa pale Simiyu na kisha apelekwe mkoa mwingine.

Kumwondoa mtu hajamaliza mradi (project) sio sahihi.
 
Zungu mbona hapewi Wizara pamoja na kujipendekeza kote Kule!!!!! Kapambana saba kuleta zigo la tozo kwa watanzania lakini mama hajampa hata u naibu waziri? Zungu afikiriwe jamani nadhani akipewa unaibu waziri wa fedha atafaa sana maana anaweza kubuni tozo zingine ili uchumi wa nchi uendelee kukua na viongozi wetu waweze kununuliwa walau V8 tano tano, na kuongezewa posho .na Tanzania ikiwa ndiyo nchi yenye uchumi mkubwa zaidi Africa
Kwani siyo mwenyekiti wa bunge yule mzee
 
Ilishawahi kuongozwa na kijana mdogo enzi za Nyerere, umri sio tija jambo la msingi ni kutokuwa mjuaji kule kuna watu wanaojitambua na wenye nidhamu ya hali ya juu na wasiopenda siamba nyingi.
 
Hii nchi ina viongozi wenye low self esteem,hawajiamini mpaka waumize au wakalipie mtu,Makamba,Mwigulu,Jafo,Turia akson,Azan zungu,Samia,Mpango,Hawa ni viongozi wasio na akili kabisa!!Wana Elimu kubwa lakini no intelligence,
Hawamfikii mkuu wa mkoa wa Njombe Mtaka,Mtaka alistahili awe Waziri mkuu,maana ana akili kubwa na maono kuliko hao machawa hapo juu,wanaofikri Swala la nguvu za kiume ndio tatizo kubwa hapa nchini,
Dunia inaongelea ukame,na maisha kupanda yenyewe yanafikiri nguvu za kiume ndio suluhisho
hahahaha
 
Napongeza uteuzi wa Tax.

Ila bashungwa bado hajakomaa Kwa hiyo wizara, sijajua kwanini awamu hii ya sita inaogopa kufanya kazi na wakongwe, inawaondoa kwenye system watu mahsusi.

Hizi ndio zilikuwa nafasi za watu aina ya kabudi ni wakomavu.
kwa Kabudi hapo umechemsha!

ungesena hata mashimba ndaki au Pindi chana! au angemrudisha Nchimbi
 
Hii nchi ina viongozi wenye low self esteem,hawajiamini mpaka waumize au wakalipie mtu,Makamba,Mwigulu,Jafo,Turia akson,Azan zungu,Samia,Mpango,Hawa ni viongozi wasio na akili kabisa!!Wana Elimu kubwa lakini no intelligence,
Hawamfikii mkuu wa mkoa wa Njombe Mtaka,Mtaka alistahili awe Waziri mkuu,maana ana akili kubwa na maono kuliko hao machawa hapo juu,wanaofikri Swala la nguvu za kiume ndio tatizo kubwa hapa nchini,
Dunia inaongelea ukame,na maisha kupanda yenyewe yanafikiri nguvu za kiume ndio suluhisho
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🏃🏃
 
Hii nafasi angepewa Simbachawene ila nadhani system imeona ana Uyangachawene kidogo!
 
Wizara ya ulinzi ni wizara nyeti sana na inahitaji umakini sana kuongoza, kwa bashugwa hapo mama naona kachemka angemuacha huko huko TAMISEMI naona aliipatia vizur sana na tumeona maendeleo mengi kupitia tamisemi.. ila huko kwenye ulinzi sema tumpe mda tu
Waziri wa ulinzi ni kiongozi wa kisiasa tu, wenye kazi yao wapo - Magenerali, Waziri Bashungwa bado kijana na ataweza kumudu huo mchakamchaka hapo wizarani. Hii imani kwamba kuna watu fulani fulani tu ndio wanaweza kuwa Viongozi inabidii tuifute akilini mwetu. Binadamu wengi wana uwezo wa kuongoza wakipatiwa nafasi. Unaweza kuona uongozi unawarudia watu wale wale wakati kuna zaidi ya watu millioni moja wanaweza kuziba hizo nafasi.
 
Napongeza uteuzi wa Tax.

Ila bashungwa bado hajakomaa Kwa hiyo wizara, sijajua kwanini awamu hii ya sita inaogopa kufanya kazi na wakongwe, inawaondoa kwenye system watu mahsusi.

Hizi ndio zilikuwa nafasi za watu aina ya kabudi ni wakomavu.
Bashungwa ni bomu. Kaenda kusalimia tu hiyo wizara, atatoka hivi punde. Tena ataomba mwenyewe...

Du hapa Rais kakosea sana, au ni mtego kwake Bashungwa..... Yetu macho.
 
Napongeza uteuzi wa Tax.

Ila bashungwa bado hajakomaa Kwa hiyo wizara, sijajua kwanini awamu hii ya sita inaogopa kufanya kazi na wakongwe, inawaondoa kwenye system watu mahsusi.

Hizi ndio zilikuwa nafasi za watu aina ya kabudi ni wakomavu.
kazi ya wazir wa ulinzi ni zipi?
kazi za mkuu wa majeshi ni zipi
kazi za mnadhimu mkuu wa jeshi ninini?
 
Uzuri wa wizara ya ulinzi …..hana access ya kujua kila kitu kinachoendelea , mama Stagomena Tax ni mtu wa usalama muda mrefu na ana uzoefu mkubwa sana kuhangaika na mambo ya usalama na ulinzi ndani ya SADC hakika alifaa sana pale …
Huyu Inno hata sijui ni kazi gani ambayo utasema anaiweza vizuri …yuko so cold ……
Lakini pia inahitaji uchambuzi wa hali ya juu kabla ya kumpa access ni siri za nchi yetu …..ukimtazama yeye na mkewe ambaye ana familia Rwanda ….ambao always wanajitajidi sana kuweka bifu na sisiii japo ni watoto wetu ……Inno angebakia kwanza mbunge …maana ashajaribiwa wizara karibu nne na zote hakuna cha kukumbukwa amekifanya …nadhani upole umemzidi ……
Hivi ni kweli za korido Inno ilibidi aende fedha na uchumi mwigulu apelekwe Tamisemi maza akabadilisha?
 
Ilishawahi kuongozwa na kijana mdogo enzi za Nyerere, umri sio tija jambo la msingi ni kutokuwa mjuaji kule kuna watu wanaojitambua na wenye nidhamu ya hali ya juu na wasiopenda siamba nyingi.
Iyo wizara tangu tupate uhuru aliyoiweza, kuidhibit na kuimudu siyo mwengine bali profesa Juma Kapuya
 
Back
Top Bottom