EDWARD JOHN
Member
- Mar 9, 2012
- 83
- 183
Zungu mbona hapewi Wizara pamoja na kujipendekeza kote Kule!!!!! Kapambana saba kuleta zigo la tozo kwa watanzania lakini mama hajampa hata u naibu waziri? Zungu afikiriwe jamani nadhani akipewa unaibu waziri wa fedha atafaa sana maana anaweza kubuni tozo zingine ili uchumi wa nchi uendelee kukua na viongozi wetu waweze kununuliwa walau V8 tano tano, na kuongezewa posho .na Tanzania ikiwa ndiyo nchi yenye uchumi mkubwa zaidi Africa