Statistics
JF-Expert Member
- Sep 22, 2013
- 3,666
- 7,788
Bashungwa siku anafunga ndoa, aliyekuwa kaimu mzazi ni luteni x. Huyo lt mstaafu aliteuliwa na mwanae ili kukaimu hcho kiti. Mtoto wa lt na inno walikuwa pamoja us wakisoma migogoro.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo kwako suala la mwendelezo wa generation ktk nchi ni la ovyo? Ushawahi kufuatilia nguvu kazi katika mataifa mbalimbali duniani na kujua kinachoendelea? Suala la ndoa kusambaratika na familia kuyumba kwa tatizo la uwezo mdogo wa vijana wengi ktk tendo la ndoa ni jambo la ovyo? Lishe duni inayoleta udumavu wa akili na madhara ya kufikiri na kutenda mambo ya ovyo KAMA HAYA MATUSI ULIYOANDIKA NI JAMBO LA OVYO? Mheshimu mkuu wa nchi.#Changia kistaarabu. Tutakusoma, tutajadili na kupata faida.🙏🙏🙏Hii nchi ina viongozi wenye low self esteem,hawajiamini mpaka waumize au wakalipie mtu,Makamba,Mwigulu,Jafo,Turia akson,Azan zungu,Samia,Mpango,Hawa ni viongozi wasio na akili kabisa!!Wana Elimu kubwa lakini no intelligence,
Hawamfikii mkuu wa mkoa wa Njombe Mtaka,Mtaka alistahili awe Waziri mkuu,maana ana akili kubwa na maono kuliko hao machawa hapo juu,wanaofikri Swala la nguvu za kiume ndio tatizo kubwa hapa nchini,
Dunia inaongelea ukame,na maisha kupanda yenyewe yanafikiri nguvu za kiume ndio suluhisho
Yaaani mada nzuri ila mwishoni ulipoanza kumwombea nafasi babu yako kabudi mzee wa jalalani ??Napongeza uteuzi wa Tax.
Ila bashungwa bado hajakomaa Kwa hiyo wizara, sijajua kwanini awamu hii ya sita inaogopa kufanya kazi na wakongwe, inawaondoa kwenye system watu mahsusi.
Hizi ndio zilikuwa nafasi za watu aina ya kabudi ni wakomavu.
Napongeza uteuzi wa Tax.
Ila bashungwa bado hajakomaa Kwa hiyo wizara, sijajua kwanini awamu hii ya sita inaogopa kufanya kazi na wakongwe, inawaondoa kwenye system watu mahsusi.
Hizi ndio zilikuwa nafasi za watu aina ya kabudi ni wakomavu.
Kwani Wakongwe watakaa milele? Inabidi wawapishe wengine pia.Napongeza uteuzi wa Tax.
Ila bashungwa bado hajakomaa Kwa hiyo wizara, sijajua kwanini awamu hii ya sita inaogopa kufanya kazi na wakongwe, inawaondoa kwenye system watu mahsusi.
Hizi ndio zilikuwa nafasi za watu aina ya kabudi ni wakomavu.
Nina wiwa kukubali huu ushauri!Napongeza uteuzi wa Tax.
Ila bashungwa bado hajakomaa Kwa hiyo wizara, sijajua kwanini awamu hii ya sita inaogopa kufanya kazi na wakongwe, inawaondoa kwenye system watu mahsusi.
Hizi ndio zilikuwa nafasi za watu aina ya kabudi ni wakomavu.
In fact Mtaka nimefanya nae kazi. Ni mtu wa domodomo. Ukiwa nae mbali utafikiri ni mchapakazi sana. Ukiingia uvunguni mwake utagundua ni mtu wa kujizoazoa alimradi aonekane anajambo analofanya. Waziri hatakiwi kuwa kama Mtaka.
Naye hatamaliza awamuNapongeza uteuzi wa Tax.
Ila bashungwa bado hajakomaa Kwa hiyo wizara, sijajua kwanini awamu hii ya sita inaogopa kufanya kazi na wakongwe, inawaondoa kwenye system watu mahsusi.
Hizi ndio zilikuwa nafasi za watu aina ya kabudi ni wakomavu.
hapo kwenye kuipatia ndicho kilichomtoa na kumpelekwa huko alipo sasaWizara ya ulinzi ni wizara nyeti sana na inahitaji umakini sana kuongoza, kwa bashugwa hapo mama naona kachemka angemuacha huko huko TAMISEMI naona aliipatia vizur sana na tumeona maendeleo mengi kupitia tamisemi.. ila huko kwenye ulinzi sema tumpe mda tu
Hii nchi ina viongozi wenye low self esteem,hawajiamini mpaka waumize au wakalipie mtu,Makamba,Mwigulu,Jafo,Turia akson,Azan zungu,Samia,Mpango,Hawa ni viongozi wasio na akili kabisa!!Wana Elimu kubwa lakini no intelligence,
Hawamfikii mkuu wa mkoa wa Njombe Mtaka,Mtaka alistahili awe Waziri mkuu,maana ana akili kubwa na maono kuliko hao machawa hapo juu,wanaofikri Swala la nguvu za kiume ndio tatizo kubwa hapa nchini,
Dunia inaongelea ukame,na maisha kupanda yenyewe yanafikiri nguvu za kiume ndio suluhisho
Mkuu,achana nao hawa wao wamejaa chuki kuliko uhalisia.wengi wao humu ni waliopoteza nafasi walizozitumia kuendesha maisha hiyo 2020.Mkuu unataka mama akaongelee ukame kwenye shughuli inayohusu mambo ya lishe?
Unaonaje sukuma gang inavyokomeshwa?Huyo dogo size yake ni wizara ya utamaduni na michezo.
Inshort mkwe anamshauri vibaya mama mkwe wake.
Apewe makondaNapongeza uteuzi wa Tax.
Ila bashungwa bado hajakomaa Kwa hiyo wizara, sijajua kwanini awamu hii ya sita inaogopa kufanya kazi na wakongwe, inawaondoa kwenye system watu mahsusi.
Hizi ndio zilikuwa nafasi za watu aina ya kabudi ni wakomavu.
Sasa hapo nani sukumagang?Unaonaje sukuma gang inavyokomeshwa?
Dah una makasiriko saana mkuu.sasa mambo ya wakwe yanaingiliana vip hapa au unakuwaga nao.ok tuseme anashauriwa na mkwe, wewe je ungekuwa na nafas hio tunajuaje kama hutashauriwa hata na nyumba ndogo yako? Mbona kujitia hamnazo anyway ndio uhuru huo mliokuwa mkitaka wa kuongeaHuyo dogo size yake ni wizara ya utamaduni na michezo.
Inshort mkwe anamshauri vibaya mama mkwe wake.
Humu hakuna substance,umejaza chuki na masononeko,huenda maisha kwako magumu licha ya kuhangaika muda mrefu kwenye taasisi za elimu kusaka vyeti,pole...lazima watengenezwe viongozi wapya,bashungwa kaanza taratibu na ukuu wa wilaya Leo Waziri wa ulinzi,huyo unayemuona ana akili serikali inamjua kuliko wewe..na Kama unaona afya ya uzazi si Jambo muhimu kwa mustskabali wa taifa basi wewe ndiye mtupu kichwaniHii nchi ina viongozi wenye low self esteem,hawajiamini mpaka waumize au wakalipie mtu,Makamba,Mwigulu,Jafo,Turia akson,Azan zungu,Samia,Mpango,Hawa ni viongozi wasio na akili kabisa!!Wana Elimu kubwa lakini no intelligence,
Hawamfikii mkuu wa mkoa wa Njombe Mtaka,Mtaka alistahili awe Waziri mkuu,maana ana akili kubwa na maono kuliko hao machawa hapo juu,wanaofikri Swala la nguvu za kiume ndio tatizo kubwa hapa nchini,
Dunia inaongelea ukame,na maisha kupanda yenyewe yanafikiri nguvu za kiume ndio suluhisho
Kuna kama wakina mwakyembeNapongeza uteuzi wa Tax.
Ila bashungwa bado hajakomaa Kwa hiyo wizara, sijajua kwanini awamu hii ya sita inaogopa kufanya kazi na wakongwe, inawaondoa kwenye system watu mahsusi.
Hizi ndio zilikuwa nafasi za watu aina ya kabudi ni wakomavu.
Kunywa maji mengi alafu pumzika kwenye kivuli.Dah una makasiriko saana mkuu.sasa mambo ya wakwe yanaingiliana vip hapa au unakuwaga nao.ok tuseme anashauriwa na mkwe, wewe je ungekuwa na nafas hio tunajuaje kama hutashauriwa hata na nyumba ndogo yako? Mbona kujitia hamnazo anyway ndio uhuru huo mliokuwa mkitaka wa kuongea
Sukuma gang ilishamalizwa na covid na tumeshazika chato.Unaonaje sukuma gang inavyokomeshwa?