Wizara ya Ulinzi na Usalama inahitaji mtu mahsusi, Bashungwa bado hajakomaa

Wizara ya Ulinzi na Usalama inahitaji mtu mahsusi, Bashungwa bado hajakomaa

Bashungwa siku anafunga ndoa, aliyekuwa kaimu mzazi ni luteni x. Huyo lt mstaafu aliteuliwa na mwanae ili kukaimu hcho kiti. Mtoto wa lt na inno walikuwa pamoja us wakisoma migogoro.
 
Hii nchi ina viongozi wenye low self esteem,hawajiamini mpaka waumize au wakalipie mtu,Makamba,Mwigulu,Jafo,Turia akson,Azan zungu,Samia,Mpango,Hawa ni viongozi wasio na akili kabisa!!Wana Elimu kubwa lakini no intelligence,
Hawamfikii mkuu wa mkoa wa Njombe Mtaka,Mtaka alistahili awe Waziri mkuu,maana ana akili kubwa na maono kuliko hao machawa hapo juu,wanaofikri Swala la nguvu za kiume ndio tatizo kubwa hapa nchini,
Dunia inaongelea ukame,na maisha kupanda yenyewe yanafikiri nguvu za kiume ndio suluhisho
Kwa hiyo kwako suala la mwendelezo wa generation ktk nchi ni la ovyo? Ushawahi kufuatilia nguvu kazi katika mataifa mbalimbali duniani na kujua kinachoendelea? Suala la ndoa kusambaratika na familia kuyumba kwa tatizo la uwezo mdogo wa vijana wengi ktk tendo la ndoa ni jambo la ovyo? Lishe duni inayoleta udumavu wa akili na madhara ya kufikiri na kutenda mambo ya ovyo KAMA HAYA MATUSI ULIYOANDIKA NI JAMBO LA OVYO? Mheshimu mkuu wa nchi.#Changia kistaarabu. Tutakusoma, tutajadili na kupata faida.🙏🙏🙏
 
Napongeza uteuzi wa Tax.

Ila bashungwa bado hajakomaa Kwa hiyo wizara, sijajua kwanini awamu hii ya sita inaogopa kufanya kazi na wakongwe, inawaondoa kwenye system watu mahsusi.

Hizi ndio zilikuwa nafasi za watu aina ya kabudi ni wakomavu.
Yaaani mada nzuri ila mwishoni ulipoanza kumwombea nafasi babu yako kabudi mzee wa jalalani ??
 
Napongeza uteuzi wa Tax.

Ila bashungwa bado hajakomaa Kwa hiyo wizara, sijajua kwanini awamu hii ya sita inaogopa kufanya kazi na wakongwe, inawaondoa kwenye system watu mahsusi.

Hizi ndio zilikuwa nafasi za watu aina ya kabudi ni wakomavu.

Uzuri wa wizara ya ulinzi …..hana access ya kujua kila kitu kinachoendelea , mama Stagomena Tax ni mtu wa usalama muda mrefu na ana uzoefu mkubwa sana kuhangaika na mambo ya usalama na ulinzi ndani ya SADC hakika alifaa sana pale …
Huyu Inno hata sijui ni kazi gani ambayo utasema anaiweza vizuri …yuko so cold ……
Lakini pia inahitaji uchambuzi wa hali ya juu kabla ya kumpa access ni siri za nchi yetu …..ukimtazama yeye na mkewe ambaye ana familia Rwanda ….ambao always wanajitajidi sana kuweka bifu na sisiii japo ni watoto wetu ……Inno angebakia kwanza mbunge …maana ashajaribiwa wizara karibu nne na zote hakuna cha kukumbukwa amekifanya …nadhani upole umemzidi ……
 
Napongeza uteuzi wa Tax.

Ila bashungwa bado hajakomaa Kwa hiyo wizara, sijajua kwanini awamu hii ya sita inaogopa kufanya kazi na wakongwe, inawaondoa kwenye system watu mahsusi.

Hizi ndio zilikuwa nafasi za watu aina ya kabudi ni wakomavu.
Kwani Wakongwe watakaa milele? Inabidi wawapishe wengine pia.
 
Napongeza uteuzi wa Tax.

Ila bashungwa bado hajakomaa Kwa hiyo wizara, sijajua kwanini awamu hii ya sita inaogopa kufanya kazi na wakongwe, inawaondoa kwenye system watu mahsusi.

Hizi ndio zilikuwa nafasi za watu aina ya kabudi ni wakomavu.
Nina wiwa kukubali huu ushauri!
Wizara ya Ulinzi si mchezo mchezo kwa watu ambao bado hawajapikika na system.
Watu wasisahau kuwa hii ni wizara iiyoendeshwa na kina Mzee Rashid Kawawa na Edward Sokoine.
 
In fact Mtaka nimefanya nae kazi. Ni mtu wa domodomo. Ukiwa nae mbali utafikiri ni mchapakazi sana. Ukiingia uvunguni mwake utagundua ni mtu wa kujizoazoa alimradi aonekane anajambo analofanya. Waziri hatakiwi kuwa kama Mtaka.

Unamjua ……..na huwa anaona yeye ndio anajua kila kitu ….wenzake hawawezi ….muda mwingi anautumia kudiscredit wenzake ndio maana huwa anakosana nao
Lakini ni mtu anajua kutembea na ajenda na kuipigia debe …sasa kama anafanikiwa kwa kiasi gani sijui …lakini unaweza kuona Simiyu alisimama na viwanda [ one district one industry ] , kama vinaendelea au vimekufa sijui lakini alisimamia pamoja na Elimu ….
Dodoma akasimama na Elimu na Soko la wamachinga ambalo kafanikisha …….
So in summary ana mazuri na madhaifu yake …..bado anahitaji exposure zaidi ikiwa anahitaji kuja kutumikia taifa kwa nafasi kubwa huko mbeleni ili tusitengeneze Magufuli wengine …ikumbukwe magufuli kitu muhimu alikosa ni Exposure [ alikuwa mshamba ] …..sasa hawa kina mtaka kama tunataka kuwatumia tuwapeeleke big leadership colleges …tuwatafutie international jobs etc ili waondoe tongotongo
 
Napongeza uteuzi wa Tax.

Ila bashungwa bado hajakomaa Kwa hiyo wizara, sijajua kwanini awamu hii ya sita inaogopa kufanya kazi na wakongwe, inawaondoa kwenye system watu mahsusi.

Hizi ndio zilikuwa nafasi za watu aina ya kabudi ni wakomavu.
Naye hatamaliza awamu
 
Wizara ya ulinzi ni wizara nyeti sana na inahitaji umakini sana kuongoza, kwa bashugwa hapo mama naona kachemka angemuacha huko huko TAMISEMI naona aliipatia vizur sana na tumeona maendeleo mengi kupitia tamisemi.. ila huko kwenye ulinzi sema tumpe mda tu
hapo kwenye kuipatia ndicho kilichomtoa na kumpelekwa huko alipo sasa
 
Mtaka is overrated
Hii nchi ina viongozi wenye low self esteem,hawajiamini mpaka waumize au wakalipie mtu,Makamba,Mwigulu,Jafo,Turia akson,Azan zungu,Samia,Mpango,Hawa ni viongozi wasio na akili kabisa!!Wana Elimu kubwa lakini no intelligence,
Hawamfikii mkuu wa mkoa wa Njombe Mtaka,Mtaka alistahili awe Waziri mkuu,maana ana akili kubwa na maono kuliko hao machawa hapo juu,wanaofikri Swala la nguvu za kiume ndio tatizo kubwa hapa nchini,
Dunia inaongelea ukame,na maisha kupanda yenyewe yanafikiri nguvu za kiume ndio suluhisho
 
Mkuu unataka mama akaongelee ukame kwenye shughuli inayohusu mambo ya lishe?
Mkuu,achana nao hawa wao wamejaa chuki kuliko uhalisia.wengi wao humu ni waliopoteza nafasi walizozitumia kuendesha maisha hiyo 2020.

Akheri wangekuwa wanatuonyesha mambo kwa mifano hai kuliko nadharia.

Kama CHADEMA ina maono ya mbali kwa nini haina ofisi yake ya makao makuu kulinganisha na vyama vingine vya kisiasa mfano CUF,NCCR na ACT.

Hawa wao kazi kubwa kudandia matukio,sera ziliondoka na kina... Baregu(R.I.P)
Slaaa.
Kabourou(R.I.P).
Proff Safari.
Mkumbo.
Zitto.

Na hivi sasa wameondoka Halima mdee & Company.

Chadema imebakiza mihemuko tupu toka kwa kina....
Lema.
Lissu.
Mwalimu.
Heche.
Msigwa
Mnyika.
Mdude.
Kigaila.

Busara pekee iliyobaki chadema tena kwa mbaali ni Mwenyekiti Mbowe.

Huyu walau anapoongea unamuona anatumia busara na hekima.
Hakurupuki ovyo kama hawa wengine.
Anachagua nini aseme wapi na muda gani stahiki.
Siku ikitokea Mbowe akajiuzuru mjuwe ndio itakuwa pumzi ya mwisho ya Chadema.
 
Napongeza uteuzi wa Tax.

Ila bashungwa bado hajakomaa Kwa hiyo wizara, sijajua kwanini awamu hii ya sita inaogopa kufanya kazi na wakongwe, inawaondoa kwenye system watu mahsusi.

Hizi ndio zilikuwa nafasi za watu aina ya kabudi ni wakomavu.
Apewe makonda
 
Unaonaje sukuma gang inavyokomeshwa?
Sasa hapo nani sukumagang?
Mulamula au Stegomena!

Mbona Samia anaendelea kurudisha wateule wa Magufuli.

Kairuki alikuwa senior cabinet minister awamu ya Tano yote.
 
Huyo dogo size yake ni wizara ya utamaduni na michezo.
Inshort mkwe anamshauri vibaya mama mkwe wake.
Dah una makasiriko saana mkuu.sasa mambo ya wakwe yanaingiliana vip hapa au unakuwaga nao.ok tuseme anashauriwa na mkwe, wewe je ungekuwa na nafas hio tunajuaje kama hutashauriwa hata na nyumba ndogo yako? Mbona kujitia hamnazo anyway ndio uhuru huo mliokuwa mkitaka wa kuongea
 
Hii nchi ina viongozi wenye low self esteem,hawajiamini mpaka waumize au wakalipie mtu,Makamba,Mwigulu,Jafo,Turia akson,Azan zungu,Samia,Mpango,Hawa ni viongozi wasio na akili kabisa!!Wana Elimu kubwa lakini no intelligence,
Hawamfikii mkuu wa mkoa wa Njombe Mtaka,Mtaka alistahili awe Waziri mkuu,maana ana akili kubwa na maono kuliko hao machawa hapo juu,wanaofikri Swala la nguvu za kiume ndio tatizo kubwa hapa nchini,
Dunia inaongelea ukame,na maisha kupanda yenyewe yanafikiri nguvu za kiume ndio suluhisho
Humu hakuna substance,umejaza chuki na masononeko,huenda maisha kwako magumu licha ya kuhangaika muda mrefu kwenye taasisi za elimu kusaka vyeti,pole...lazima watengenezwe viongozi wapya,bashungwa kaanza taratibu na ukuu wa wilaya Leo Waziri wa ulinzi,huyo unayemuona ana akili serikali inamjua kuliko wewe..na Kama unaona afya ya uzazi si Jambo muhimu kwa mustskabali wa taifa basi wewe ndiye mtupu kichwani
 
Napongeza uteuzi wa Tax.

Ila bashungwa bado hajakomaa Kwa hiyo wizara, sijajua kwanini awamu hii ya sita inaogopa kufanya kazi na wakongwe, inawaondoa kwenye system watu mahsusi.

Hizi ndio zilikuwa nafasi za watu aina ya kabudi ni wakomavu.
Kuna kama wakina mwakyembe
 
Dah una makasiriko saana mkuu.sasa mambo ya wakwe yanaingiliana vip hapa au unakuwaga nao.ok tuseme anashauriwa na mkwe, wewe je ungekuwa na nafas hio tunajuaje kama hutashauriwa hata na nyumba ndogo yako? Mbona kujitia hamnazo anyway ndio uhuru huo mliokuwa mkitaka wa kuongea
Kunywa maji mengi alafu pumzika kwenye kivuli.
 
Back
Top Bottom