Mpalakugenda
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 4,611
- 5,009
Hujamshangaa maafweelegele?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo maana huwa nasema wewe ni mmoja ya watu wapumbavu sana. Kuna dini isiyokuwa na watu waovu? Kna jamii isiyokuwa na watu waovu? Idiot!Kwa kusali Jumamosi tofauti na Madhehebu mengine na wanawake wao kutovaa hereni na kutengeneza nywele wanajifanya ni watakatifu sana. Kumbe hawana lolote. Ona wizi wa mamilioni hapa
View attachment 3109363
Unaweza ukaedit hapo kwenye "mna" since mimi ni Mkatoliki.Mbona wengi tu hata mahubiri yenu mnajitapa
Ushawahi hudhuria mahubiri Yao?Unaweza ukaedit hapo kwenye "mna" since mimi ni Mkatoliki.
Anyway sijawahi kubahatika kuwasikia.
Kwa kusali Jumamosi tofauti na Madhehebu mengine na wanawake wao kutovaa hereni na kutengeneza nywele wanajifanya ni watakatifu sana. Kumbe hawana lolote. Ona wizi wa mamilioni hapa
View attachment 3109363
Siku ya Sabato ni ipi ndani ya Juma?Hii point ilishakuwa debunked mara nyingi tuu labda wewe sio mfuatiliaji, hata mimi nilishawahi kuwaelekeza watu flani humu ndani na wakanielewa vizur tuu.
Siku ya saba ya juma ni Jmosi, and this is a fact, wanahistoria wote wanakubaliana na hii point hata RC inajua kwamba siku ya saba ya juma ni Jmosi.
Mabadiliko yaliyofanyika kweny calendar are very well documented na hakuna kilichobadilika, Mungu kaziumba siku za wiki in a way that hata ufanyaje zitabaki kuwa vilevile, na hii ni moja kati ya sifa kuu za wiki ni kwamba huwez kucheza nayo kwa vyovyote, kutoka tarehe moja kwenda tarehe nyingine (kutokana na mabadiliko waliyofanya kweny calendar) hayabadilisha normal flow ya wiki, waliweza kubadilisha tarehe but the days are still the same, mfano wewe leo ubadilishe calendar useme leo ni tarehe 29 Sept kesho itakuwa tarehe 12 June, sawa utacheza na tarehe ila watu watahesabu normally kwamba leo ni J'pili kesho J'tatu, week days huwez cheza nazo kwasababu zimekuwa designed in a way that huwez kuzivuruga.
Mpunguze kujikuta wasafi sana kumbe wanafiki sana tena mnaroho mbaya wachoyo mpaka wa maji.Mbona mnatusema sana?
😆😆😆😆😆😆😆😆
Kama unadhani ibada ya siku ya saba ya Juma imeanza na SDA, pole sana.300 AD na sasa miaka 1720, ni ilpi imedumu zaidi? Au SDA hamsomi hesabu?
Hii Yako, Jumamosi ndivyo ya Kwenye BibliaNinajuwa Judaism au Jewish religion wanasali Jumamosi na ndiyo walimuua Yesu. Na hao siyo Wakristu!!
Wakristu wa ukweli wanasali JUMAPILI
Mungu atamtendea mema,ipo siku huyo ni shuhuda mwaminifu!Kuna mdigo wangu alipotezwa na mapepo ya Wasabato. Kahamia huko, ana degree na nafasi ya kazi ikatangazwa na interview ilikuwa Jumamosi, alivyo MPUMBAVU alikataa kwenda kufanya interview. Mpaka leo anaunga unga maisha kutegemea mkewe ambaya ni KKKT
Huwajui hao watu wewe!Wakianza kujisifu ni kama wamepewa funguo za mbinguni kuwakaribisha wageni.Wasabato ni modern jews.Nao ni binadamu. Sidhani kama umewahi kukutana na msabato anajitapa yeye hatendi dhambi.
Nilikwambia unipe authoritative scriptures zilizokuruhusu umtumie Bikira Maria kama mediator ila haujaniletea, kwann? Kwasababu haipo, there are lots of things ambavyo RC inaamua kufanya kwa mamlaka yake yenyew bila kufata scriptures, nikisema niyaandike hapa utashangaa, na wanafanya and they get away with it kwa sababu wamewapumbaza kwa kutosoma maandiko, tuseme tuu ukweli WASHIRIKA WA RC HAMSOMI BIBLIA KABISAKati ya RC na nyinyi ni nani wanafuata Biblia? Ni maandiko gani ambayo RC hawafuati?
This sentence here brother proves that you either don't know what you're talking about or you make assumptions to suite your needs, I can't argue with this level of ignorance.Nyinyi mapimbi waajabu sana, Biblia yenyewe imeandikwa na Wakatoliki, halafu nyie mnajifanya kuijua kuliko wao. Upuuzi mtupu
Yeah..ndiyo.. wote wabongo.. hao Owino ni wajaluo wa Rorya - Mara.Kweli hao ni watanzania wote?
Hizi dini zenu zimewafanya mmekua wasenge wasenge, watu wa jamii moja mnabaguana na kutetana kutetea tamaduni za Bwana zenu waliowatumikisha na kuwahujumu bila huruma.Wewe shoga umekosea kuingia mjadala huu. Pita kule
Hapo umeiweka vizuri.Nionyeshe Padre au askofu au papa ambaye Licha ya kutuhumiwa kujihusishanna matendo ya Ushoga, kubaka, na kulawiti watoto, wamewahi kufikishwa Mahakamani.
Kwa msioelewa Kanisa la Mungu la Sabato.
Siumeona hao majambazi walikua ndan ya Kanisa wamefikishwa mahakaman, maana yake tayari Kanisa limeshawavua ushirika.
Na hao watataabika Sanaa.