Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekuambia Biblia iliandikwa na Wakatoliki, halafu nyinyi mabwege manataka kui challenge kwa imani ya Hellen G White na frustrations zake!!Nilikwambia unipe authoritative scriptures zilizokuruhusu umtumie Bikira Maria kama mediator ila haujaniletea, kwann? Kwasababu haipo, there are lots of things ambavyo RC inaamua kufanya kwa mamlaka yake yenyew bila kufata scriptures, nikisema niyaandike hapa utashangaa, na wanafanya and they get away with it kwa sababu wamewapumbaza kwa kutosoma maandiko, tuseme tuu ukweli WASHIRIKA WA RC HAMSOMI BIBLIA KABISA
This sentence here brother proves that you either don't know what you're talking about or you make assumptions to suite your needs, I can argue with this level of ignorance.
Goodbye.
Mkuu jumamos kwao sijui itokee niniKuna mdogo wangu alipotezwa na mapepo ya Wasabato. Kahamia huko, ana degree na nafasi ya kazi ikatangazwa na interview ilikuwa Jumamosi, alivyo MPUMBAVU alikataa kwenda kufanya interview. Mpaka leo anaunga unga maisha kutegemea mkewe ambaya ni KKKT
Wapambane sasa...Nao ni binadamu. Sidhani kama umewahi kukutana na msabato anajitapa yeye hatendi dhambi.
Bila shaka wewe una vinasaba vya 666 na una ukaribu na Mnyama aliyetajwa kwenye kitabu cha Ufunuo wa Yohana ndani ya Biblia. Hoja ipo mahakamani, wewe umeshaitolea hukumu. Na hata kama ikiwa kweli, ni nini kinakufurahisha hapo? Ikiwa kuna mwovu mmoja amefanya, ndo Kanisa lote? Yesu alikuwa na wanafunzi 12 na mmoja akamsaliti, mbona wengine hawakujumuishwa kwenye dhambi ya usaliti?Kwa kusali Jumamosi tofauti na Madhehebu mengine na wanawake wao kutovaa hereni na kutengeneza nywele wanajifanya ni watakatifu sana. Kumbe hawana lolote. Ona wizi wa mamilioni hapa
View attachment 3109363
Haiwezi kutokea, sifanyi kaz za kipuuzi.Kumbuka kuwa wewe ni kiongozi wa wasenge hao unaowataja
Sheria itumike wala sio shida. Kama ni kutengwa na adhabu nyingine ndani ya kanisa ni sawa kabisa, hawa ni wahalifu kama wengine tu. Tuhuma dhidi yao zikithibitika wapewe stahiki yao.
Watu wa namna hii
Kwanini mmewahukumu na biblia imewambia msihukumu?Yesu alipochagua Wanafunzi 12 mmoja alikuwa Msaliti (Yuda Iskariot)! Na alikuwa Mwekahazina wa Yesu na Mwizi.
Kwa hiyo si kitu cha ajabu SDA pamoja na kujitahidi kuzishika Sheria hawezi kukosa akina Yuda.
Na siyo SDA hata madhehebu mengine Majizi hayakosi.
Mwisho kosa la Wachache halihesabiwi kama ni Kosa la dhehebu lote.
Yule ndugu anaitwa Andrea Chikwanda, ni Mkatoliki aliyeasi. Alisoma Kaengesa Seminary hadi Form IV miaka ya 1970s. Sijui kapatwa na nini baada ya kustaafu akiwa NjombeKuna huyu mchungaji anawahubiri wanafunzi Kila jumamosi Star TV anawaita wanaoabudu jumapuli mashetani live live bila uoga.