Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha uongo ulaya gani unayoongelea.Hata Ulaya/US sa hivi hii kitu ya masega wanaiba kishenzi.
Wacha uongo ulaya gani unayoongelea.
Our European visitors are important to us.
This site is currently unavailable to visitors from the European Economic Area while we work to ensure your data is protected in accordance with applicable EU laws.
Mkuu nimegonga mwamba kulikoni? Shusha vitu basi na sisi tusome.
Mafundi wa Tanzania ndiyo wanafanya maisha ya kumiliki gari yawe magumu...Ndiyo maana nimeamua kuwa fundi wa gari langu mwenyeweWakuu naandika hii mada nikiwa na hasira sana, Siku ya leo nlipeleka gari langu kufanyiwa service kwenye gereji ambayo nliiamini na huwa napeleka gari yangu hapo mara kwa mara kufanya service.
Sasa siku ya leo nlikua na mihangaiko mingine ikabidi nimuachie fundi gari aifanyie service.
Nkiwa kwenye mishe mishe nyingine mtaani kumbe fundi akashusha exhaust na kuiba hayo masega, bahati nzuri hapo gereji nilikuwa nafahamiana na Dalali mmoja hivi ndio akanitonya niwahi mara moja gereji maana kuna wahuni wanaiba masega.
Nilichukua bodaboda fasta na kuwahi gereji, yule fundi aliyekuwa anaiba masega alivoniona akakimbia kusikojulikana, ikabidi nipige picha kila kitu na kwenda polisi.
View attachment 1810412
View attachment 1810413
View attachment 1810414
Picha kama zinavojionesha hapo juu, Now niko polisi nashughulikia RB, hii Gereji ipo maeneo ya Kijitonyama.
Nacho washauri wadau ukipeleka gari yako gereji usiondoke na usije ukathubutu kumuamini fundi.
Imeniuma sana, ntakula nao sahani moja hii gereji.
Ulaya hii hii unayoijua,watu wanaiba hayo masega...na wizi wa hayo masega ulianzia huko ulaya na AmericaWacha uongo ulaya gani unayoongelea.
Mi huwa namfatilia Chris Fix youtube kujifunza ufundiMafundi wa Tanzania ndiyo wanafanya maisha ya kumiliki gari yawe magumu...Ndiyo maana nimeamua kuwa fundi wa gari langu mwenyewe
Wanaiba mkuu,wala usimkatalieWacha uongo ulaya gani unayoongelea.
Mkuu weka ni nchi gani ulaya kubwa. Mambo ya ku-generalise yamepitwa na wakati.Wanaiba mkuu,wala usimkatalie
Wacha kigugumizi weka ushahidi.Ulaya hii hii unayoijua,watu wanaiba hayo masega...na wizi wa hayo masega ulianzia huko ulaya na America
Mkuu weka ni nchi gani ulaya kubwa. Mambo ya ku-generalise yamepitwa na wakati.
Uk hiyo bro,usiwe unabisha tu bila fact mkuu
Uk hiyo bro,usiwe unabisha tu bila fact mkuu
Uk hiyo bro,usiwe unabisha tu bila fact mkuu
Hatukulazimishi kuamiamini...Wacha kigugumizi weka ushahidi.
Hapa ni Philadelphia, USA..Wacha kigugumizi weka ushahidi.
Hapa ni Philadelphia, USA..
Acha kujitoa ufahamu......Unataka kusema USA au Europe hakuna wizi wa hayo madude..?
Hapa hatuzungumzii insurance...tunazungumzia wizi wa cat converter...Huo ni wizi wa malofa mkuu, watu wana insurance zao they wouldn't care less.