Ha ha mmepata sehemu ya kuendeleza kufanya ugaidi wa mtandaoni na matusi yenu tu. Na kama ulikuwa hujui, hawa Waarabu wote wanajisifia kuwa ni Waswahili, wanajisifia kuwa ni Wazanzibari! Sasa kama nilivyosema huko juu.....Haya ni matusi dhidi ya Mtu mweusi, hayana tofauti yeyote ile na matusi ya Mwarabu, Mzungu dhidi ya Mtu mweusi. Lakini, Ukumbuke pia, Madhalimu ya Dunia hii ni kina nani. Usijiondoe ufahamu!
Hakuna sehemu yeyote ile katika mkataba ule, hakuna sehemu yeyote ile katika bunge la Jamhuri , hakuna sehemu yeyote ile katika ripoti za Kitaalamu iliyosema, Iliyotoa sababu kuwa ni "Wizi" ndio uliowafanya DPW wagaiwe Bandari, As a matter of fact hakuna sababu zezote zile za msingi zinazowapa Serikali kugawa bandari Bure kwa Maharamia wakiarabu zaidi ya Ukaribu na Rushwa iliyotamalaki....itoshe kusema nyuma ya pazia hili ni bakuli kubwa-Nimeliita robota sehemu nyingine- ya kuja kununua Uchaguzi wa 2025.
Ninasimama kidete na maneno yangu. Nikuhakukishie, kwenye makorido ya Ofisi kuna watu hawaonani nyuso kwa nyuso na kwa muendelezo huu wa kejeli, na unyanyasaji ni suala la muda tu kuwa wale mnaowatetea watakuja kuumbuka.
2025 sio mbali. Tutachagua kwa Umakini mkubwa sana.....Majambazi nje!