Richard
JF-Expert Member
- Oct 23, 2006
- 15,692
- 23,038
Holland wana tabia ya kucheza kwa kutegea na hata mechi na Spain walikuwa nyuma kwa goli mbili kabla ya kurudisha. Kwenye mechi dhidi ya Australia, Holland pia walikuwa nyuma kwa mbili.
Ikiwa watazubaa leo na huku joto likiwasumbua kwani linasimama kwenye 38.8 na sasa wapo nyuma kwa goli moja, basi wanaweza kupoteza hii game.
Ikiwa watazubaa leo na huku joto likiwasumbua kwani linasimama kwenye 38.8 na sasa wapo nyuma kwa goli moja, basi wanaweza kupoteza hii game.