serious amesema hivyo halafu yuko uraiani?Yaah! Diallo amesema tulipaswa kwenda Milembe kuangalia file la mgombea urais wa 2015 kupitia ccm
Weye huwa hauna akili zinazojitegemea.Upoupo tu kama kipolo cha ugali wa muhogo.Umevaa gagulo hapo ulipo au umefwafwansika tu?πππππ
Unamuelezea "malihemu"!ππππππHuyu ndio John Pombe Joseph Magufuli Mwamba na Rais wa karne
Aliyoyafanya dunia inayatambua wewe baki na Tundu lako kichwani
View attachment 1849254
Usiendeshwe na emotions.Nchi hii haina matajiri?Be sensible like your name jingalaoMatajiri au majizi
You are quite pompompo!Unaelewa maana ya hizo alama "..."?Hautonielewa hadi uvunje ungo.Very stupid!πππππHivi kumbe namjibu "MALIHEMU"
Nimekupuuza mazima wewe nenda tuu katafute mtoto wa darasa la pili akufundishe kuandika
Nani anampigania tena jiwe hivi Sasa? Kwisha habari yake!serious amesema hivyo halafu yuko uraiani?
pm alimuua nani wewe kima? Au una bwabwaja tu?
Ndio umemaliza faragha!?
Mama yake na Baba yake Dialla ndio vichaa.Dialo amesema huyu alikuwa kichaa,sasa kichaa anatoaga wosia?
WamfukuzaBasi ndo kaamua kutapika nyongo. CCM ijaribu kumgusa anuke
Rais anasema nchi ni tajiri, lakini anaenda kupora fedha za watu kwenye Bureau de change na bank ili aendeshe nchi! Zile rasilimali zetu tunazoaminishwa tunazo, mbona haziuzwi kutupunguzia hii double taxation kwenye line za simu? Tuliambiwa tuna gas nyingi sisi sijui ni wa ngapi, mbona gas ni ghali sana hapa kwetu? Au utajiri wa nchi hii ni wa kishirikina, hivyo sisi tusio washirikina hayuuoni?Dialo mwenyewe ndio kichaa ππ
Legacy ya Mwendawazimu wanajaribu kuficha hali halisi . Washenzi wa Taifa.Dialo amesema huyu alikuwa kichaa,sasa kichaa anatoaga wosia?
Hivi unajua hata kuandika kiswahili kweli? Unajitahidi kumtetea shaitwani lakini ngoma inagoma.Very stupid![emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Hivi uchunguzi kuhusu waliompiga risasi Lissu ulishafanyika? Uchunguzi kuhusu Ben Saa8, aliyekukuwa anahoji 'setifiketi' ya m2 fulani umeshafanyika? Hivi ile 1.5T imeshajulikana ilipo? Hivi ile 20,000 za wamachinga ziliingia kwny account ipi? Kwanini cku hivzi hatusikii tena habari ya vitambulisho vya machinga? Hivi mh. rais Samia aliposema anarekebisha mahusiano ya kimataifa na uchumi nani aliye haribu? Hivi zile dawa za corona toka Madagascar za propesa Kabudi zimeishia wapi? Hivi corona virus waliingia Tz baada tu ya march 17, 2021? Hivi Sabaya bado ni dc wa Hai?Hii nchi ni tajiri, Tanzania ni Tajiri sana ndugu zangu
Mungu aendelee kukupumzisha kwa amani
Hata wasiompenda kwa kuwabana kwa maslahi ya taifa wanakubali kazi zake
View attachment 1849270
Tunakumiss ila tunakushukuru kwa kutuachia chuma kingine Samia Suluhu Hassan, Mama wa taifa.
Mama anasema KAZI IENDELEE πͺ