Wosia wa Mirathi ya Dkt. Reginald Mengi: Jacqueline Ntuyabaliwe adondokea pua

Mkuu naogopa kuandika mengine. Hakika hali si nzuri. Battle lilikuwepo sema sasa yeye ni mke mwisho wa siku. Ila nakuhakikishia yako mengi ambayo naluambia leo hii jacky angekua ndani. Me viongozi wengine wananiudhi na ustaarabu wao
 
Mjane ana haki ya kukata rufaa!!
Kwa jinsi jukumu ilivyokaa sioni mwanya wa yeye kushinda! Akubaliane tu na hukumu hii ambayo imerejesha mgawanyo wa miradhi kimila utamnufaisha na kurejeshewa heshima ya mama mdogo kuliko kukaza shingo!
 
Mahakama inapoteua msimamizi wa mirathi yote huyo huwa yamekamilika

Soma hiyo hukumu inaeleza wazi kluwa ukoo ulishakaa na kumaliza hilo
 
huyu dada ana tamaa nyingi ya mali..kwa mila za kichaga atapigwa chini labda ile jumba la msituni mke wapili anapokuja huwa hapati ile heshima ya mke wa kwanza au mali kama yule wa kwanza kwanza kama ni shamba anaenda kutafutiwa pengine yeye na watoto wake na mali atapewa aanziye yeye mwenyewe huko hataingiliwa ila kuingia kwenye ukoo upate ile heshima ya mke ni ngumu na haipo kimila.kwa hio kichaga watoto wa nengi ndio watamiliki labda busara zao wampe kampan huyo mrembo alivuna nini na marehemu zaidi ya watoto na kufilisi hoja inaanzia hapo...watoto watapewa haki ya kusoma kama ukoo ukipata busara..ila mke wa pili haruhusiki kupazoea pa mke wa kwanza.
 
Jack kaandika twitter karusha na ripoti ya madaktari inasema mengi alikuwa vizuri kiakili
Huyu dada anahisi sheria watu wanatumia hisia badala ya ukweli katika kusimamisha hoja.

Huyo mzee hata kama hakuwa katika matatizo ya akili yale ya ukichaa, ile hali ya kuumwa tu inampa mzee kama yule less focus ya kuweza kujua anafanya maamuzi gani tena under pressure.
 
Alianzishiwa....but akili yake ilikuwa kula bata tuuu.......alitakiwa atulie kimya....wangemfikiria asingekosa mali za kuanzia, isitoshe anao watoto na mzee.......marafiki zake ndio waliomponza........wacha tumvizie tuone kama mzigo bado kabana....
Si naskia amepata mthungu?
 
Unajia kama mtu ana tamaa ni ana tamaa tu. Jacky kila kitu alikua anaganyiwa na still anafanyiwa. Services za magari, nyumba, lila kitu. Unataka nini tena zaidi kama si tamaa? Si angepaswa subiria tu mambo yatengamae?
Angetulia angekuja pata malipo mazuri sana sana.

On the other hand, kuna wanawake wana tamaa sana. Ndo ile mtu anaanza misuse resources. Mf. Jacky... kuifurahisha jamii na crew yako badala basi angalau hata kujiwekeza. Wapo wanandoa ambao wana biashara kwa pamoja na wanashirikiana vizuri sana. Na matunda tunayaona. Na ndo maana wanazidi kubarikiwa.
 
Jack ni ntu wa dili
Daah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] i love u
 
Hapo kama hakuwekeza vya kutosha kipind mzee yupo hai imekula kwake
 
Hizi tarehe mbona kama zinakinzana???
Dada kapanic..... Atajitia boko sasa hivi.....hiyo report ya matatizo ya akili imetokana na request gani mbona kama ni special report ya hali ya kiakili ya mgonjwa.

Why hiyo report imeandikwa kipindi hicho mapema sana...... Did kyln know kuwa utafika wakati kutahitajika report kuprove state ya akili ya marehemu au ni taratibu za kihospitali..... Somebody hebu help me think.
 
Mali ya mke wa kwanza walishagawana. Na walishapewa watoto makubwa,uridhi wa Mama yao. Wanadai ni mali zilizoachwa na baba wagawane. Na Mzee Mengi alishagawa mali hizo kwa watoto wake wengine, wale wadogo.
 
Kyln alimtongoza mengi. Alikuwa anamfuatilia mazingira anapokuwapo anajipitisha hadi mzee akamuona akamwita demu akapewa kazi ya P.A wa mzee ndio hadi mahusiano yakaanza huko huko.
Uko sahihi kabisa. Jacky alijilengesha na alimpora mwenzake. Yaan ilikua ni target kbs. Ni kwasababu she wanted a gucci life[emoji23][emoji23]

Huko twita ndo amekosea kabisa kupeleka jambo lake. Anakula spana za akina funjo balaa. Ngoja nikamuue tena
 


Sure....ila bado ana nafasi ya kufanya jambo kubwa sana...ana nafasi mno..bas tu anapenda anavyosifiwa tu mzuri mzuri..uzuri unaliwa?
 
Lakin kihalali Jack kama Jack si anatakiwa nae apewe mgawo wake kama mke wa marehemu?
Mmmmmmhmn hiyo itategemea na circumstances za kifo mzee. Kama alihusika kumpa urithi ni kama kumpa mwizi mali aliyokwiba...
 
Unajua hawa wanawake wanaotafuta maisha kupitia miili yao wanapenda sana kujivika vazi la kuonewa mara tu mitikasi zako zikivurugwa.
Ewaaaah. Na habari wanaipataga wakiyaleta mitandaoni. Halaf jacky alivyo kisoda analeta habari za private jui ya afya ya marehem mitamdaoni? Really?[emoji23][emoji23] na ya malukanga atuwekee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…