Hakika ni aibu na fedheha.Yule mdada alimdhiti Sana Mzee na huenda alichagiza kifo Cha gafla.Sema Wazee Wetu pamoja na Mapito wanayopitia kwenye Ndoa zao, lipo Jambo la Kujifunza katika hili la Mzee Machache..!!!
Mjinga SANA yule danga, alikumbuka kesi za Mengi na kina Manji za kibiashara, akaweka hicho kipengele, ili ionekane marehemu ilikuwa ni kawaida yake!Huo wosia kwa kweli una walakini sana mwanasheria mahiri hawezi kukubali kuweka kipengere hicho maana mahakama ikiamua kuukataa wosio inaukataa jumla kwa hiyo haiwezi tena kupangiwa hukumu.
Ukiisoma andaa na panadol kabisa..... Maana ile English ni ya ajabu balaa.Mwenye nakala ya hukumu wakuu.....
Baadhi ya wanawake wana roho ngumu looh🤣🤣🤣yaani uwadhulumu watoto wa mwendazake walioishi na baba yao toka ujana wake mpaka uzee wake kisa tu ULITOKEA kumpa "usingizi" ha ha ha ha looh dunia haiishi maajabu 🤣🤣🤣🤣Tamaa imemponza, yeye katika mali angejipa hata robo yake afu ajue anaiendelezaje watu wasingeshtuka
Hakika INJILI ,TALMUD ,TANAKH na QURAN haikukosea kutukumbusha VISA vya baadhi ya wanawake 🤣🤣🤣Mjinga SANA yule danga, alikumbuka kesi za Mengi na kina Manji za kibiashara, akaweka hicho kipengele, ili ionekane marehemu ilikuwa ni kawaida yake!
Wanawake tuishi nao kwa akili.
Everyday is Saturday............................... 😎
Define true love.....Nna wasiwasi na mapenzi yake kwa mzee...sidhani kama alikuwa na true love
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Asinge weza yule alikuwa na tamaa za kijinga kila kitu alijimilikisha yeye badala ya kuwa kitu kimoja na watoto wa kwanza ili ale vizuriAmejidhalilisha kiaina kutaka kujipea mali zooote kahangaika mahakamani bado kaambulia cha kugeiwa
Alifungua biashara ya kishua ya furniture. Sasa wabongo na njaa zetu mpaka upate mtu wa kununua kochi la million 10 sio mchezo, biashara ikafa kibuduYaani jack bwana ...muda ule ilikua muda mzuri sana kufungua kampuni yake akakimbizana nayo ikasimama..mweee kwenye miti jamani!
Ile sio biashara mkuu..vistuli unauza 3m..khaa ..! Angemfungulia kampuni hata za usafirishaj madin anajipelekea dubei huko au hata construction..mweeeee nasema mweeeeee!Alifungua biashara ya kishua ya furniture. Sasa wabongo na njaa zetu mpaka upate mtu wa kununua kochi la million 10 sio mchezo, biashara ikafa kibudu
🤣🤣🤣Shidamoja WACHAGA wakifa
kudhulumu maliza watotoo imekuwa Kama cancer yya kizazi....
Nimekukumbuka[emoji848]Yaan kila kitu kilikua staged. Its only that ashukuru akina jk. Angekua anajisaidia kwenye kisado mida hii
Leo? Mbona sijaona kitu[emoji849]Halafu nilikutumia hii kitu toka asubuhi[emoji28]
Regina anaonekana uso wa mbuzi sana! Yeye ni pesa tu. Pure Mangi 🤣🤣Jack bwana wenzie wanapambana kuendeleza kampuni yeye busy kujipost insta...wakina Regina hata account huko insta hawana