WW1, WW2 na kinachoendelea sasa Middle east vilipangwa mwaka 1871 kama barua hii ni kweli

THREAT TO THE WORLD PEACE kama umesoma hii kitu inafahamika ....big up..
Kuna insight ndogo nilizisoma kwenye kakitabu kadogo kanaitwa the enemy unmasked.
Kinaelezea mipango tajwa hapo juu, pia Kinaelezea undercover wa mipango hii ni modern illuminati ambayo iliasisiwa na jamaa anaitwa Adam weishaupt huyu akiwa financed na Rothschild alianzisha chama hiki may mosi 1776 huko bavaria German.

Na huyuhuyu Adam kinaelezea ndie aliyempa mjerumani mwenzake mwenye Asili ya uyahudi Karl Marx document iliyoitwa communist manifesto na dunia inamuona Karl Marx badala ya walionyuma yake.
Na mambo mengine mengi kama haya ni kweli yanakuwa matured na kuleta hiyo barua tajwa. Hawa ni watu halisi na sio manefili wala machotara wakishetani. Mambo haya yanaweza kuwa kweli, sio kweli au changamoto kwa wakazi wa dunia kulink uhalisia wa matukio na hizi conspiracy zilizotungwa zamani lkn zinamap matukio mengi halisi Sasa.
 
Wakibishana kwa hoja tunafaidika sana, ila hawajui tu. Yaani mim kila nikikaa dakika chache naufungua tena Uzi huu kuona madini mapya toka kwao.
 
Kweli mtazamo wa huyu ndugu ni haya mambo yanafanywa na machotara au hybrid wa Shatani na mwanadamu, yaani viumbe wasio pure human being Bali ni nusu mwanadamu nusu Shatani. Hoja hii inatia hofu isiyo ya lazima kuwa Kuna advanced being between human being and Satan ambaye anainfluence maisha hapa duniani kitu ambacho ni non biblical and unscientific. Ila kwa sababu Mungu aliumba planet earth na kwenye universe Kuna billions of plannets sio hajabu kukawa na uumbaji wa viumbe wengine huko maana bibilia iko bound na uhusiano wa Mungu dunia na Mbingu na Shatani.
Dunia hii ni vita Kati ya Shatani na Malaika zake, Mungu na Malaika zake na Mwanadamu aliyeanguka. Hakuna advanced human being hao ufo kama wapo kweli uwezekano ni kuwa intelligent being from other planets ambao hawana nafasi wala ushawishi wowote na kinachoendelea Sasa duniani.
 
Hao Malaika kufungwa kifungoni ili wasiendelee kuzini na wanadamu na kuzaa hao machotara wa kishetani ambao kwa maelezo yako ni advanced being ambao wako nyuma ya uovu na mipango hasi ya dunia hii haihitaji utafiti ni vitu ambayo vitapatikana kwenye first book of Enoch japo umekanusha na kusema hizo ni quotes from distorted book of Enoch Bila kuweka your current truth kutoka kwa hicho pure. Pili vitu hivyo haviko supported na bibilia, bibilia I nazungumzia kifungo cha Shatani na maraika zake wote miaka elfu baada ya Mungu kuja kuchukua wa teule wake.
 
Hakuna kitu kinachotokea bila sababu
Labda nikuulize we ulizaliwa kwa sababu gani?
Mi tangu mwanzo nipo mdogo wakati najifunza,
Somo kuhusu kwa nini kuna majanga yanatokea na yanaua watu wengi sana..!
Niligundua kila kitu kinatokea kwa sababu?

Mwisho wa siku niligundua kuna matukio yaliopangwa tangu zamani sana
Ni sawa na picha ya utawala wa NAZI iliyopigwa zamani sana
Lakini katika ile picha alionekana jamaa mmoja akiwa modern camera
Ambayo kwa wakati huo ilikuwa bado haijatengenezwa,!

Kwa hiyo amini usiami mambo mengi ni ya kutengeneza.
Na kuhusu elimu ya hizi taarifa za namna hii sijaanza kujifunzi juzi au jana,
Ni muda mrefu kwa kuwa huwa natumia kauli ya.....
Kile unachokiona na kukifikiria hakiwezi kuwa hivyo amini ndivyo kilivyo ila wewe tu umeziweka fahamu zako kifungoni kuto ziacha ziwe huru..

Kwa kuwa tayari ulishapandikiziwa taarifa ya kwamba...
Sababu ya WW1 ni hii na ukafundishwa darasani basi tayari walishafunga
Uwezo wako wa kufikiri na kudadisi.
 
Mkuu hapa mbona kama unachanganya au unajichanganya. Yesu alikuja kuhafifisha kazi ya Shatani. Wewe huyohuyo unasema watoto waliozaliwa na Shatani na watu, hao machotara ndio wanarun dunia kwa background na sio free human being. Huoni kama unawainua hao viumbe wako zaidi ya kazi ya yesu msalabani. Kwa mfano hili chotara likamkubali yesu yesu analifanyaje kulinganisha na mabadiliko ya mwanadamu mdhambi aliyemkubali yesu/Mungu.
 
Je hawa wanefili ndio ile "13 bloodline family" inayotawala dunia?

Kuna mahala nilisoma kuwa watawala wa mataifa makubwa yaani maraisi na wafalme wote wametokana na hizi familia 13. Humo zimezungumziwa familia kama Rothchilds, Bush family, Rockafela, familia ya ufalme wa uingereza na zengine kuwa hawa wote ni ndugu. Wanaoana wenyewe kwa wenyewe wakalink na kifo cha Princess Diana kisa ilikua ni kutembea na kutaka kufunga ndoa na yule jamaa wa kimisri hivyo angetoka ktk bloodline.

Wenye ujuzi tunaomba ufafanuzi hapa
 
nmeizingatia sana hii comment.

kuna vitu vingi nikiviona huwa napata maswali ambayo majibu nnayopewa ni ya ukweli lakini akili yangu huwa hairidhiki kabisa.

kwenye hii dunia kuna namna
 
Mkuu umenikumbusha mbaali sana enzi hizo ni kweli hawa watu ulowasema wako vizuri mnoo juve2012 Deception @Mgalanjuka na kuna mmoja naona kama kapotea kabisa humu anaitwa Barcelona
 
Hii dunia ina mambo mengi yamejificha, huwa najiuliza kwanini Rothschild family na Rockefeller families hawamo kwenye Forbes au kwa sababu wao ni trillionaires?

Katika vita vyote hivi vitatu ilitafutwa sababu ya kuwashawishi raia wa marekani kuona ni Sawa nchi yao kuingia isipokuwa Vietnam War ambayo hadi kesho wengi hawajui kwa nini wapeleka kuua vijana wao huko.

1:WW1 meli kubwa lililojaa wamarekani lililipuliwa ( LUSITANIA attack) rais Wilson akaingia vitani.
2:WW2 Pearl Harbour Attack, Pamoja na kiongozi wa Japan kubembeleza wakae wayamalize Rais Roosevelt akaiingiza US vitani
3: War on Terror, September 11 attack Bush kuiingiza dunia nzima vitani.
Matukio yote hayo ya kigaidi yanasemekana kuPangwa ili kuhalalisha us kaingia vitani ili angalau hidden agenda ifanikiwe na mwisho unaosubiriwa na wanaimani wengi ufike. Hapo hakuna cha ufo wala allien wala semishetani being ni hawahawa wanadamu wanaokula Wali maharage.
 
Kuhusu hayo ya Vatcan ndo maana ni vigumu na haitotokea Papa mweusi kutawala Vatcan,msinipige mawe nawaza tu japo kwa sauti!
 
Inahitaji jicho la tatu kuona haya mambo yanayoendelea kwenye hii dunia kama MKUU EIYER alivyojaribu kutumia jicho lake la tatu,,,,,,ukweli ni kwamba the world is far from perfect
Unachokitenda na kukiamini sasa ni matunda ya lucifer...... na huu ukweli vatican wanaujua na kamwe hawawezi kuufichua
 
Napenda kuungana na mkuu EIYER ya kwamba shetani anahusika kwenye udanganyifu huu kwa kadri anavyoona inafaa. Tukianzia eden kwa kutumia reference ya biblia shetani alimshawishi Hawa akiwa katika umbo la nyoka,Yesu alishawishiwa na shetani akiwa katika umbo la nyoka vile vile.
Uwezo huu wa shetani kujibadili na kuwa katika maumbo na tabia mbalimbali inaweza kusapoti wazo kwamba hata yanayotukia yanaweza kuwa yanatekelezwa naye mwenyewe au roho waasi wenzie. Mfano,Adam weishupt angefaidikaje na uandaaji wa plani ya miaka zaidi ya mia 3 na zaidi wakati anafahamu hata kuwepo kwa kipindi hicho? Inawezekana kabisa bloodline inayoongelewa hapa ndio inayotekeleza haya maana tunaambia katika biblia ya kwamba roho zao hazifi hadi siku ya mwisho ama shetani katika umbo la kibinadamu anayatekeleza haya.
Point yangu ya pili ni kwamba,references za mijadala yetu sote inatokana na kitabu biblia ambacho binafsi naamini hawa jamaa wanaweza kuwa wameisha distort ukweli kwa kiwango cha kutosha ndio maana mijadala yetu inakuwa haiishi kama duara. Mungu aliposema ya kwamba tutafute maarifa,alijua kutakuwa na hidden truth kuhusu yeye na uumbaji.
 
Asante sana kwa ufafanuzi wako, hebu niambie wanataka nini kwetu kama kupotosha na kuwaibia wamisri mambo mengi hawatuachi?

Watawezi kumaliza dunia kwa malengo yao hata kama wakileta maradhi kama HIV zika nk au WW3 will wipe the entire population?
 
Asante sana kwa ufafanuzi wako, hebu niambie wanataka nini kwetu kama kupotosha na kuwaibia wamisri mambo mengi hawatuachi?

Watawezi kumaliza dunia kwa malengo yao hata kama wakileta maradhi kama HIV zika nk au WW3 will wipe the entire population?
hapa kuna mambo mengi na mitazamo mingi ila kinachotarajiwa sio kumaliza wakazi wa dunia. Hapana ni kuwaandaa wakazi wadunia wote watakaokuwepo juu ya kile kinachoitwa MAISHA BORA KABISA KWA KILA MWANADUNIA. Yaani ONE WORLD GOVERNMENT. ukifuatilia miaka ya zamani wafalme walitawala Dunia nzima bila kuwepo na vita vyovyote kikanda. lakini leo ni vita kila kona(probably planned to still minds of people to accept the pre-planned grobal proporsal). Haya mambo bado yapo kinadharia lakini siku yatakapo tokea tukiwa hai tutafanya informed decision. WW3 au War on Terror sio kwa ajili ya KUFANYA DEPOPULATION ila kuwashawishi wakazi wa dunia nzima juu ya mpango wa kuiunganisha iwe kitu kimoja, Na hapo kila raia wa dunia atakuwa na Option Moja kukubali au Kukataa na kubaki katika dilema hasa kama hauna imani dhabiti ya Mungu. Ila Asilimia ya kupinga inategemewa iwe ndogo maana tayari tunaandaliw a kupitia TV,MOVIES, SOCIAL MEDIA,CHurches, International forums and organizations, Schools and university Curriculums, Theatre centres, Entertainments etc, Yaani popote alipo mwanadamu amezingirwa na ushawishi wa kuprogram Ubongo kuchagua vya kupenda na vya kuchukia automatically. Automatic Grobal Mental Reprogramming. Haya tunayasema hayana haja sana kuaminiwa sasa ila ikitokea tusishangae sana kana kwamba ni wageni. Watu wanafuatilia trend hizi kwa Ku decode vitabu vya Daniel na Ufunuo japo sio kazi rahisi na kutia tick kila kinachotimia. Mambo haya yanafanywa na wanadamu purely. Kwa waamini na wafuatiliaji wa Bibilia kwa kusoma na kutafakari kuna suluisho kubwa tu la kuexist katika mazingira haya yanaoyoonekana ni ya kufikirika lakn ni busara kuacha chumba cha uhakika wa uwepo wake katika Ubongo ili yakitokea isiwe kama Suprise.
 
Mkuu mseza mkulu,kwa maana hiyo haja ya kuiunganisha dunia haiishii kwenye maisha bora kwa kila mwanadunia bali kutakuwa na conditions zitakazoingilia imani zetu katika kuabudu? Msituchoke jamani
 
Mkuu mseza mkulu,kwa maana hiyo haja ya kuiunganisha dunia haiishii kwenye maisha bora kwa kila mwanadunia bali kutakuwa na conditions zitakazoingilia imani zetu katika kuabudu? Msituchoke jamani
Wakati dunia ilipokuwa chini ya Mtawala mmoja mfano, Mesopotamia au Babylonian empire Chini ya mfalme Super Genius NEBUCHADNEZZAR dunia nzima ya wakati huo ilikuwa chini ya Mungu mmoja, Taratibu moja za dini, Mfumo mmoja wa kiuchumi,hata kama unafanya taratibu zako zako basi ufanye sirini usionekane. Na ilionekana ni rahisi sana kutawala dunia.
Ndio maana Wale jamaa watatu walioelezewa kwenye kitabu cha daniel walipogomea taratibu za dini wakati watu wote wa kila rangi kabila itikadi wakipiga magoti na kukubaliana Walitupwa ndani ya Moto. Na Ikaonekana kuwa na taratibu tofauti ni kama kuhatarisha amani. Na sasa kwa Mujibu wa wafuatiliaji wa mambo yajayo Dunia Inarudishwa kulekule babeli kwa kasi nzuri tu. Watu wa imani wanaamini Dunia inaelekezwa kwenye Vita ya Mwisho ambao Shetani na wafuasi wake wanakwenda kutumia SIlaha zao za mwisho za maangamizi Ila Mungu nae anaingilia kati kwa kwa walio wanyenyekevu kwake. Kwa lugha ya picha hiyo hali imeelezewa Ufunuo 18:2,3 Ila haita dumu muda mrefu Mungu anaingilia Kati na Huo ndio Mwisho wa Historia ya Ulimwengu. Huu ni Mtazamo wa kidini japo kuna Mitazamo mingi maana dunia hii huru tunajadili mambo Kidini, Kiuchumi, Kisiasa, Kimaendeleo na kila Mtazamo Unapingika na unakubalika. Kwa mtazamo wa Kidini Dunia hii kama ni Meli imekalibia Bandarini hakuna kurudi nyuma. Ila kisiasa na kiuchumi ngoja tuendelee kutatua matatizo yetu ta kila siku maana haya Mambo lazima yamuathiri kila mkazi wa dunia kaika nyanja zote za maisha yake ikitokea yametokea.
 
Huwa najiuliza maswali kama haya haya je hii Dunia iko Miaka mingapi? Je ni kweli vita zile zilizotokea zilikua na sababu hiyo tu ya mtu kuuwawa basi ikawa balaa lile...lakini ukiangalia Duniani hapa Matajiri na watu wenye pesa wana nguvu kubwa hata kushawishi nani awe nani serikalini..hilo limetokea majuzi kule Afrika Kusini familia ya Gupta ikituhumiwa kuteua Mawaziri..
Lakini kule Brasil kuna mawaziri wa Rais Temer wana tuhumiwa kucheza deal na yeye Rais huyo ambae alijitenga na serikali ya Dilma Rousef...Mama huyu inasemekana kama ilivyokua kwa Chavez..kichner yule wa Argentina na wengine wengi waliokua na misimamo mikali kuanzia Saddam Hussein..Ghadafi..Ahmed Nejjad...na dogo wa korea ya kasikazini manake hawa ilitakiwa waondoke mmoja baada ya mwingine kwa njia zozote zile...ukiangalia Dunia hapa kwasasa mtu kabisa mwenye msimamo mkali na ushawishi mkubwa hayupo tena....na msisahau watu wale wapambanaji sio rahisi kupatokina....naamini kuna zimwi linaongoza Dunia kiimani..fikra na matendo
 
Nimejaribu kuwafuatilia wadau hapo juu ila naona mtanichanganya tu .Mkuu Eiyer hivi ni kitu gani kitanifanya niamini haya uyasemayo ni kweli na nisiamini hichi nilichokikuta na kukiamini ? Hapo kwa hawa jamaa Wanefil bado kuna majibu naona hayajakaa kushawishi kwamba ndio ukweli wenyewe

Kuna swali mdau kakuuliza hapo juu
Inakuwaje kwa malaika kuwaingilia kimwili wanadamu ? Je waliumbwa na jinsia tofauti ?
Au kwa sababu ni malaika basi wana uwezo wa kujibadilisha ?

Hicho kizazi cha Wanefil kilicho teketezwa na Gharika kuu ilikuwaje wakasalia ? Wakati safina ilibeba watu nane tu ? ..

Pia siwezi kukulaumu sana kwa sababu itahitaji miaka kama 30 kuanza kuamini huu ulimwengu wa pili tofauti na huu nilio zaliwa nikaukuta

Na maswali mawili hapa baada ya wewe kujua habari za ulimwengu wa pili umepata faida gani mpaka sasa ?

Kwamba kila tunachoambiwa ni uongo tu huku ukweli ukibaki kwa watu wachache
Ni kwanini wanadamu wachache wenye kujua hizo siri wazipiganie kwa hali na mali huku wakijua watakufa na hawaishi milele ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…