Wewe kibaraka wa imperialists mwache pascal mayala to hell with youPaskali umepiga lager kabla kuandika haya au? unaikana Environmental impact assessment hujui faida yake? Kuna maendeleo yoyote Nchi inaweza kuyapata bila athari za kimazingira kutokea? Taratibu ushabiki gani huu!
Kuna kitu nikiandika kuhusu hizo Zoo hakuna MTU ataenda na itakuwa kashfa kubwa mno ya kimataifa ambayo yaweza sababisha collapse ya hiyo biashara ya zoo.Naomba niheshimu wamiliki wa zoo ila niombe WWF na Whoever that leave us alone .Hiyo WWF Nina ya kwao mazito please leave us alone msituchokonoe pleaseMnajidanganya nyie, wamarekani licha ya kutokuwa na wanyama wengi kama sisi lakini karibia kila jimbo wana ZOO na wanyama ni hawa hawa
Hahaha uandike wewe watu wasiende kwenye zoo?! Andika labda utasaidia serikali yako ijitambue. Wanyama tunawauza wenyewe halafu tunahamasishana kukuza utalii.Wachina wanamiliki panda wote walioko marekani hata wanaizaliwa huko. Sisi tunauza jumla jumla halafu tunalialia ohoo shitholes.Kuna kitu nikiandika kuhusu hizo Zoo hakuna MTU ataenda na itakuwa kashfa kubwa mno ya kimataifa ambayo yaweza sababisha collapse ya hiyo biashara ya zoo.Naomba niheshimu wamiliki wa zoo ila niombe WWF na Whoever that leave us alone .Hiyo WWF Nina ya kwao mazito please leave us alone msituchokonoe please
Very pathetic,apart from having resources required for industrialisation,key factor is human resource,something tht we as a country we dont have,Singapore didnt have much resources but they devoloped their human resources..same applies for japan..so before you start throwin stones think about that....Haturudi nyuma...energy for development through industrialization
No choice, tutajenga bwawa!Tunahitaji umeme.
WWF au UN wakafuge wanyama na ecology systems pale Washington DC au Brussels.
Mbona, Trump kajiondoa kwenye mkataba wa Climate Change Summit uliofanyikia Paris!?
Waache upoyoyo.
Amazon kuna power Dam 250 na hawa WWF hawakuzuiya ije kuwa hii yetu?Tanzania ni ya watanzania.
Ni upuuzi mtu kukaa Washington alafu atupangie watanzania namna ya kutumia rasilimali zetu!
Hawa jamaa hawatutakii mema. This is imperialism at its best.
Yani wanaguswa zaidi na nyumbu wa Sealous kuliko watanzania mamilioni ambao wanaishi gizani?
Ni upumbavu zaidi kuwasupport hawa jamaa!
Trump anasema "America first", na sisi tunasema Tanzanians first!
Learn to use kind words, it will help you to be listened tentatively by your prospective audiences. By the way, be specific, what do you mean by these words" human resources" in relation to our country strategic plan toward industrialization!?Very pathetic,apart from having resources required for industrialisation,key factor is human resource,something tht we as a country we dont have,Singapore didnt have much resources but they devoloped their human resources..same applies for japan..so before you start throwin stones think about that....
Mkuu unajua jamaa hawa ni vigeugeu. Hydro ni renewable energy, gas siyo renewable. na mara zote wanashabikia renewable energy. Pale TANESCO upande wa solar energy wamekuwa wakipiga hela ndefu sana kwa kisingizio cha cheaper energy, ingawa mimi naelewa ni kupoteza pesa zetu na kutafuta mbinu za kuiba kupitia makandarasi binafsi.
Kama alternative ya hydro ingekuwa ni nuclear ningesema twende nuclear lakini huwezi kuacha hydro over gas. South Africa hawakuwahi kuwa na hydro. energy source yao ilikuwa nuclear na wanapanua reactor zao beyond anyone sasa hivi, lakini wamekwisha anza hydro kwenye Limpopo. Iache gesi iwepo lakini tusiache hydro. Hiyo faida ya pili ya gesi kutumika majumbani, kwa TZ bado. Hiyo ni methane ambayo ni flamable kuliko propane na butane tunazotumia kwenye mitungi. Kwa hali ya maendeleo tulipo ni hatari kuingiza methane majumbani na wataalamu wanaelewa hilo na itachukuwa miaka mingi. Nyumba zetu hizi na mazingira yake hayafai.
Angalia ripoti inavyogusagusa vipengele vingi kutaka kuhalisha maamuzi yao. Wanagusa hata Climate change bila kusema climate change inasema nini juu ya East africa. Ukisoma ripoti za IPCC utagundua jamaa hawa ni watunzi wa hadithi tu! Bahati mbaya tunao watu humu JF ambao nahisi wanajifunza kujenga hoja na ikifikia ushabiki, hoja wanaacha na kuanza CCM vs CHADEMA. Ndo maana nimewahi kuomba rais atimue mbio tu maana baadhi ya wanaoomba kusikilizwa hawana la kusikilizwa!
Hahaaa. Huo mfano wa mimba ni BALAAAAA...Watulie, Magufuli amesema EIA itafanyika baada ya ujenzi, Yani ni sawa na kumtia mimba msichana halafu baada ya kujifungua unamwambia mkapime kama mna ngoma. 🙄.
All in all wafunge midomo yao hii ni ardhi yetu na tunauwezo wa kuifanyia tunachotaka tunasema ni "Sovereignty of the state"
Hahahah....kind words....industrialisation requires not only natural resources but also attitude of the people who controlls the natural resources....your attitude and the likes of you hinders flourishing of industrialisation....Learn to use kind words, it will help you to be listened tentatively by your prospective audiences. By the way, be specific, what do you mean by these words" human resources" in relation to our country strategic plan toward industrialization!?
Mnajidanganya nyie, wamarekani licha ya kutokuwa na wanyama wengi kama sisi lakini karibia kila jimbo wana ZOO na wanyama ni hawa hawa wetu tunaojivunia, Tembo, Twiga, Nyani, Chui, na wengine wengi. Wamewatunza vizuri na kuwazalisha, sisi tunazo mbuga za asili na wanyama wa asili sio ZOO. Hao WWF wanatusaidia sisi na wanyama wetu, ushauri wao kwetu ni wa kitaalam sisi tuna leta siasa na ujuaji.
Watalii wengi kutoka huko marekani waliisha waona Twiga, Tembo,Chui na wengine huko huko marekani, hukuk wetu, Tanzania, Kenya, Afrika kusini Namibia wakija wanataka kuwaona wanyama hao kwenye natural habitat zao, na hicho ndicho hao WWF wanakitetea, eti sisi tunawasikiliza wanasiasa wasiofahamu chochote kuhusu ecologia na maisha ya wanyama wetu lakini wanahamasisha UTALII waingize pesa.
Ohoo viwanda, hata hawafahamu wanataka viwanda gani vya kutengeneza nini, kwa teknologia ipi na ya nani kutoka wapi?!
Siasa zenu ziishie bungeni acheni wataalamu wawaambie ukweli.
Muambiwe mara ngapi? Sikio la kufa........Watuambiue njia mbadala za kuondokana na tatizo la nishati ni zipi na sio kupinga tu.