Ya MC Pilipili hayapaswi kufanywa na mwanaume rijali


Tatizo tumejijengea mwanaume hatakiwi kulia wakati wanaume wako sensitive and vulnerable Kama sisi tu,mie ningependa mwanaume wangu alie tena kwa yowe,yewoooomiiii
 
[emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16]ah ah ah daah,siamini km kitu km hiki kimetokea,ah ah ah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakubali mwanaume analia lkn pale hakukuwa na hisia zozote.
 
Mh sijaimaliza hyo clip nimeona aibu, Dada wa watu kasimama tu dume zima analia, angekuwa mwanamke analia mwanaume angempiga hug la nguvu kumbembeleza, sasa huyu dume watu wanamuangalia Kama picha linajibembeleza lenyewe mfyuuuuuuu zake kanichefua πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…