interlacustrineregion
JF-Expert Member
- Oct 28, 2018
- 7,134
- 7,395
Washamba ni hao hao wanaoliaga kila kukicha kudharauliwa na Wake zao na kumegewa na wakata nyasi.Wanaume wa mikoani wameumia sana nyie wanaume wa mikoani ni dhaifu na washamba...
New Jiji Dodoma DOMPO
We mwache mile kitendo kitamtafuna kwenye hio ndoa yake huko mbeleniBwege kweli kweli hili. Hawa ndio wanao pandwa vichwani na wake zao.
Udhaifu No. 01, kaisha tayari.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumpigia mwanamke magoti by any means huo ndo ushamba na uzwazwa.
Yaani sisi watu wa ajabu sana. Unaweza kuta huyu aliyeanzisha hii mada pia huwa analia na kupiga magoti akiwa faragha na mwenzi wake Ila hapa kwa vile yupo nyuma ya keyboard anajifanya yeye mgumu. Sasa tunamsema Pilipili kwa vile tumemuona vipi kuhusu sisi tusiyewahi kuonwa. Kulia si tatizo kwani kila mtu anareaction zake kwa kila jambo linalomtoke katika maisha hivyo unavyomuona pilipili boya pia wengine wanakuona boyaTatizo tumejijengea mwanaume hatakiwi kulia wakati wanaume wako sensitive and vulnerable Kama sisi tu,mie ningependa mwanaume wangu alie tena kwa yowe,yewoooomiiii
Hakuna hisia bali ni upumbavu mtupu, sasa siku akilia huyo Mke wake atafutwa machozi na nani nakati tayari Mumewe kashajionesha jinsi gani ni dhaifu kwake?Nakubali mwanaume analia lkn pale hakukuwa na hisia zozote.
Haha hahaaaaaaa...!!!Siyo li mtu la shinyanga kweli? Kama ningekuwa baba yake lingekula kofi moja matata sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa ChifuWanaume wa mikoani msitusingizie Hilo ni limwanaume LA Dar limerithi kipaji cha Wanaume wa Dar Jinga Sana
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji22][emoji22][emoji22][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Siwezi kumlilia mwanamke lbda Mama yangu mzazi, uyo pili pili atakuja kujutia hayo machozi yake, Ushamba wa kiwango cha stieglers gorge
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nikiangalia hiyo clip naona aibu , wanaume wa Dom [emoji23][emoji23]
Acha ujinga ww, Mwanaume yupi wa mikoani aliwahi kulia mbele za Wakwe?Huyu ni wa mkoani halafu watu wenye tabis za ajabu ajabu 90% ni wa kutoka mikoani