Kwa hyo maamuzi yako mwenyewe yanakuliza? Au alisaidiwa kutongoza sasa haamini mwanamke alchokubaliana nachoKulia ni normal reaction,tendo lilikua emotionally significant...
PUMBAVU THAAAAANA hilo, sijui ndilo lenyewe MC PILIPILI hivyo linajing'atang'ata tu hapa na utaira wake wa kiwango cha SGR ili lionekane halikukosea kwa huo upunguwani wake[emoji57]Hivi mkuu hujaona vizuri hiyo clip au unajitoa ufahamu, jamaa kapiga kwikwi kama zote, domo limejikunja uso umejikusanya unasema hajalia, yani pale angepigwa busu kabla hajavika pete angegalagala chini au angezimia kabisa we angalia vizuri usipotoshe uma, kaanza taratiibu kafinya finya macho, then domo likajikunja, then huku anasikitika haamini anachokiona mbele yake baadae fulu mafuriko we huoni au unakataa kuona makusudi, au ulilia mzee baba na ww ulivyoona hiyo video clip
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we ushapotea wa hvo anaweza lia hata kwa bedTatizo tumejijengea mwanaume hatakiwi kulia wakati wanaume wako sensitive and vulnerable Kama sisi tu,mie ningependa mwanaume wangu alie tena kwa yowe,yewoooomiiii
Kweli kabisa Chifu, yani hii dunia yetu ya leo imeshavaa chupi kabisa kujizungusha katika muhimili wake(UCHIZI) badala ya nguo mwili mzima.Angekuwa katokea huku Mara sasa hivi tumesha mchezea panga za bapa..
Ile mtu ni fankuro papyentekeroHuyu jamaa hii clip yake nimeshindwa kuirudia hadi najisikia aibu kuitazama tena,kafanya kitendo cha kilofa nahisi ana chembechembe za mwanaume wa Dar.
Eti mwanaume rijali unamvish pete mpenzi wako huku unajiliza huo ni udada,yaani ni balaa sitamani kijana mwingine aje afanye kitu kama hiki.
ILA LABDA HUENDA JAMAA KAMKUTA MWANAMKE NA BIKRA[emoji23] [emoji23] [emoji23]
MGOGO KADATA
Beautiful ones are not yet born
Hahahaaa!!!Nmeona hii Video nkashangaa sana. Huyu kijana mvulana analia kumvisha pete ya uchumba mpenzi wake? Ametokea mkoa gani fala huyu? Mwishowe sisi wanaume wa mjini tunaonekana nasi ni mauza uza kama huyu fala.
Mwanaume huwezi lia hivi... Unalia kwa kwikwi mpaka mwanamke anakubembeleza? Sisi miaka yetu huyu angetengwa na jamii.mwanaume ilikuwa ni aibu kulia hadharani.
Unaliaje mbele mtu ambaye atakuwa mkeo na watu wapo? Unalia kwa kwikwi hivi kama huamini?mi nlizoea kuona wanawake wanalia hivi si wanaume.huyu jamaa ana tabia za kishoga bila shaka.
Nikweli hata mimi huwa hanifurahishi hata ongea yake ila tumpongeze tu kwa kupata wandani wake ni jambo jema sana kama mapungufu kila mtu ana mapungu yake.Huyu Jamaa anatumia nguvu nyingi sana kuchekesha. Ila siyo Mchekeshaji( Kila nikitazama Clip zake uwa naishia tu kusonya). Kwanza anaongea haraka. Anavyoongea havichekeshi. Tabu tupu. Leo anamvisha Mtu Pete anajiliza. Kiki za mjini hizi!!!Nimeamini hazipatikani kirahisi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mbona umepaniki ukweli ni kwamba nyie watu wa mikoani mnashida sana ndo maana mnafanya vitu vya ajabu ili muweze ku fit inAcha ujinga ww, Mwanaume yupi wa mikoani aliwahi kulia mbele za Wakwe?
Aliwahi kumpigia magoti Mchumba wake kwa kumvalisha pete?
Aliwahi kurembua macho kama demu akiongea na Mwanamke?
Aliwahi kula chipsi kuku na mayai ya kizungu yasiyo na baba wala mama bali ni kemikali tupu?
Anayeongea sauti ya 3 mbele za Mke akiwa anabembeleza nakati alibalehe ili awe dume kiuhalisia kwa kutoongea sauti za kimama mama?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo yeye ndio alikuwa anatoswa duh ila ni vizuri maana si kila mke au mume ni talanta kwako..Walikuwa wanamtosa sababu nasikia jamaa ni aina ya Wale Wanaume wenye viherehere. Wanaongea sana. Na Mwanaume unapaswa kuwa na Akiba ya Maneno. Sasa unaambiwa akiwa na Demu halafu akakutana na Marafiki wa huyo Demu ni yule Mwanaume asiyekuwa na Haiba. Anaongea anapitiliza. Aliwahi kudate na Rafiki yangu Mmoja hivi siwezi kumtaja hapa. Alimwacha kwa mambo yake hayohayo. Atofautishi Mahusiano na Comedy zake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uwe unamsaidia mdogo-mdogoTulikua tunapambana nae kumpata huyo manzi
Nikaona ngoja nmwachie mdogo wangu
Sent using Jamii Forums mobile app
So furaha yake ni kuoa ajuza aliyekwisha cheza mechi za kutosha mpaka Uefa Champions league?ameojiwa nimeona clip anasema alikuwa anapigiwa sana simu na majamaa wanalalamika wamepokonywa demu wao
NimekulewaMwanzoni demu alikua anamcheka, anashangaa hili bwege mtozeni ni la wapi..
Mwanamke hana kabisa ile mzuka wa tukio lenyewe yupoyupo tuu, halafu hilo jinga ndio linalia utadhani analilia mbingu..