interlacustrineregion
JF-Expert Member
- Oct 28, 2018
- 7,134
- 7,395
Kama ww ni Baba yake na huyo MC Pilipili sijui MC Tatutatu, ungefurahishwa na huo ujinga hadi nisipaniki?Mkuu mbona umepaniki ukweli ni kwamba nyie watu wa mikoani mnashida sana ndo maana mnafanya vitu vya ajabu ili muweze ku fit in
St.joseph ya wap mkuu ya kibamba au?mkuu huyo demu ni mzinzi tangu kitambo,,chuo nilikua nae st joseph yaani amepigika vya kutosha na wana
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo dada huwa anamkata jamaa makofiAlafu mwanamke wake mkavuuuu hata hajashtukaa..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yule mwanamke nunda aiseee
Sent using Jamii Forums mobile app
kumbe huyu ni Pilipili??"Kwenye misafara wa mamba kenge hawakosekani" ndivyo jinsi tuonavyo kuwa MC Pilipili ni Mvulana tu lkn ni Mwanaume kwa kutuwakilisha kimavazi wala si kimaamuzi sahihi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanalia wanaume wa Dar siyo Kanda ya Ziwa dada!Iko subjective,Kama unaona hapana kwake ilikua Ndio,hakuna safari ya mapenzi inayolingana na mtu mwingine,kila mtu ana experiences zake
Kumbe huyo jamaa ni MC Pilipili? Ila kama ndo yeye ni mshamba fulani maana jamaa anamuona yule dem sijui kama kitu gani yani? Maana kuna kipindi alikua hakauki kumpost post itakua hajawahi kua na dem mkali na haamini maana kimsingi kwa ule ufupi wake ni wanawake wachache sana wanaweza kumkubali na raia wengi sana walikua wana comment daah "daah blaza kwa ufupi huo huyo demu kafata hela na unaarufu wako" kibaya zaidi na yeye mwenyewe anajua hiloKama ww ni Baba yake na huyo MC Pilipili sijui MC Tatutatu, ungefurahishwa na huo ujinga hadi nisipaniki?
Samahani kama nimekukwaza lakini uongo ni dhambi huyo dogo katukosea sana Babu, Baba, Kaka, Wadogo wa kiume adabu.
Tena kama ni nyumbani kwetu ni lazima angekuja tukamlamba viboko vya kumfundisha heshima tena hadharani ili iwe fundisho kwa Wanaume wengine ambao wangeweza kushawishika kuigaiga huo upunguwani wake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwakuwa katuonesha hadharani basi ni haki yake tumuone BOYA, asingetuonesha hadharani tusingejali wl nini, angejua yeye na mkewe, ila kwa sahivi ni BIIIIIIGGEST BOYAYaani sisi watu wa ajabu sana. Unaweza kuta huyu aliyeanzisha hii mada pia huwa analia na kupiga magoti akiwa faragha na mwenzi wake Ila hapa kwa vile yupo nyuma ya keyboard anajifanya yeye mgumu. Sasa tunamsema Pilipili kwa vile tumemuona vipi kuhusu sisi tusiyewahi kuonwa. Kulia si tatizo kwani kila mtu anareaction zake kwa kila jambo linalomtoke katika maisha hivyo unavyomuona pilipili boya pia wengine wanakuona boya
Sent using Jamii Forums mobile app