Ya MC Pilipili hayapaswi kufanywa na mwanaume rijali

Oouh..sawa sawa.
 
Hahaha baba la baba

Duh! Punguza stress mwana, hayo mambo ulofanyiwa unadhani yanafanyika kwa kila mmoja!! Pole sana, nikuhakikishie hukunielewa, waachie tu wenye uwezo huo.
 
Rebeca83, hakunaga kitu kama hicho. Ni muigo wa kipuuzi kweli kweli ni udhaifu upuuzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wale wanaUME walokwisha fanyaga huo ukuda hivo watuambie ninini kiliwasukuma, sikuhizi naona wana wanalia michozi na kupiga goti kama sio magoti. Utamaduni mpya huu au uzuzu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo tumejijengea mwanaume hatakiwi kulia wakati wanaume wako sensitive and vulnerable Kama sisi tu,mie ningependa mwanaume wangu alie tena kwa yowe,yewoooomiiii
Yani halafu akishalia, uanze kumuona dhaifu na kumdharau!
 
Yani halafu akishalia, uanze kumuona dhaifu na kumdharau!

tuna mitazamo inayokinzana,siwezi kumuona mwanaume anayelia ni dhaifu,na siwezi kumdharau,sikushangai lakini kama umekuzwa ukiaminishwa mtoto wa kiume halii..utaendelea kuwa mkubwa ukiamini hivyo hivyo...
 
Nikupigie magoti? Are you doing me a favor? Kwani wewe hutaki kuolewa na mimi?

Don't you want this as much as I do? If not then nimekosea mahala. If you do, put the goddamn overpriced ring on.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
tuna mitazamo inayokinzana,siwezi kumuona mwanaume anayelia ni dhaifu,na siwezi kumdharau,sikushangai lakini kama umekuzwa ukiaminishwa mtoto wa kiume halii..utaendelea kuwa mkubwa ukiamini hivyo hivyo...
Kuna wakati ninakuwa na huzuni, ila ni aghalabu kuonesha hisia zangu dhahiri, nikizidiwa ntalia nikiwa alone. Males must be nurtured to be strong otherwise tutakuza vizazi vya akina MC Pilipili ambao wataingia kwenye ndoa huku wakiwa hawawezi kusimama imara. Inatokea changamoto, mke analia baba anashindwa ku take charge nae anaungana na mkewe kulia. Ulishawahi kumuona baba yako anajiliza mbele za watu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…