Madimba jr
JF-Expert Member
- Aug 12, 2017
- 1,577
- 3,146
- Thread starter
-
- #101
Real Man knows how to burry his emotions...na tumeumbwa hivyo.It's not about mimi au cute Kuwa mwanaume hakukufanyi usiwe na hisia. Nyie wanaume mnaojificha ndio hufa siku si zenu mkiogopa kufanya mambo
Sent using Jamii Forums mobile app
term ulijali ukiitafsiri kwa maana ya kudinda utafeli...tumia akili kuwazaKuna watu wanatafsiri ulijali kwa tafsiri zakijinga sana.
Hivi uanaume wangu au ulijali wangu unaathirika vp kama me ntapiga goti moja kumvisha pete mchumba wangu?
Hawa ndo wale utawaskia wanajiita wagumu, na mara nyingi ni maisha ndo huwa yanawapa mentality hiyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Na hzo emotions ndo huwa burry mapema kuliko wanawake. Kuwa mwanaume hakukupi umwamba eti usionyeshe hisia zako huo ni udhaifu tuReal Man knows how to burry his emotions...na tumeumbwa hivyo.
hahahaa umenikumbusha mustachi wa maafande wa kwenye gazeti la Sani enzi zileHata mie wa kwangu alitaka nipige magoti nikakataa akanunaa! Mshenga akaniambia yaani ungepiga goti hapo ningerudi Dar sasa hivi! Tunaiga tu bila hata kujua. Mwanaume rijali. Wa kiafrika hutakiwi uwe hivyo. Unajua hata hii cheza cheza kwenye ndoa mnaingia ukumbini mnacheza ni ndoa zenu hizi za kuanzia 2010 nadhani na kuendelea. Mnaiga wa Nigeria. Enzi zetu unakutana na best man kauzu ana moustach kama bumper la vokswagon hakuruhusu hata kutikisika. Kipande cha keki au nyama kinapimwa kwa rula.
Mkuu ukiona umekua mkia kwenye mahusiano yako jua tu umefeli kukaa kwenye position yako.Ukimpigia mwanamke magoti. Yeye atakuwa kichwa siku zote, wewe mkia
Nyie ndo mnatuua mapema kwa upuuzi wenu,hamridhiki wala hamna jema,unafikiri hata tulikia ndo itasaidia kwamba mtaacha mambo yenu? nyie hata tuwavishe pete tukiwabl uchi mtaendelea kutuua tuNa hzo emotions ndo huwa burry mapema kuliko wanawake. Kuwa mwanaume hakukupi umwamba eti usionyeshe hisia zako huo ni udhaifu tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Term ulijali ukiitafsiri kwa namna yakumvalisha mchumba pete utafeli.term ulijali ukiitafsiri kwa maana ya kudinda utafeli...tumia akili kuwaza
Lazima, demu kumlilia hivyo means humstahili ila umeonewa
MpenziTukiachana na kofia ya Pilipili mkewe ni mzuri bwana. Shape mashallah
Sent using Jamii Forums mobile app
@Madimba jrMkuu ukiona umekua mkia kwenye mahusiano yako jua tu umefeli kukaa kwenye position yako.
Kipimo chakua kichwa/lijali kwenye familia hakipo kwenye kujifanya kauzu. Hata nikimbeba mgongoni mke wangu she'll always know who I am in a family.
We ar not becoming men by being cold au kua makauzu. If u know ur roles kwenye familia na ukatimiza ipasavyo wewe ni rijali bila hata kuambiwa na mtu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie ndo mnatuua mapema kwa upuuzi wenu,hamridhiki wala hamna jema,unafikiri hata tulikia ndo itasaidia kwamba mtaacha mambo yenu? nyie hata tuwavishe pete tukiwabl uchi mtaendelea kutuua tu
Mkuu ukiona umekua mkia kwenye mahusiano yako jua tu umefeli kukaa kwenye position yako.
Kipimo chakua kichwa/lijali kwenye familia hakipo kwenye kujifanya kauzu. Hata nikimbeba mgongoni mke wangu she'll always know who I am in a family.
We ar not becoming men by being cold au kua makauzu. If u know ur roles kwenye familia na ukatimiza ipasavyo wewe ni rijali bila hata kuambiwa na mtu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kakuaibisha wewe sio mimi. Yaani upuuzi afanye yeye alafu useme aibu imetupata sisi wanaume.
huyu kabila gani?mmeona comedy ya kijinga alivyokuwa kenya,hapo ndiyo aliyonyesha ujinga wa ajabu!!!
[emoji23][emoji23]Kakuaibisha wewe sio mimi. Yaani upuuzi afanye yeye alafu useme aibu imetupata sisi wanaume.
MGC
Hahaaaaa haloooKakuaibisha wewe sio mimi. Yaani upuuzi afanye yeye alafu useme aibu imetupata sisi wanaume.
MGC