Ya MC Pilipili hayapaswi kufanywa na mwanaume rijali

Ya MC Pilipili hayapaswi kufanywa na mwanaume rijali

Nabii frank kilawa, huyu hapa mtu anaekiuka maandiko ya biblia na usiowataka kanisani kwako hajulikani nani mwanaume nani mwanamke.
.
"Sijawahi kusikia wala kusoma popote katika historia za mitume wote mwanamume akimpigia magoti mwanamke".
 
Nmeona hii Video nkashangaa sana. Huyu kijana mvulana analia kumvisha pete ya uchumba mpenzi wake? Ametokea mkoa gani fala huyu? Mwishowe sisi wanaume wa mjini tunaonekana nasi ni mauza uza kama huyu fala.

Mwanaume huwezi lia hivi... Unalia kwa kwikwi mpaka mwanamke anakubembeleza? Sisi miaka yetu huyu angetengwa na jamii.mwanaume ilikuwa ni aibu kulia hadharani.

Unaliaje mbele mtu ambaye atakuwa mkeo na watu wapo? Unalia kwa kwikwi hivi kama huamini?mi nlizoea kuona wanawake wanalia hivi si wanaume.huyu jamaa ana tabia za kishoga bila shaka.
Kwakweli hata mimi nimeshangaa sana dume zima eti linalia mambo ya kipumbavu kabisa aya ni udhalilishaji wa wanaume huu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
KULIA sio tatizo, tatizo ni kwamba kuna tofauti kubwa kati ya mwanaume na mwanamke linapokuja swala la KULIA.
Mwanamke huwa ana hisia kali na hivyo ni kawaida KULIA pindi anapokua na FURAHA au pale anapokua na HUZUNI. Hii ni nature ya mwanamke.

Mwanaume huwa hana hisia kali kama mwanamke, na pia ana uwezo mkubwa wa ku control hisia zake. Ndio maana mwanaume kamili hawezi KULIA KWA FURAHA!!!! Anaweza kutoa chozi, ila sio KULIA.

Mwanaume atalia tu pale ambapo amekutana na TATIZO kubwa lililomuumiza kiasi cha kushindwa ku control hisia zake, na hata hapo bado atajitahidi ku control hicho kilio.

Kwahiyo ni sahihi kabisa kusema kwamba mwanaume KULIA KWA FURAHA ni dalili, ama ya UDHAIFU, au mwanaume huyo ana VINASABA vya kike.
 
HUYU DADA HUYUUU...MIMI NIMEOA WALA SIMUONEI WIVU...MIMI NAMSEMEA KWA WEMA TU...ILA HAPA...HAHAHA PILIPILI AINGIE SOKONI UPYA...BAHATI MBAYA KATUONESHA INSTA ID YAKE KABISA...TUSHAMJUA ALIVYO...BORA YA NDAUKA...ila hatuwezi jua...KIPENDACHO ROHO HULA NYAMA MBICHI...

Ukiangalia ile video vizuri...utamuona bibie macho makavuuu...ht hambembelezi...yeye yake pete tuu...mmmh hapana aisee...na kuna video moja amepost anatoa shukran...yaan pale ndo nikajithibitishia kwa kumwangalia tu...yule demu ile engagement kaikubali with interest...MWANAUME YEYOTE ALIYEPITIA BALEHE ZOTE NA KUTIMIA KIAKILI NA KIUTULIVU...ATAGUNDUA YULE DEMU PALE HAKUNA MKE...
 
Yaani mfadhili ndio unalia badala ya mfadhiliwa!!? Hicho kidemu mwisho wa siku kinakuja kuwa mama wa nyumbani. Bora hata angelia Ben Pol ningeelewa jozi lake lina maana gani. Ujinga ujinga ujinga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bora sisi tuliochumbia Iringa kila kitu unaoigiwa goti hadi na mama mkwe, yani ukiletewa maji goti, akikusalimia goti mwanamme ni mwiko kumpigia goti mwanamke.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakubali mwanaume analia lkn pale hakukuwa na hisia zozote.

Hisia sahihi za mtu huwezi kuzijua, ni kitu kipo ndani yake. Hisia si za mapenzi tu, hisia zipo za namna nyingi... Amini hata mchumba wake atakuwa alimuuliza hapo baadae wakiwa faragha, wame-relax... "...tell me darling, what happened, le' me know why you criiied!!.." Jibu kwa swali hili laweza lisieleweke kirahisi, hivyo dawa yake ni 'kupiga kimya' tu. Mc Pilipili atakuwa zwazwa kama alilia 'mapenzi' tu kwa mchumba wake.

Lakini kama alikumbuka kwa mfano, kauli fulani aliyowahi kupewa na mamake kama wosia, ama kejeri iliyomkwaza kutoka mpezi wake wa zamani aliyemgharimia kisha akamtosa kwa dharau...au jambo jingine ambalo kimsingi analifahamu na kulielewa yeye mwenyewe, nitamuunga mkono. And it's healthy, by the way.

Wengi wetu tunapenda kuwa watoa hukumu kwa wenzetu, sioni kama ni sahihi.
 
And you think that will make you Alexander The Great?

You do not have to prove your manhood to anyone.

Ona sasa wewe unampanga kabisa wife akupigie goti mbele za watu ili uonekane kidume.

Why umpange if you are the Alpha Male you are pretending to be?
Ni sign ya weakness kubwa

Mc pilipili ameishusha hadhi ya kiume .

Upige goti halafu unalia pia why!!!?

Aisee wife atapiga yeye goti na nitampa hint kabisa

"Aisee utapiga goti wakati nakuvalisha Pete.."

Akikataa tutasimama kama minara wote wawili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bikra ikishatolewa haitaitwa tena bikra bali ni historia iliyokwisha kupita na wakati.

MC Tatutatu ni jinga la kimataifa kabisa, tena pumbavu sanaaaa.

Mwanaume huna kifua cha kukomaa kuficha upumbavu mbele za watu?

Sasa hapo ni mbele ya kadamnasi ndiyo analia hivi je chumbani si ndiyo atakuwa anagaragara kabisa kulilia papuchi na huyo Mke?

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anapangiwa jinsi ya kula tundi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom