Ya MC Pilipili hayapaswi kufanywa na mwanaume rijali

Ya MC Pilipili hayapaswi kufanywa na mwanaume rijali

Wakitibuana hata kidogo tu mke wake,mwanamke utasikia anamwambia wewe kuna utofauti gani na wanawake? Unalia lia hata mbele za wanawake. Kama ndio ujasiri wenyewe huo basi wanajeshi wangekuwa wanaweka bunduki chini analia saaaana baada ya mwenzie aliekuwa amezoeana nae sana kupigwa risasi na kuuliwa pembeni yake hapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama mwanamke alienae ni zwazwa basi lazima atafanya hivyo. Hakuna kitu wanawake wanashindwaga kuelewa kama a man's vulnerability...wanaume si wafungukaji kirahisi kihisia (inachangiwa sana na mitazamo ya kijamii toka anapokua mtoto) so mwanaume kuweza kuonesha hisia zake wazi kwa mwanamke ni kielelezo tosha cha mapenzi ya dhati kwa huyo mtu au kumaanisha kile anachokifanya kutoka moyoni mwanamke hapaswi kuitumia hio kama silaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MC pilipili ni jamaa yangu wa karibu sana.namfahamu huyo bint na jamaa zake wawili. Pilipili ameforce sana kumuoa huyo dada. Mwanamke ana jamaa yake anayempenda sana sema jamaa hayupo tayari kumwoa.ila mpaka one week ago demu alikuwa anawasiliana na jamaa kuwa yeye anampenda.jamaa hataki kumwoa demu.

Pilipili ame force sana kwa ahadi nyingi lakini demu hana hisia naye na jamaa anapenda sana show off nadhan sababu hajiamini.mademu hawadumu naye ana udhaifu mkubwa. Wengi wanalalamika he isnt a man enough. Kwanza hawezi kutatua changamoto kama baba yaani kuwaza kiume.na hii imesabbisha mara nying awe ni mtu wa mipasho na maneno kwa wana wake.

Ni mtu ambaye usimpelekee issue ukitegemea yeye mwanaume mtashirikiana kusolve ataenda kuizungumza kwenye radio au atawaambia washkaji
You nailed it!
Kudos

Sent using Jamii Forums mobile app
 
As you're such an agent of feminism by copying western culture without knowing how it has been negatively affected their married families by divorcing Women and contract marriage presence results which leads every year all over the world by 45-60% to.

Don't think every thing brought by white people is very better to adapt towards benefits results nowadays in African countries.

Wake up coz you're going to bury yourself in unexpected grave.

REMEMBER;

FERMINITY, EQUAL GENDER QUALITY AND WOMEN RIGHTS are satanic spirits created in western countries(European Nations) and U.S.A. to destroy God's plan for real marriage life with happy and loveness between Man and Woman in their family.

NB:

WOMAN = WIFE OF MAN as reveals you're supposed to be owned by MAN.

Be tuned and flexible to agree truth sensitivity.

MAN WILL ALWAYS BE MAN AND WOMAN WILL BE REMAIN AS A WOMAN AND IT DOESN'T MATTER HOW MUCH YOU CAN TRY TO COMPETE WITH MAN TO BE EQUALLY BY BEHAVIOR, STRENGTHS, PERSONALITY, THINKING CAPACITY, DECISIONS AND ATTITUDE DUE TO THE NATURE OF MEN CREATION BY GOD HIMSELF AND YOU CAN'T WIN IT EFFECTIVELY RATHER THAN WESTING YOUR TIME.

Sent using Jamii Forums mobile app

.....kwa nini WESTERN countries ndizo zinazocreate satanic spirits na sio sisi developing countries...??

…....kwa nini Mungu ameweka mechanism ya kulia kwa wote wanaume na wanawake kulia ilhali anajua mwanaume hatakiwi kulia? si angetoa tu machozi kwa mwanaume kuliko kumdhalilisha?

...hakuna anayecompete hapa,wote tunalia hauwezi kusema bara hili wanalia ,bara hili hawalii..wote wazungu wabantu tunalia,surely it must be advantageus to man...
 
.....kwa nini WESTERN countries ndizo zinazocreate satanic spirits na sio sisi developing countries...??

…....kwa nini Mungu ameweka mechanism ya kulia kwa wote wanaume na wanawake kulia ilhali anajua mwanaume hatakiwi kulia? si angetoa tu machozi kwa mwanaume kuliko kumdhalilisha?

...hakuna anayecompete hapa,wote tunalia hauwezi kusema bara hili wanalia ,bara hili hawalii..wote wazungu wabantu tunalia,surely it must be advantageus to man...
Nakuhakikishia Wanaume hatujaumbwa hivyo na mimi mwenyewe ni mfano sahihi Baba yangu mzazi alifariki lakini sikutokwa na machozi kabisa hadi ilinibidi nijifiche pembeni nipakae mate usoni ndipo nionekane nami ni miongoni mwa watu walioguswa na msiba.

Narudia tena Wanaume hatujaumbwa kuwa wa kulialia mbele za Watu ndiyomaana hata misibani huwa Wanawake ndiyo hulia sana.

Hata utotoni utamuoa Mama mzazi akimfokea mtoto wa kiume aache kulia sana kama si mtoto wa wa kiume sababu anaelewa jinsi gani Mwanaume kuambiwa roho ngumu siyo ya huruma huruma sawa na ninyi Wanawake.

MC Pilipili katudhalilisha sana kwa ujinga alioufanya na wote mnaomtetea mtakuja kujibu mbele za Mungu juu ya hiyo laana yenu ya mapenzi ya kuigaiga hata visivyoigika tangu sasa hata vizazi vyenu vijavyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ya Mc Pilipili hayapaswi kufanywa na mwanaume lijali - JamiiForums

[quote uid=368653 name="Rebeca 83" post=29918604].....kwa nini WESTERN countries ndizo zinazocreate satanic spirits na sio sisi developing countries...??

…....kwa nini Mungu ameweka mechanism ya kulia kwa wote wanaume na wanawake kulia ilhali anajua mwanaume hatakiwi kulia? si angetoa tu machozi kwa mwanaume kuliko kumdhalilisha?

...hakuna anayecompete hapa,wote tunalia hauwezi kusema bara hili wanalia ,bara hili hawalii..wote wazungu wabantu tunalia,surely it must be advantageus to man...[/QUOTE]Nakuhakikishia Wanaume hatujaumbwa hivyo na mimi mwenyewe ni mfano sahihi Baba yangu mzazi alifariki lakini sikutokwa na machozi kabisa hadi ilinibidi nijifiche pembeni nipakae mate usoni ndipo nionekane nami ni miongoni mwa watu walioguswa na msiba.

Narudia tena Wanaume hatujaumbwa kuwa wa kulialia mbele za Watu ndiyomaana hata misibani huwa Wanawake ndiyo hulia sana.

Hata utotoni utamuoa Mama mzazi akimfokea mtoto wa kiume aache kulia sana kama si mtoto wa wa kiume sababu anaelewa jinsi gani Mwanaume kaumbiwa roho ngumu siyo ya huruma huruma sawa na ninyi Wanawake.

MC Pilipili katudhalilisha sana kwa ujinga alioufanya na wote mnaomtetea mtakuja kujibu mbele za Mungu juu ya hiyo laana yenu ya mapenzi ya kuigaiga hata visivyoigika tangu sasa hata vizazi vyenu vijavyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ya Mc Pilipili hayapaswi kufanywa na mwanaume lijali - JamiiForums

[quote uid=368653 name="Rebeca 83" post=29918604].....kwa nini WESTERN countries ndizo zinazocreate satanic spirits na sio sisi developing countries...??

…....kwa nini Mungu ameweka mechanism ya kulia kwa wote wanaume na wanawake kulia ilhali anajua mwanaume hatakiwi kulia? si angetoa tu machozi kwa mwanaume kuliko kumdhalilisha?

...hakuna anayecompete hapa,wote tunalia hauwezi kusema bara hili wanalia ,bara hili hawalii..wote wazungu wabantu tunalia,surely it must be advantageus to man...
Nakuhakikishia Wanaume hatujaumbwa hivyo na mimi mwenyewe ni mfano sahihi Baba yangu mzazi alifariki lakini sikutokwa na machozi kabisa hadi ilinibidi nijifiche pembeni nipakae mate usoni ndipo nionekane nami ni miongoni mwa watu walioguswa na msiba.

Narudia tena Wanaume hatujaumbwa kuwa wa kulialia mbele za Watu ndiyomaana hata misibani huwa Wanawake ndiyo hulia sana.

Hata utotoni utamuoa Mama mzazi akimfokea mtoto wa kiume aache kulia sana kama si mtoto wa wa kiume sababu anaelewa jinsi gani Mwanaume kaumbiwa roho ngumu siyo ya huruma huruma sawa na ninyi Wanawake.

MC Pilipili katudhalilisha sana kwa ujinga alioufanya na wote mnaomtetea mtakuja kujibu mbele za Mungu juu ya hiyo laana yenu ya mapenzi ya kuigaiga hata visivyoigika tangu sasa hata vizazi vyenu vijavyo.

Sent using Jamii Forums mobile app[/QUOTE]Fact.. Unaliaje. Kwanza nikiona MTU Analia naweza kucheka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe mie sijapoyosha mtu hapa Mc pilipili kafanya jambo sahihi kuonyesha hisia zake na hajawa mnafiki real man ndo anavotakiwa usipomlilia mkeo anayekuvulia na kulala uchi utamlilia nani.

Hafu Kuwa mwanaume hakukupi class ya uelewa ka mjinga unakuwa tu mjinga kukwepa kuonyesha hisia nakuwa bandidu huo sio uanaume ni udhaifu ka udhaifu mwingine.

Society yako imeku shape kuona mwanamke sio wa kupendwa na kuheshimwa ndo mana unaona Mc kafanya kitu hovyo kumbe was right kabisa.

Mie mwanangu nitamlea kwa misingi ya utu na ubinadamu tena aheshimu mwanamke ka chombo cha thamani sio nyie mnaamini kumdharau mwanamke ndo uanaume huo.

Mie mpenzi wangu muelewa ananiheshimu na mheshimu mno na ananisikiliza licha ya kunizidi kila kitu kuanzia elimu umri had dhambi lakini husikiliza hisia zangu nami humpa ushauri mpaka ananishangaa tena ananipenda kuliko maelezo. Huyo ndo mwanaume kamili ninaye mpenda.


Sasa nyie bakini na mila potovu zenu za kutokuheshimu wanawake eti si urijali aaargh

Sent using Jamii Forums mobile app
Wee unatupotosha wanaumeee, eti "Real Man" come on Woman, hiyo sio tabia ya real men, we km sio mwanaume huwezi kuongelea traits za real men, sisi real men tunamwona mchizi kazingua so kwa kuwa we ni woman bado hujajua saikolojia za wanaume zikoje, mwanaume ni mlingoti, nguzo, first support, mlinzi kwa mwanamke na familia yake, we unaweza kumweka mlinzi mlangoni kwako anayeshindwa kukaa kikakamavu mbele ya watu, hata bodyguard anakuwa mkakamavu, ndo hivyo hivyo kwenye familia, tutaliliana ndani huko vyumbani, ila huku duniani nje hatulii wala hatutoi chozi, tunamprotect mke na familia, we are fighters not barbie dolls

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanini wanaume wa kitanzania imewauma sana alichofanya huyo kaka? kamlilia mpenzi wake kulingana na waliyopitia haamini kama leo wamefikia hiyo stage sasa shida iko wapi akimwaga machozi na kupiga magoti?
Hahaha kweli mfumo dume hauwezi kuisha kwenye jamii za kiafrika,

Nawasikitikia sana dada zangu.
Wasikitikie sana mkuu dada zako, sisi hatupigi magoti ni dhambi kwa mababa zetu, sisi tunapewa mkuki na ngao ishara ya kuwa "Bwana mkubwa sasa umekuwa MWANAUME acha utoto protect your family" sasa ntapewaje mkuki huku nalia km nipo leba, si ntapigwa kelbu moja akili irudi sawasawa [emoji848][emoji848]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baba yangu kafanya sana kwa mkewe na mpaka leo wako pamoja. Kutokuthamini wanawake hakukufanyi Kuwa kidume
Nimlilie Mwanamke kwamba kaniumba au unatumia nini kufikiri kabla hujaandika usichokijua?

Nani kakwambia Mwanaume asipokulilia ndiyo hakupendi kwa dhati?

Hivi Baba yako mzazi naye alikuwa anafanya hivi au unatetea tu ujinga?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakuhakikishia Wanaume hatujaumbwa hivyo na mimi mwenyewe ni mfano sahihi Baba yangu mzazi alifariki lakini sikutokwa na machozi kabisa hadi ilinibidi nijifiche pembeni nipakae mate usoni ndipo nionekane nami ni miongoni mwa watu walioguswa na msiba.

Narudia tena Wanaume hatujaumbwa kuwa wa kulialia mbele za Watu ndiyomaana hata misibani huwa Wanawake ndiyo hulia sana.

Hata utotoni utamuoa Mama mzazi akimfokea mtoto wa kiume aache kulia sana kama si mtoto wa wa kiume sababu anaelewa jinsi gani Mwanaume kuambiwa roho ngumu siyo ya huruma huruma sawa na ninyi Wanawake.

MC Pilipili katudhalilisha sana kwa ujinga alioufanya na wote mnaomtetea mtakuja kujibu mbele za Mungu juu ya hiyo laana yenu ya mapenzi ya kuigaiga hata visivyoigika tangu sasa hata vizazi vyenu vijavyo.

Sent using Jamii Forums mobile app

hukutokwa machozi,sio sababu wengine wasitokwe machozi,nilishasema katika Maisha kila mtu ana experiences zake,sio wote safari zatu zinafanana..hivyo msilazimishe wote muwe sawa..who knows labda baba yako alikua katili kwako badala ya kuwa sad umefurahi alivyokufa?????

Wanawake kulia msibani sio kwamba wanaume hawafeel maumivu,tena ukute kuna baadhi ya wanaume wana maumivu kuliko hao wanao 'fake' kulia kwenye misiba...

kulia ni expression of how you feel,hao wanaowaambia watoto wao wasilie kisa ni wakiume wanakosea na huu ni unyama….kumkatisha mtoto wa kiume asilie...and I now know how hii imefanya kwa nini baadhi ya wanaume hawalii kwenye misiba na wanawake wanalia sababu they are 'expected' to cry....sad!

eti tutakuja kujibu kwa Mungu,kwani kuna kifungu katka dini kinachokataza wanaume wasilie?lol..kulia ni natural thing...
 
Back
Top Bottom