Yaani kijana miaka 39 unamiliki gorofa Kariakoo kweli jamani hii ni haki sisi wazee tupo tu

ommytk

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2015
Posts
520
Reaction score
1,143
Kweli nimeamini umri sio kitu chochote cha maana katika maisha yaani hapa nimeona wamiliki wa lile gorofa Kariakoo aisee mmoja tu ndio mkubwa nimemzidi miaka 15 wengine ni vijana wadogo kabisa aiseee

Yaani miaka midogo hivi unamiliki nyumba kko daaah aya maisha ayako fear kabisa nimelia sana
 

Malizia kulia.. nawe ukapambane kivyako utakavyo Barikiwa wewe kwa njia Mola amekupangia.
 
Kuna vijana wadogo pia wana miaka chini ya 8 wanafariki kila siku,vipi hauwatamani?,nao?,.........
 
Sasa Na Kuna Mwingine Anatamani Hiyo Afya Yako Njema Na Umri Ulionao Wanaona Umefaidi Na Unaendelea Faidi Maisha Wakati Huo Wao Ni Wagonjwa Wanateswa Na Magonjwa Wakiwa Na Umri Mdogo.,,Shukuru Kwa Hivyo Ulivyo Na Ulivyonavyo Vitumie Kutenda Mema Zaidi,,Huku Ukipambana Kuongeza Zaidi Kwa Hekima,,Busara Na Kwa Nidhamu Ya Hali Ya Juu.
 
Umejiuliza kwanza wametoa wapi pesa?
 
Nyamaza kulia nikwambie mmiliki halali wa hilo ghorofa, achana na huyo dogo wanamsingizia!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…