Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli nimeamini umri sio kitu chochote cha maana katika maisha yaani hapa nimeona wamiliki wa lile gorofa kko aisee mmoja tu ndio mkubwa nimemzidi miaka 15 wengine ni vijana wadogo kabisa aiseee yaani miaka midogo hivi unamiliki nyumba kko daaah aya maisha ayako fear kabisa nimelia sana
ni mzee eti...!Sasa 39 ni umri mdogo kwani?
Kuna mtu anazeeka hadi kufa hana hata kibanda cha miguu mitano kwa mitano. Kwahiyo na huyo tumsubiri mpaka ajitambue? Hawa vijana wadogo wanaomiliki ukwasi mkubwa kwa umri chini ya miaka 40, hela wameikuta ndani ya familia. Ebu waza tangu Nyerere mpaka sasa, familia za mawaziri, mameneja wa taasisi za umma na binafsi, makatibu wakuu, wafabiashara wakubwa, nk, watoto wao au wajukuu wao mtafanana? Haiwezekani! Wakati unapambana kununua kiwanja ujenge nyumba yako, mwingine nyumba, magari, mtaji wa biashara, hata mke anapewa na baba! Wakati wewe baba yako huko "Tandaimba" kijijini choka mbaya anasubiri upange vyumba viwili aje akutembee au ukoo mzima itie timu!Kweli nimeamini umri sio kitu chochote cha maana katika maisha yaani hapa nimeona wamiliki wa lile gorofa kko aisee mmoja tu ndio mkubwa nimemzidi miaka 15 wengine ni vijana wadogo kabisa aiseee yaani miaka midogo hivi unamiliki nyumba kko daaah aya maisha ayako fear kabisa nimelia sana
39 ni mtu mzima sio mtoto wa kushangaza akimiliki ghorofa.ni mzee eti...!
Wanafiriki??? Unamaanisha wanafariki au?Kuna vijana wadogo pia wana miaka chini ya 8 wanafiriki kila siku,vipi hauwatamani?,nao?,.........
Mazoezi + vyakula mchemsho + mboga za majani ! AsanteeeeDaily napiga mboga za majani na vyakula vya kuchemsha, plus mazoezi....macho yana nguvu kuliko wajukuu zangu...tunza afya kijanaa.
Bila kukomboa Nchi mikononi mwa watu wachache mafisadi na wezi wa kura, uchumi wa Nchi utaendelea kuwa mikononi mwa wachache.Kweli nimeamini umri sio kitu chochote cha maana katika maisha yaani hapa nimeona wamiliki wa lile gorofa kko aisee mmoja tu ndio mkubwa nimemzidi miaka 15 wengine ni vijana wadogo kabisa aiseee yaani miaka midogo hivi unamiliki nyumba kko daaah aya maisha ayako fear kabisa nimelia sana
We endelea kulia ukinyamaza,utakuta anamiliki treni na reli yake,unaacha kutafuta Hela unalia,nyambafuKweli nimeamini umri sio kitu chochote cha maana katika maisha yaani hapa nimeona wamiliki wa lile gorofa kko aisee mmoja tu ndio mkubwa nimemzidi miaka 15 wengine ni vijana wadogo kabisa aiseee yaani miaka midogo hivi unamiliki nyumba kko daaah aya maisha ayako fear kabisa nimelia sana
Dah! Umewaza nini lakini, mkuu? Mbona umemshushia kipondo kizito huyu komredi?
Unless urejeshe ujamaa, hata ufanyaje, bado uchumi utakuwa mikononi mwa watu wachache sanaaaaBila kukomboa Nchi mikononi mwa watu wachache mafisadi na wezi wa kura, uchumi wa Nchi utaendelea kuwa mikononi mwa wachache.
Nimekuzidi miaka 2 mkuu ila bado napambana,Mimi hapa nina 75yrs na bado sijakata tamaa....napambana.
Bila shaka nawe upo unaipambania kukuza kampuni yako kwa sasa. Mimi naomba ka ajira!Kawaida bro! Boss wangu wazamani, ana miaka 36,nimemzidi mwaka, wakati Mimi bado nafukuzia ajira, ye ye ana kampuni kaajiri watu 70+nyumbani kwake anatumia luku za Tsh 400K, mie kwangu ni kitumia wa 40K, ni mwingi Sana, unapindukia mwezi mwingine, hata ka IsT Sina, yeye anaagiza ndinga cruzer v8 ya 400Milioni!
Ndio maana niliona ni upuuzi ni kapiga kazi chini! Kabla sijaacha kuna mtu aliniambia haya maneno, "hapa ofcn unaishi na kula kwa akili ya mtu mwingine, kijana mwenzio, yaani kijana mwenzio ametumia akili yake, akaanzisha kampuni, akakuajiri"haya maneno yaliniuma Sana!
Na utafika kweli huo umri ukiwa bado una pambana! Shauri yako we jitabirie tuMimi hapa nina 75yrs na bado sijakata tamaa....napambana.