muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 15,301
- 13,858
Ndio mkuu na bajaji.Unaendesha boda boda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio mkuu na bajaji.Unaendesha boda boda
75 bado familia imekuachia smartphone 😳😳😳Mimi hapa nina 75yrs na bado sijakata tamaa....napambana.
Daily napiga mboga za majani na vyakula vya kuchemsha, plus mazoezi....macho yana nguvu kuliko wajukuu zangu...tunza afya kijanaa.75 bado familia imekuachia smartphone 😳😳😳
Inabidi wakuokoe mapema, mwanga wa Android na macho ya wazee haviendi kabisa🚶🚶
Ss weusi tunaambiwa tujitahidi kusoma ili tulate kaz nzur na kule juu kuna mtt wa babaKwa waarabu inawezekana Sana those guys are very smart and visionary.
Age is nothing but a number .
Kuna watu wapo ahead of the time
Mwaka 2019 nilikuwa kibarua
(saidia fundi) katika Nyumba ya ghorofa 3 Kwa Kijana mwenye 35 years
So everything is possible in this life .
True black people ni cursed race -Ss weusi tunaambiwa tujitahidi kusoma ili tulate kaz nzur na kule juu kuna mtt wa baba
Mdogo atanivuta
Kawaida bro! Boss wangu wazamani, ana miaka 36,nimemzidi mwaka, wakati Mimi bado nafukuzia ajira, ye ye ana kampuni kaajiri watu 70+nyumbani kwake anatumia luku za Tsh 400K, mie kwangu ni kitumia wa 40K, ni mwingi Sana, unapindukia mwezi mwingine, hata ka IsT Sina, yeye anaagiza ndinga cruzer v8 ya 400Milioni!Kweli nimeamini umri sio kitu chochote cha maana katika maisha yaani hapa nimeona wamiliki wa lile gorofa kko aisee mmoja tu ndio mkubwa nimemzidi miaka 15 wengine ni vijana wadogo kabisa aiseee yaani miaka midogo hivi unamiliki nyumba kko daaah aya maisha ayako fear kabisa nimelia sana
Wewe una miaka mingapiSasa 39 ni umri mdogo kwani?
Mnafikiri kila mtu anapitia elimu ya chuo.Aya maisha kwa jumla ayako fear watu tunapambana sana aisee lakini patupu mtu ana miaka 38 ana gorofa kko mtu anakuja kuandika utumbo eti kawaida sana huyu kamaliza chuo lini kaanza kazi lini
Unalia lia nini na utajiri umeukalia? Nikupe namba ya Diddy?Kweli nimeamini umri sio kitu chochote cha maana katika maisha yaani hapa nimeona wamiliki wa lile gorofa kko aisee mmoja tu ndio mkubwa nimemzidi miaka 15 wengine ni vijana wadogo kabisa aiseee yaani miaka midogo hivi unamiliki nyumba kko daaah aya maisha ayako fear kabisa nimelia sana
Baba zao hawakuwa wapenda starehe waliwahi viwanja na kujenga assets leo ndio vijana wao wanarithi kwa mbwembwe na kujitabanisha kwamba ni ya kwao kwa jasho lao kumbe waliwezeshwa ........sasa kama baba yako alipenda kulomba misamba akasahau kama mwanawe nguvu mali unakuja na utakuwa mkubwa shauri zakoKweli nimeamini umri sio kitu chochote cha maana katika maisha yaani hapa nimeona wamiliki wa lile gorofa kko aisee mmoja tu ndio mkubwa nimemzidi miaka 15 wengine ni vijana wadogo kabisa aiseee yaani miaka midogo hivi unamiliki nyumba kko daaah aya maisha ayako fear kabisa nimelia sana