Yaani kijana miaka 39 unamiliki gorofa Kariakoo kweli jamani hii ni haki sisi wazee tupo tu

Yaani kijana miaka 39 unamiliki gorofa Kariakoo kweli jamani hii ni haki sisi wazee tupo tu

Kweli nimeamini umri sio kitu chochote cha maana katika maisha yaani hapa nimeona wamiliki wa lile gorofa Kariakoo aisee mmoja tu ndio mkubwa nimemzidi miaka 15 wengine ni vijana wadogo kabisa aiseee

Yaani miaka midogo hivi unamiliki nyumba kko daaah aya maisha ayako fear kabisa nimelia sana

Labda "horofa la ulisi".
 
Kweli nimeamini umri sio kitu chochote cha maana katika maisha yaani hapa nimeona wamiliki wa lile gorofa Kariakoo aisee mmoja tu ndio mkubwa nimemzidi miaka 15 wengine ni vijana wadogo kabisa aiseee

Yaani miaka midogo hivi unamiliki nyumba kko daaah aya maisha ayako fear kabisa nimelia sana
mbona dayamondi wa 1988( 35) ana uwezo wa kumiliki ghorofa hapo hapo K/koo.
 
Amna cha ajabu mkuu.
Mbona mimi nina miaka 25 nina wake wawili na nina ukimwi haulii.
 
Kweli nimeamini umri sio kitu chochote cha maana katika maisha yaani hapa nimeona wamiliki wa lile gorofa Kariakoo aisee mmoja tu ndio mkubwa nimemzidi miaka 15 wengine ni vijana wadogo kabisa aiseee

Yaani miaka midogo hivi unamiliki nyumba kko daaah aya maisha ayako fear kabisa nimelia sana
unaweza piga kelele huna ajira kumbe ni wewe na demu wako tu, shabiby alinunua bus la kwanza akiwa na miaka 21, miaka 28 ana bus tano,
 
Ata mimi ni kijana mdogo sana na nyota ya utajiri inaninyemelea punde si punde mtakuwa mnanisema😎😎
 
Kweli nimeamini umri sio kitu chochote cha maana katika maisha yaani hapa nimeona wamiliki wa lile gorofa Kariakoo aisee mmoja tu ndio mkubwa nimemzidi miaka 15 wengine ni vijana wadogo kabisa aiseee

Yaani miaka midogo hivi unamiliki nyumba kko daaah aya maisha ayako fear kabisa nimelia sana
Unalia Nini?
Kwani wewe huna chochote unachomiliki?
Siyo lazima wote tumiliki gorofa.
 
Pambana usiangalie maisha ya mtu huwezi faham hzo hela kazipata vip...Swali langu la mzingi....Umesema wewe sahvi umezeeka,, Je Wakati wa ujana wako ulikula na nani?
 
Back
Top Bottom