Yajayo yanafurahisha kwa kila Mtanzania, tutaita maji mma. Marehemu hakashifiwi!

WAHUNI wamerudishwa ulingoni. Mwamba aliwafutilia mbali lakini huyu kwa kuwa anaingilika kirahisi rahisi, amethubutu kuwaingiza ulingoni WAHUNI.
"Mama anaongoza nchi vizuri" - Jahkaya Kilete πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Rubbish,alilala Nyerere na Nchi ikadonga sembuse yule kinyago?

Najua mnaumia Sana kuona SSH akikimbiza kila Idara sasa mko busy kujisemesha semesha lakini she is firm and you have nothing to do..

Mtatapatapa Sana na kuombea ashindwe ila atawa outshine..

Mwisho Mwigulu hatolewi hapo haijalishi amewaongezea salary au hapana..

Na Rais Kamwe hatoacha kuajiri hata mda huu ukiingia website ya Ajira kuna ajira mpya kama zote..

Msio na akili mlishindwa hujigeuza kuwa wachawi na wanga ila Imewakata na Uchumi una uwezo wa kusapoto kila kitu Kwa sasa ndio maana unaona mambo yanaenda.
 
Wakati huo huo Roho za maelfu ya masikini wanyonge waliosaidiwa kuokolewa vifo kutokana na huduma Bora za afya, Machinga n.k TUNAMUOMBEA! ndiyo utajua MUNGU si mjomba wako!
 
Hali ya uchumi na mfumuko wa Bei vilianza kabla ya hii vita, hii vita no chaka la kujifichia.

Hali ni mbaya sana serikalini, ni muda tu mtapata majibu.

Kuna vuta nikuvute nguo ichanike.

Mama na jopo lake nchi imewashinda mapema mno.
Uko sahihi kwani Hiyo Hali ilianzishwa na serikalini au ndio Hali ilianza hivyo Dunia nzima?

Wapi kusiko na mfumuko was bei ilhali huko America uchumi unaporomoka..

Good enough kwa Tanzania mfumuko Wala Sio mkubwa kulinganisha na Nchi jirani au zingine huko Duniani..
 
Viongozi wengi walikuja hapa Tanzania kama kiongozi gani WA maana alikuja Tzn? Chakwera WA Malawi na Rais was Ethiopia au?
 
Unajilisha upepo bure tuu mambo ni muruwaa hadi raha.
 
Umeongea juzuu nzima kwenye aya chache.

Subira ipo lakini akili kaumbiwa binadamu. Tutawekana sawa
 

Umeandika utoto gani hapa dogo? Nilipoona tu umeandika no one no, nikajua ni utoto uleule wa kawaida.
 
Wafuasi wa Jiwe sasa wamegeuka wapiga ramli tena ni ramli chonganishi wanatamani litokee lilotokea kwa shujaa wao ili nafsi zao zipate kupoa.
Yule mtu hakuwa binadamu ni shetani na kama kujenga miundombinu ndio sifa njema basi hata wakoloni tusingewafukuza na kule Afrika kusini wale makaburu wasinge laaniwa na dunia nzima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…