Hapana ndugu, siyo hayo. Ni haya hapa:Nimeona majani yanayofanana na hayo majani aliotuonesha mdau
Nimeyapiga picha naomba niweke picha hapa ili kama ni yenyewe basi tutenheneze dawa View attachment 1518047
View attachment 1518049
View attachment 1518050
Je ni haya maana nayo yana vimbegu vinavyokauka na kuwa kama vimiba vinavyonasa ktk nguo
Asanteni nawasubiri wadau
Sio sageHizo mimea zinaitwa sage nitafute kwa maelezo zaid 0744937108
Huu pia ni wako tu ndugu. Ni tofauti kabisa na aliioonesha mletamada. Huu wako majani yake ni kama ya mchicha. Ni tofauti na ule alioonesha mwanzoni mwa threadHuu siyo wenyewe mmea namba mbili ni ule maarufu siku hizi za CORONA kwa jina la KASHWAGALA unatibu magonjwa mengi ila kama una PRESHA wanasema inabidi uwe makini - Unapandisha Presha (Sina uhakika na hili). Lakini hii picha siyo yenyewe kabisa, hivyo kuwa makini
Yenyewe hii hapa Chini
View attachment 1518173
Kumbe we unalenga biashara sio kusaidia wenzio. Inbox hatuji!!!Wewe sio mgonjwa na haujawahi kuumwa, mshukuru Mungu kwa hilo. Inbox sio mbali ( na dawa sitoi bure nakuuzia)
Haswaaaaa....
Mkuu weka App ya Plantnet kwenye simu Yako,kisha piga picha huo mmea,kisha chagua identification by leaves, Halafu bonyeza kitufe Cha send ili kupata jina la huo mmea.
No. 1 MFUBAZAHabarini za jioni ya pasaka ndugu wana jamvi.
Si mwandishi sana humu jamvini japo ni msomaji wa muda kidogo. Leo nimependa ku share jambo lilionipa msaada baada ya kuona watu wengi wamekuwa wakisumbuliwa na shida ya vidonda vya tumbo.
Binafsi niliumwa na vidonda vya tumbo kwa miaka mitatu Lakini nilielekezwa na jamaa niliyekutana naye. NILIEKEZWA BURE NAMI NATOA UFAHAMU HUO BURE.
Tafuta majani flani ntaatach hapa ya aina mbili nayo ambayo utayachuma na kuyatwanga yakiwa mabichi na kisha kuandaa maji ya uvuguvugu na kisha kuyachanganya na hiyo rojo na kisha chuja. Kikombe kimoja cha robo lita kwa siku 3. Nawe utapona kama nilivyopona.
Nina mwaka wa 4 sasa toka nipone. So nina hakika na nisemalo. Majina ya hayo majani siyajui kwa majina yake ila picha zake ndio hizo hapo.
Wataalamu wa classification wanaweza saidia kutupa majina ya hayo majani .
Enjoy the remedy.
View attachment 1077606
Mkuu chemsha oregano majani kumi kwa Lita 1 ya maji.ichemke kwa dk 10 toka ianze kuchemka.kisha epua acha ipoe kunywa vijiko vi 5 vya chakula.Mara 2 kwa siku kwa muda wa siku 3-5.Mm.nimetumia week nzima sijaona matokeo.
Naomba kujua hii ndio oregano?Mkuu chemsha oregano majani kumi kwa Lita 1 ya maji.ichemke kwa dk 10 toka ianze kuchemka.kisha epua acha ipoe kunywa vijiko vi 5 vya chakula.Mara 2 kwa siku kwa muda wa siku 3-5.
TAHADHARI:
PIMA PRESHA NA SUKARI YAKO KABLA YA KUTUMIA, NA KAMA UNATUMIA DAWA ZA MUDA MREFU PATA USHAURI TOKA KWA DAKTARI WAKO.
PoleMm.nimetumia week nzima sijaona matokeo.
Mkuu kumbe inatibu pia na typhoid? Uliitumia vp kutibu typhoidMimi mmoja wapo nilitumia hi miaka ishirini iliyopita na iliniponya TYPHOID KALI ambayo ilifikia ninaendesha damu mfululizo mkuu.
Presha ipi?Chukua majani 10 week Lita 1 ya maji.Kisha chemsha kwa dk 10 .Epua acha ipoe kunywa vijiko vi 5 vya chakula ×2 kwa siku.
ANGALIZO: IWAPO UNA KISUKARI AU PRESHA NI VEMA UKASHAURIANA NA DAKTARI WAKO.