Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti alishusha.....! Unaota upo mbinguni!Hahahaha kwahiyo Magu alivyoshusha Mshahara wake kuwa 9Mils alimkomoa kweli JK hiyo 80%.
Swali!!
Sasa Mzee Mwinyi ako na wake wawili kisheria kabisa,Wake zake watatukamua hizo kodi wote wawili au nafasi nikwammoja?
Sent from my SM-A107M using JamiiForums mobile app
Mkuu, siwezi kutamani wanangu waingie kwenye siasa. Namimi sitamani kuingia kwenye siasa kabisa kwasababu naamini mafanikio yangu yatatokana na bidii zangu.Mkuu pambana kijana wako awe mwanasiasa. Au la, pambana nawe uingie siasani kama umri haujakutupa mkono[emoji23][emoji23]
Wabunge wakimaliza miaka 5 hulipwa 400MSheria - THE POLITICAL SERVICE
RETIREMENT BENEFITS ACT (Cap. 225)
RAIS:
Rais wa Tanzania akistaafu anapata mafao yafuatayo:
1. Pensheni ya kila mwezi ambayo ni sawa na ASILIMIA THEMANINI ya mshahara wa rais aliye madarakani.
2. Kiinua mgongo sawa na ASILIMIA HAMSINI ya mshahara wake wote aliopokea akiwa madarakani kama rais.
3. Akitoka nje ya nchi kwa shughuli ya Kiserikali atalipiwa ticket ya ndege FIRST CLASS, yeye, mwenza wake na msaidizi wake.
4. Diplomatic passport yake na mwenza/wenza wake.
5. Gharama za matibabu ndani na nje ya nchi.
6. Gari mbili zisizopungua uzito wa tani 3 na hubadilishwa kila baada ya miaka 5.
7. Nyumba kubwa ya kifahari isiyopungua vyumba vinne, servant quarter & ofisi (Nyumba ya kifahari).
8. Fedha ya maintenance kila mwezi ambayo ni sawa na ASILIMIA THEMANINI ya mshahara wa rais aliye madarakani.
9. Msaidizi
10. Secretary
11. Mtumishi wa ofisi
12. Mpishi
13. Mfua nguo
14. Kijana wa kazi
15. Mtunza bustani
16. Dereva wawili
17. Matumizi ya maeneo ya VIP
18. Gharama za mazishi
19. Gharama zingine pale Serikali itaona inafaa.
20. Ulinzi wake na wana familia.
NB: Sheria hii ni ya TZ Bara, upande wa Zanzibar wana sheria yao. Hii sheria inafanyiwa MABORESHO kuongeza mafao zaidi kwa rais na wana familia. Mjane wa rais anafaidika mno sijui kulikuwa na ulazima gani wa kumwongezea mafao mengine!
Sasa, haya ni mafao ya rais tu, wengine kwenye orodha ni Makamu wa rais, Waziri Mkuu, Spika wa Bunge, Naibu Spika, RC, DC & Wabunge. Wote hawa wanalipwa mafao makubwa. Imagine, wabunge 393 uwalipe kila mmoja TZS 250M!
Je, unajua Spika mstaafu anapokea LITA 70 za mafuta ya gari kila wiki mpaka atakapofariki?
Na hii ndo maana tunataka katiba mpya na wao hawataki wanajua kitakachofata baadaeSheria - THE POLITICAL SERVICE
RETIREMENT BENEFITS ACT (Cap. 225)
RAIS:
Rais wa Tanzania akistaafu anapata mafao yafuatayo:
1. Pensheni ya kila mwezi ambayo ni sawa na ASILIMIA THEMANINI ya mshahara wa rais aliye madarakani.
2. Kiinua mgongo sawa na ASILIMIA HAMSINI ya mshahara wake wote aliopokea akiwa madarakani kama rais.
3. Akitoka nje ya nchi kwa shughuli ya Kiserikali atalipiwa ticket ya ndege FIRST CLASS, yeye, mwenza wake na msaidizi wake.
4. Diplomatic passport yake na mwenza/wenza wake.
5. Gharama za matibabu ndani na nje ya nchi.
6. Gari mbili zisizopungua uzito wa tani 3 na hubadilishwa kila baada ya miaka 5.
7. Nyumba kubwa ya kifahari isiyopungua vyumba vinne, servant quarter & ofisi (Nyumba ya kifahari).
8. Fedha ya maintenance kila mwezi ambayo ni sawa na ASILIMIA THEMANINI ya mshahara wa rais aliye madarakani.
9. Msaidizi
10. Secretary
11. Mtumishi wa ofisi
12. Mpishi
13. Mfua nguo
14. Kijana wa kazi
15. Mtunza bustani
16. Dereva wawili
17. Matumizi ya maeneo ya VIP
18. Gharama za mazishi
19. Gharama zingine pale Serikali itaona inafaa.
20. Ulinzi wake na wana familia.
NB: Sheria hii ni ya TZ Bara, upande wa Zanzibar wana sheria yao. Hii sheria inafanyiwa MABORESHO kuongeza mafao zaidi kwa rais na wana familia. Mjane wa rais anafaidika mno sijui kulikuwa na ulazima gani wa kumwongezea mafao mengine!
Sasa, haya ni mafao ya rais tu, wengine kwenye orodha ni Makamu wa rais, Waziri Mkuu, Spika wa Bunge, Naibu Spika, RC, DC & Wabunge. Wote hawa wanalipwa mafao makubwa. Imagine, wabunge 393 uwalipe kila mmoja TZS 250M!
Je, unajua Spika mstaafu anapokea LITA 70 za mafuta ya gari kila wiki mpaka atakapofariki?
Tena wanampa Mil 50, 70 au 90 halafu anaambiwa zingine atapewa baadae 🤣🤣🤣Na hapo ni mafao ya miaka 10 kwa awamu mbili....
Ila kuna mtumishi kafanya kazi zaidi ya miaka 30 mafao yake kupata ni sarakasi, na hicho kidogo anachostahili bado eti apewe kidogo kidogo😢
Asante mkuu nafurahi tunashea vision. Utakua waziri mkuu wangu au mm ntakua waziri mkuu wewe uwe rais. Hakuna shaka. Tutasambaratisha hawa shenzi tutaita operation gaza. TUtaua hawa watu mpaka mimba zao.Mawazo yangu kabisa haya!
Hii ndiyo CCM niijuayo mimi.Sheria - THE POLITICAL SERVICE
RETIREMENT BENEFITS ACT (Cap. 225)
RAIS:
Rais wa Tanzania akistaafu anapata mafao yafuatayo:
1. Pensheni ya kila mwezi ambayo ni sawa na ASILIMIA THEMANINI ya mshahara wa rais aliye madarakani.
2. Kiinua mgongo sawa na ASILIMIA HAMSINI ya mshahara wake wote aliopokea akiwa madarakani kama rais.
3. Akitoka nje ya nchi kwa shughuli ya Kiserikali atalipiwa ticket ya ndege FIRST CLASS, yeye, mwenza wake na msaidizi wake.
4. Diplomatic passport yake na mwenza/wenza wake.
5. Gharama za matibabu ndani na nje ya nchi.
6. Gari mbili zisizopungua uzito wa tani 3 na hubadilishwa kila baada ya miaka 5.
7. Nyumba kubwa ya kifahari isiyopungua vyumba vinne, servant quarter & ofisi (Nyumba ya kifahari).
8. Fedha ya maintenance kila mwezi ambayo ni sawa na ASILIMIA THEMANINI ya mshahara wa rais aliye madarakani.
9. Msaidizi
10. Secretary
11. Mtumishi wa ofisi
12. Mpishi
13. Mfua nguo
14. Kijana wa kazi
15. Mtunza bustani
16. Dereva wawili
17. Matumizi ya maeneo ya VIP
18. Gharama za mazishi
19. Gharama zingine pale Serikali itaona inafaa.
20. Ulinzi wake na wana familia.
NB: Sheria hii ni ya TZ Bara, upande wa Zanzibar wana sheria yao. Hii sheria inafanyiwa MABORESHO kuongeza mafao zaidi kwa rais na wana familia. Mjane wa rais anafaidika mno sijui kulikuwa na ulazima gani wa kumwongezea mafao mengine!
Sasa, haya ni mafao ya rais tu, wengine kwenye orodha ni Makamu wa rais, Waziri Mkuu, Spika wa Bunge, Naibu Spika, RC, DC & Wabunge. Wote hawa wanalipwa mafao makubwa. Imagine, wabunge 393 uwalipe kila mmoja TZS 250M!
Je, unajua Spika mstaafu anapokea LITA 70 za mafuta ya gari kila wiki mpaka atakapofariki?
Role model wangu huyo naoma umemuita 🤣
Kwa kifupi, mfumo mzima wa serikali haupo kwa manufaa ya raia walio wengi. Sheri wanazotunga ni zile ambazo haziwagusi wao kabisa. Jeshi la polisi lipo kuwalinda walio wachache na si kulinda mali na usalama wa raia.Sheria - THE POLITICAL SERVICE
RETIREMENT BENEFITS ACT (Cap. 225)
RAIS:
Rais wa Tanzania akistaafu anapata mafao yafuatayo:
1. Pensheni ya kila mwezi ambayo ni sawa na ASILIMIA THEMANINI ya mshahara wa rais aliye madarakani.
2. Kiinua mgongo sawa na ASILIMIA HAMSINI ya mshahara wake wote aliopokea akiwa madarakani kama rais.
3. Akitoka nje ya nchi kwa shughuli ya Kiserikali atalipiwa ticket ya ndege FIRST CLASS, yeye, mwenza wake na msaidizi wake.
4. Diplomatic passport yake na mwenza/wenza wake.
5. Gharama za matibabu ndani na nje ya nchi.
6. Gari mbili zisizopungua uzito wa tani 3 na hubadilishwa kila baada ya miaka 5.
7. Nyumba kubwa ya kifahari isiyopungua vyumba vinne, servant quarter & ofisi (Nyumba ya kifahari).
8. Fedha ya maintenance kila mwezi ambayo ni sawa na ASILIMIA THEMANINI ya mshahara wa rais aliye madarakani.
9. Msaidizi
10. Secretary
11. Mtumishi wa ofisi
12. Mpishi
13. Mfua nguo
14. Kijana wa kazi
15. Mtunza bustani
16. Dereva wawili
17. Matumizi ya maeneo ya VIP
18. Gharama za mazishi
19. Gharama zingine pale Serikali itaona inafaa.
20. Ulinzi wake na wana familia.
NB: Sheria hii ni ya TZ Bara, upande wa Zanzibar wana sheria yao. Hii sheria inafanyiwa MABORESHO kuongeza mafao zaidi kwa rais na wana familia. Mjane wa rais anafaidika mno sijui kulikuwa na ulazima gani wa kumwongezea mafao mengine!
Sasa, haya ni mafao ya rais tu, wengine kwenye orodha ni Makamu wa rais, Waziri Mkuu, Spika wa Bunge, Naibu Spika, RC, DC & Wabunge. Wote hawa wanalipwa mafao makubwa. Imagine, wabunge 393 uwalipe kila mmoja TZS 250M!
Je, unajua Spika mstaafu anapokea LITA 70 za mafuta ya gari kila wiki mpaka atakapofariki?
Kila siku nasema hapa...Na bado wanaiba. Ngozi nyeusi ina laana si bure!
Uafrika hasa utanzania ni laana.Nchi ya wendawazimu
Ama Salma Kikwete atanufaka sana...Sheria - THE POLITICAL SERVICE
RETIREMENT BENEFITS ACT (Cap. 225)
RAIS:
Rais wa Tanzania akistaafu anapata mafao yafuatayo:
1. Pensheni ya kila mwezi ambayo ni sawa na ASILIMIA THEMANINI ya mshahara wa rais aliye madarakani.
2. Kiinua mgongo sawa na ASILIMIA HAMSINI ya mshahara wake wote aliopokea akiwa madarakani kama rais.
3. Akitoka nje ya nchi kwa shughuli ya Kiserikali atalipiwa ticket ya ndege FIRST CLASS, yeye, mwenza wake na msaidizi wake.
4. Diplomatic passport yake na mwenza/wenza wake.
5. Gharama za matibabu ndani na nje ya nchi.
6. Gari mbili zisizopungua uzito wa tani 3 na hubadilishwa kila baada ya miaka 5.
7. Nyumba kubwa ya kifahari isiyopungua vyumba vinne, servant quarter & ofisi (Nyumba ya kifahari).
8. Fedha ya maintenance kila mwezi ambayo ni sawa na ASILIMIA THEMANINI ya mshahara wa rais aliye madarakani.
9. Msaidizi
10. Secretary
11. Mtumishi wa ofisi
12. Mpishi
13. Mfua nguo
14. Kijana wa kazi
15. Mtunza bustani
16. Dereva wawili
17. Matumizi ya maeneo ya VIP
18. Gharama za mazishi
19. Gharama zingine pale Serikali itaona inafaa.
20. Ulinzi wake na wana familia.
NB: Sheria hii ni ya TZ Bara, upande wa Zanzibar wana sheria yao. Hii sheria inafanyiwa MABORESHO kuongeza mafao zaidi kwa rais na wana familia. Mjane wa rais anafaidika mno sijui kulikuwa na ulazima gani wa kumwongezea mafao mengine!
Sasa, haya ni mafao ya rais tu, wengine kwenye orodha ni Makamu wa rais, Waziri Mkuu, Spika wa Bunge, Naibu Spika, RC, DC & Wabunge. Wote hawa wanalipwa mafao makubwa. Imagine, wabunge 393 uwalipe kila mmoja TZS 250M!
Je, unajua Spika mstaafu anapokea LITA 70 za mafuta ya gari kila wiki mpaka atakapofariki?