Yajue mafao ya viongozi wa kisiasa

Yajue mafao ya viongozi wa kisiasa

Mada kama hizi ndizo haswa zinatakiwa hapa JF,ilikujua nchi inafirimbwa kiasi gani,sio zile mada zakina nani wale vichwa maji,kutwa mapambio..

Kwa mfano sioni haja ya Mstaafu kulipwa 80% ya mshahara wa aliyeopo madarakani..30% ingetosha sana..80% ni kama vile wana majukumu sawa,wakati huyu tayari ni Mstaafu..ni kutumwa tu hapa na pale
 
Mkuu pambana kijana wako awe mwanasiasa. Au la, pambana nawe uingie siasani kama umri haujakutupa mkono[emoji23][emoji23]
Mkuu, siwezi kutamani wanangu waingie kwenye siasa. Namimi sitamani kuingia kwenye siasa kabisa kwasababu naamini mafanikio yangu yatatokana na bidii zangu.
 
Sheria - THE POLITICAL SERVICE
RETIREMENT BENEFITS ACT (Cap. 225)

RAIS:
Rais wa Tanzania akistaafu anapata mafao yafuatayo:

1. Pensheni ya kila mwezi ambayo ni sawa na ASILIMIA THEMANINI ya mshahara wa rais aliye madarakani.

2. Kiinua mgongo sawa na ASILIMIA HAMSINI ya mshahara wake wote aliopokea akiwa madarakani kama rais.

3. Akitoka nje ya nchi kwa shughuli ya Kiserikali atalipiwa ticket ya ndege FIRST CLASS, yeye, mwenza wake na msaidizi wake.

4. Diplomatic passport yake na mwenza/wenza wake.

5. Gharama za matibabu ndani na nje ya nchi.

6. Gari mbili zisizopungua uzito wa tani 3 na hubadilishwa kila baada ya miaka 5.

7. Nyumba kubwa ya kifahari isiyopungua vyumba vinne, servant quarter & ofisi (Nyumba ya kifahari).

8. Fedha ya maintenance kila mwezi ambayo ni sawa na ASILIMIA THEMANINI ya mshahara wa rais aliye madarakani.

9. Msaidizi
10. Secretary
11. Mtumishi wa ofisi
12. Mpishi
13. Mfua nguo
14. Kijana wa kazi
15. Mtunza bustani
16. Dereva wawili
17. Matumizi ya maeneo ya VIP
18. Gharama za mazishi
19. Gharama zingine pale Serikali itaona inafaa.
20. Ulinzi wake na wana familia.

NB: Sheria hii ni ya TZ Bara, upande wa Zanzibar wana sheria yao. Hii sheria inafanyiwa MABORESHO kuongeza mafao zaidi kwa rais na wana familia. Mjane wa rais anafaidika mno sijui kulikuwa na ulazima gani wa kumwongezea mafao mengine!

Sasa, haya ni mafao ya rais tu, wengine kwenye orodha ni Makamu wa rais, Waziri Mkuu, Spika wa Bunge, Naibu Spika, RC, DC & Wabunge. Wote hawa wanalipwa mafao makubwa. Imagine, wabunge 393 uwalipe kila mmoja TZS 250M!

Je, unajua Spika mstaafu anapokea LITA 70 za mafuta ya gari kila wiki mpaka atakapofariki?
Wabunge wakimaliza miaka 5 hulipwa 400M
 
Sheria - THE POLITICAL SERVICE
RETIREMENT BENEFITS ACT (Cap. 225)

RAIS:
Rais wa Tanzania akistaafu anapata mafao yafuatayo:

1. Pensheni ya kila mwezi ambayo ni sawa na ASILIMIA THEMANINI ya mshahara wa rais aliye madarakani.

2. Kiinua mgongo sawa na ASILIMIA HAMSINI ya mshahara wake wote aliopokea akiwa madarakani kama rais.

3. Akitoka nje ya nchi kwa shughuli ya Kiserikali atalipiwa ticket ya ndege FIRST CLASS, yeye, mwenza wake na msaidizi wake.

4. Diplomatic passport yake na mwenza/wenza wake.

5. Gharama za matibabu ndani na nje ya nchi.

6. Gari mbili zisizopungua uzito wa tani 3 na hubadilishwa kila baada ya miaka 5.

7. Nyumba kubwa ya kifahari isiyopungua vyumba vinne, servant quarter & ofisi (Nyumba ya kifahari).

8. Fedha ya maintenance kila mwezi ambayo ni sawa na ASILIMIA THEMANINI ya mshahara wa rais aliye madarakani.

9. Msaidizi
10. Secretary
11. Mtumishi wa ofisi
12. Mpishi
13. Mfua nguo
14. Kijana wa kazi
15. Mtunza bustani
16. Dereva wawili
17. Matumizi ya maeneo ya VIP
18. Gharama za mazishi
19. Gharama zingine pale Serikali itaona inafaa.
20. Ulinzi wake na wana familia.

NB: Sheria hii ni ya TZ Bara, upande wa Zanzibar wana sheria yao. Hii sheria inafanyiwa MABORESHO kuongeza mafao zaidi kwa rais na wana familia. Mjane wa rais anafaidika mno sijui kulikuwa na ulazima gani wa kumwongezea mafao mengine!

Sasa, haya ni mafao ya rais tu, wengine kwenye orodha ni Makamu wa rais, Waziri Mkuu, Spika wa Bunge, Naibu Spika, RC, DC & Wabunge. Wote hawa wanalipwa mafao makubwa. Imagine, wabunge 393 uwalipe kila mmoja TZS 250M!

Je, unajua Spika mstaafu anapokea LITA 70 za mafuta ya gari kila wiki mpaka atakapofariki?
Na hii ndo maana tunataka katiba mpya na wao hawataki wanajua kitakachofata baadae
 
Na hapo ni mafao ya miaka 10 kwa awamu mbili....
Ila kuna mtumishi kafanya kazi zaidi ya miaka 30 mafao yake kupata ni sarakasi, na hicho kidogo anachostahili bado eti apewe kidogo kidogo😢
Tena wanampa Mil 50, 70 au 90 halafu anaambiwa zingine atapewa baadae 🤣🤣🤣
 
Sheria - THE POLITICAL SERVICE
RETIREMENT BENEFITS ACT (Cap. 225)

RAIS:
Rais wa Tanzania akistaafu anapata mafao yafuatayo:

1. Pensheni ya kila mwezi ambayo ni sawa na ASILIMIA THEMANINI ya mshahara wa rais aliye madarakani.

2. Kiinua mgongo sawa na ASILIMIA HAMSINI ya mshahara wake wote aliopokea akiwa madarakani kama rais.

3. Akitoka nje ya nchi kwa shughuli ya Kiserikali atalipiwa ticket ya ndege FIRST CLASS, yeye, mwenza wake na msaidizi wake.

4. Diplomatic passport yake na mwenza/wenza wake.

5. Gharama za matibabu ndani na nje ya nchi.

6. Gari mbili zisizopungua uzito wa tani 3 na hubadilishwa kila baada ya miaka 5.

7. Nyumba kubwa ya kifahari isiyopungua vyumba vinne, servant quarter & ofisi (Nyumba ya kifahari).

8. Fedha ya maintenance kila mwezi ambayo ni sawa na ASILIMIA THEMANINI ya mshahara wa rais aliye madarakani.

9. Msaidizi
10. Secretary
11. Mtumishi wa ofisi
12. Mpishi
13. Mfua nguo
14. Kijana wa kazi
15. Mtunza bustani
16. Dereva wawili
17. Matumizi ya maeneo ya VIP
18. Gharama za mazishi
19. Gharama zingine pale Serikali itaona inafaa.
20. Ulinzi wake na wana familia.

NB: Sheria hii ni ya TZ Bara, upande wa Zanzibar wana sheria yao. Hii sheria inafanyiwa MABORESHO kuongeza mafao zaidi kwa rais na wana familia. Mjane wa rais anafaidika mno sijui kulikuwa na ulazima gani wa kumwongezea mafao mengine!

Sasa, haya ni mafao ya rais tu, wengine kwenye orodha ni Makamu wa rais, Waziri Mkuu, Spika wa Bunge, Naibu Spika, RC, DC & Wabunge. Wote hawa wanalipwa mafao makubwa. Imagine, wabunge 393 uwalipe kila mmoja TZS 250M!

Je, unajua Spika mstaafu anapokea LITA 70 za mafuta ya gari kila wiki mpaka atakapofariki?
Hii ndiyo CCM niijuayo mimi.
 
Duh! Kwa hakika inashangaza sana..
 
Sheria - THE POLITICAL SERVICE
RETIREMENT BENEFITS ACT (Cap. 225)

RAIS:
Rais wa Tanzania akistaafu anapata mafao yafuatayo:

1. Pensheni ya kila mwezi ambayo ni sawa na ASILIMIA THEMANINI ya mshahara wa rais aliye madarakani.

2. Kiinua mgongo sawa na ASILIMIA HAMSINI ya mshahara wake wote aliopokea akiwa madarakani kama rais.

3. Akitoka nje ya nchi kwa shughuli ya Kiserikali atalipiwa ticket ya ndege FIRST CLASS, yeye, mwenza wake na msaidizi wake.

4. Diplomatic passport yake na mwenza/wenza wake.

5. Gharama za matibabu ndani na nje ya nchi.

6. Gari mbili zisizopungua uzito wa tani 3 na hubadilishwa kila baada ya miaka 5.

7. Nyumba kubwa ya kifahari isiyopungua vyumba vinne, servant quarter & ofisi (Nyumba ya kifahari).

8. Fedha ya maintenance kila mwezi ambayo ni sawa na ASILIMIA THEMANINI ya mshahara wa rais aliye madarakani.

9. Msaidizi
10. Secretary
11. Mtumishi wa ofisi
12. Mpishi
13. Mfua nguo
14. Kijana wa kazi
15. Mtunza bustani
16. Dereva wawili
17. Matumizi ya maeneo ya VIP
18. Gharama za mazishi
19. Gharama zingine pale Serikali itaona inafaa.
20. Ulinzi wake na wana familia.

NB: Sheria hii ni ya TZ Bara, upande wa Zanzibar wana sheria yao. Hii sheria inafanyiwa MABORESHO kuongeza mafao zaidi kwa rais na wana familia. Mjane wa rais anafaidika mno sijui kulikuwa na ulazima gani wa kumwongezea mafao mengine!

Sasa, haya ni mafao ya rais tu, wengine kwenye orodha ni Makamu wa rais, Waziri Mkuu, Spika wa Bunge, Naibu Spika, RC, DC & Wabunge. Wote hawa wanalipwa mafao makubwa. Imagine, wabunge 393 uwalipe kila mmoja TZS 250M!

Je, unajua Spika mstaafu anapokea LITA 70 za mafuta ya gari kila wiki mpaka atakapofariki?
Kwa kifupi, mfumo mzima wa serikali haupo kwa manufaa ya raia walio wengi. Sheri wanazotunga ni zile ambazo haziwagusi wao kabisa. Jeshi la polisi lipo kuwalinda walio wachache na si kulinda mali na usalama wa raia.
Kuzaliwa mtu mwesi imekua kamalaana by default. Wananchi hawana maji, hawana umeme, hawana madawa mahospitalini. Mbaya sana viongozi tukisha wachagua wanaenda kuukaa kwenye nyumba zilizoandaliwa kwa ajili yao ambapo umeme haukatiki, maji hayakati barabara zipo saafi na mazingira yanayovutia. Viongozi hawa hawawezi kamwe kujua wananchi wao wanaishije ishije kwa sababu hawapo tena pamoja nao.
Pia matumizi makubwa yanayofanywa na serikali ni kwa sababu haijui hiyo pesa inapatikana vipi. Ni kama mtu anaesubiri kupewa pesa tu. Matumizi yake lazma yawe mabaya kwasababu hajui watu wanavyotoili kwa ground kuzitafuta hizo pesa.
Tuendelee kuangalia tu yanayoendelea.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Mbunge wetu huku kajenga madarasa mawili na kuipa shule jina lake. Watu wanamsifia kinoma yani.
Kuna mwalimu wangu anamsifia sana huko mitandaoni.
Nimemdharau sana aisee. Nikajisemea if an educated person think like this,hali ipoje kwa maelfu ya watu ambao hawajapata fursa ya kupata elimu katika nchi hii kutokana na kutowajibika kwa viongozi wetu???
Bado tuna safari ndefu sanaaa.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Sheria - THE POLITICAL SERVICE
RETIREMENT BENEFITS ACT (Cap. 225)

RAIS:
Rais wa Tanzania akistaafu anapata mafao yafuatayo:

1. Pensheni ya kila mwezi ambayo ni sawa na ASILIMIA THEMANINI ya mshahara wa rais aliye madarakani.

2. Kiinua mgongo sawa na ASILIMIA HAMSINI ya mshahara wake wote aliopokea akiwa madarakani kama rais.

3. Akitoka nje ya nchi kwa shughuli ya Kiserikali atalipiwa ticket ya ndege FIRST CLASS, yeye, mwenza wake na msaidizi wake.

4. Diplomatic passport yake na mwenza/wenza wake.

5. Gharama za matibabu ndani na nje ya nchi.

6. Gari mbili zisizopungua uzito wa tani 3 na hubadilishwa kila baada ya miaka 5.

7. Nyumba kubwa ya kifahari isiyopungua vyumba vinne, servant quarter & ofisi (Nyumba ya kifahari).

8. Fedha ya maintenance kila mwezi ambayo ni sawa na ASILIMIA THEMANINI ya mshahara wa rais aliye madarakani.

9. Msaidizi
10. Secretary
11. Mtumishi wa ofisi
12. Mpishi
13. Mfua nguo
14. Kijana wa kazi
15. Mtunza bustani
16. Dereva wawili
17. Matumizi ya maeneo ya VIP
18. Gharama za mazishi
19. Gharama zingine pale Serikali itaona inafaa.
20. Ulinzi wake na wana familia.

NB: Sheria hii ni ya TZ Bara, upande wa Zanzibar wana sheria yao. Hii sheria inafanyiwa MABORESHO kuongeza mafao zaidi kwa rais na wana familia. Mjane wa rais anafaidika mno sijui kulikuwa na ulazima gani wa kumwongezea mafao mengine!

Sasa, haya ni mafao ya rais tu, wengine kwenye orodha ni Makamu wa rais, Waziri Mkuu, Spika wa Bunge, Naibu Spika, RC, DC & Wabunge. Wote hawa wanalipwa mafao makubwa. Imagine, wabunge 393 uwalipe kila mmoja TZS 250M!

Je, unajua Spika mstaafu anapokea LITA 70 za mafuta ya gari kila wiki mpaka atakapofariki?
Ama Salma Kikwete atanufaka sana...

Atakula mafao ya ustaafu wa mumewe huku akipokea mshahara na marupurupu ya ubunge. Akistaafu Ubunge anazoa mafao ya kustaafu ubunge huku akiendelea kula pensheni ya ustaafu wa mumewe...

Mbinguni kuna watu watapewa kazi ya kudeki vyoo na watakuwa wanalala stoo...
 
Back
Top Bottom