Zinakunywa kupita kiasi,kwanza zikiwa na lita chini ya elfu inasoma empty na katika kuongeza nguvu haswa kwenye kupanda ukizingatia hayo madubwana hutumika Sana kwenye openi pit huwa zinatumia umeme unaofuliwa na generator iliyomo ndani yakeVipi ulaji wa mafuta
Mweh!Jamaa alidhani sisi ni BHASISIMIKISI WA KUTOKA NGEMELA
Zilikuwepo Bul.
Labda siku hizi ndio hakuna. Mpaka ninaondoka bul 2015 January niliziacha
Tungekuwa na chuma na sisi tungetengeneza
Hichohicho ila hatuchimbi hata toroli mojaChuma gani?
Kwani kule liganga tunachimba nini?
Kama uwezo na nia ya kuziunda ungekuwepi chuma sio shida unaweza agiza ata nje.Zinacho. Maana hayo magari ni chuma tupu.
Kuagiza kilichokuwa tayari ni ghali sana. Maana viwanda hivyo huendeshwa na viwanda vingine vingi. Huyu anatengeneza rim za tairi, yule bodi, huyu injini. Viwanda kibao. Wote hao hawawezi kuagiza kwa bei shindani. Ila mkiww na chuma humuhumu ndani no rahisi mtu kuanza kutengeneza nuts, bearinngs nk. Upatikaji wa malighafi kwa urahisi ni jambo la muhimu sana.Kama uwezo na nia ya kuziunda ungekuwepi chuma sio shida unaweza agiza ata nje.
Hizo zikipita kwenye barabara zetu lazma ziharibuMidubwana hiyo ni lazima ibwebwe kwenye matrela, kwasababu hayo ni ma heavyweight hayana mbio, basi yanako hitajika husafirishwa kwa kubebwa na matrela
Hiyo mweeeee!! Sasa ulivyoipiga, yaani ni ile OG kabisa kutoka Kwenu Nditu, Mwakaleli, mwe bha Mwamsojo
CCM hawaoni umuhimu wa kuinvest kwenye kuendelea madini ya chuma. Utajiri wa nchi nyingi umetokana na uwepo wa madini ya chuma, sisi mafala tuko busy na tanzaniteHichohicho ila hatuchimbi hata toroli moja
Wenzetu wamewekeza kwenye elimu ya manufaa. Elimu yetu ni ya hovyo kabisa.Bujibuji nilikua naangalia kama wachina nao wamo, kumbe hamna kitu.
1 BELAZ: 7571O. BELARUS nchi ndogo toka SOVIETS UNION(ya zamani) lakini ni ndogo kwa watu na ardhi sio kwa technology, BELARUS kitecnology ni vichwa sawa na Russia.
View attachment 1872619
Acha uongo, Buly ni underground so hakuna DT namna hiyo.Hizi mgodini Bulyanhulu tumeyachezea sana
I appreciate, so mkuu bado unatinga?Kijana, numekumbia usiseme uongo.
Caspian amekua sub contractor kwenye migodi ya Barrick yes, lakini mgodi wa Bulyanhulu hauwawezi tumia machine hizi kwasababu ni Underground Mine.
Na hata inapotokea Sub anapewa contract ya kujenga bwawa hawezi kuleta ama kutumia mashine za aina hii..
Hizi machine sana zinatumika Buzwagi, Geita (GGM) na North Mara (Nyamongo).
Tena usizungumzie uwepo wako wakati wa kujenga mabwawa ya Zebaki, watu tulikuepo hata kabla Main Shaft haijachimbwa na kujengwa. Yaani tulikuepo kipindi Skanska wakitoboa Box Cut. Hapa namaanisha nimekuwepo hata kabla hiyo Zebaki haijaanza kutumika migodini na sikuzile tulipaita Tellings Dam.
We jamaa bhana 😁😁Zilikuwepo Bul.
Labda siku hizi ndio hakuna. Mpaka ninaondoka bul 2015 January niliziacha
Yap, hizo ni komatsu kutoka Buzwagi...ambapo DT kubwa ni HD 1500.Naona hapa Barrick NM
ni kama wanaachana na hizo za CAT
nyingi naona sasa ni za Komatsu
ndiyo zinatamba!
Mfano wa Komatsu HD 1500 (ndogo so haipo kwenye list) ina 40L ambapo ni kama cc 40,000.Vipi ulaji wa mafuta
Hata Mtu mweusi?Aisee kuna mavifaa makubwa mno hii dunia.
Binadamu tuna akili sana. Tumshukuru Muumba kwa hilo.
Nani amekuambia TZ au Afrika hakuna chuma?Zinacho. Maana hayo magari ni chuma tupu.