Yajue Maisha yalivyo jela

Hakika ukifanya hivyo uta balikiwa Sana Tena kabla hauja wapelekea tembelea kwanza

Utawaona wanao hitaji msaada hata hata kwa kuwa angalia tu

waulize majina yao Kisha wapelekee mkuu uta barikiwa
Hivi inawezekana kwa mtu binafsi kwenda tu pale gerezani ukasema nahitaji kuonana na wafungwa na ukaruhusiwa???
 
Utaratibu wa kutembelea upoje?
Mimi nilienda bila kujua utaratibu
Lakin bahati nzur nilimkuta kamanda mkuu msangi mwisilam ambaye ni mkuu wa gereza kabisa butimba

Kwahiyo akanihoji maswali akanambia nimpe kibali au barua ya mwenyekiti wa mtaa nikawa sina akaniuliuza umeleta vifaa vya kidini wewe ni padre au mchungaji nikawambia hapana mimi ni muumini tu na huu ni mwezi wa rozari kwahiyo nimeletea wakristo wezangu rozari wasali
Jamaa nikazidi kumchanganya zaid ikabidi amuite kamanda ambaye anahusika na dini ya kikristo akaja dada mmoja kavaa kikamanda akapiga salute kubwa sana mbele ya kamanda msangi

Kamanda msangi akamuuliza unavijua hivi vitu yule dada afande akafufuhi sana akasema wewe kijana umefanya vizur sana wafungwa hawana rozari humu ndan ohoo umeleta na vitabu vya sala ubalikiwe sana kaka

Akaanza kumuuleza yule kamanda hivi ni vitabu vya novena tegemea wafungwa wataanza kuachiwa mmoja baada ya mwingine na hizi ni rozari ambazo nyie waislam mnaita tasibih

Kwa kifupi hata wao hawapendi kabisa mtu kufungwa na walifurahi sana hata huyo kamanda msangi akabaki mdomo wazi maana hajawahi ona mtu kupeleka rozari sasa imekuwaje

Kwa kifupi walipenda na walifurahi sana hata makamanda wengine walinipongeza sana

Kidogo tu nipate mchumba kamanda dada mmoja hivi mzuri sana

Kwahiyo utaratibu wao nenda kwa mwenyekiti wa mtaa akuandikie barua na muhuri uolozeshe vifaa unavyopeleka

Asanten
 
Amini mkuu,mfungwa akiwa kwenye kazi za nje kukutana na raia wa kawaida ni kitu simple na mara nyingi huwa hawana cha kukuomba zaidi ya kama hivyo hela au kama unakula kitu umpe etc.

August nilihudhuria msiba kijijini kwetu nikawakuta wanafanya tree pruning kwenye hospital moja ya serikali mmoja akanigongea kitu kidogo nikammwachia buku aliniona mtu sana,jamaa ni wa kusaidiwa kwa chochote kama mtu ukipata wasaa wa kufanya hivyo.
 
Hakuna wa kufanya hivyo nchi hii cha kufanya ni wewe kwa nafasi yako kuwasisitiza nduguzo na yeyote mtaani kwako kukaa mbali na kiumbe kinachoitwa polisi.

Hata akiona tukio limetokea sijui mtu katupa bunduki machakani akakimbia na yeye akimbie hivyo hivyo tena kumzidi mwenye bunduki yake askari bongo hawasaidiki akijipendekeza ushahidi watampoteza maisha.
 
Tuombeane jela sio kabisa....haswa ukiwa kesi haina dhamana....mbaya mnoooo....kuna jamaa Bank moja alizingua pesa za ATM tangu 2008 hafi leo yuko ndani.....sijui ile kesi itaisha lini...amesota sana mali zoote kwisha skitoka masikini wa kuanza upya
Inasikitisha sana.
 
Baraka nyingi zikufikie popote pale ulipo
 
Hao viongozi wa dini wakati wa ibada hawakemei ushoga?
Wakemee ushoga wakiitwa wakiambiwa wawataje mashoga wanaowakemea na moja wapo ya sheria za wafungwa ni kum-point mtu ushoga watajibu nini?

Ni mtihani sana na nimekosa logic kwamba kwanini mfungwa asipeleke malalamiko yake kwa askari jela moja kwa moja hadi apite kwa nyapala?
 
Mkuu je kuna matukio yoyote ya kikatili wafungwa hufanyiana?

Na vipi kuhusu nyembe za kunyolea huwa hazitumiki kama silaha?
 
Wasiishie kuongea Kwenye matiivii tunatoa misaada ya kisheria na siku ya sheria kutoa msaada Kwa wananchi walio huru mitaani badala kuanzia na ndugu wanaoozea huko Kwa kesi za kusingiziwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…