Yakitokea mashindano kati ya wachawi konki na walokole konki, ni wepi watashinda?

Itabidi uandaliwe uwanja mkubwa sana, kuliko bahari
 
Wachawi 🤣🤣
 
WACHAWI HUWA WAKIANGALIA DUNIANI HUWA HAWAWAONI WALOKOLE...

WALOKOLE SIO WATU WA DUNIA HII HAYA MANENO YAMENUKULIWA KWA EX_FORMER FRIMASON VEMPIRE CHIEF IN COMMAND

HII VITA KWA JINA LA YESU NA DAMU YA YESU HAKUNA WACHAWI,JINI,MIZIMU HAKUNA AMBAE YUPO JUU YA HILI JINA KWA HAO TAJWA HAPO JUU..
 
Mkuu shetani ni ndugu moya na mchawi! Hilo jina la yeasu sio issue! Shetani hamuogopi hata mungu mwenyewe! Shetani akimuangalia yesu ni kama mtoto wa mjomba na shangazi.
 
Wee Kuhani Musa anasema kila siku akifa asiende kuzikwa Moshi ataliwa na wachawi
 
Hiyo ni story ya kutunga tu
 
Itapendeza zaidi Sky News wanunue haki ya kurusha mubashara ili dunia ijionee makuu yake
 
Nasikia Yesu amerudi, yuko Korea Kusini kishatengeneza makabila 12 ya Israel, wanafunzi 12, milango 12
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…