Yakitokea mashindano kati ya wachawi konki na walokole konki, ni wepi watashinda?

Makubwa haya ya ndoto za Alinacha
 
Kwa walokole hawa Wachawi watashinda
 
Wachawi wanatii kanuni zq aliyewtuma. While walokole wengi wapo kimaslahi
 
Na wewe tunga ya kwako wachawi wakishinda
[emoji23][emoji23]
Mkuu lazima mkaangwe tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hayo ya misri niyauongo.
Huwezi ukaongea wewe kama mchawi yupo kazini[emoji1787][emoji1787].
 
Kila kitu ni giza, nuru huondoa giza kwa muda, ndio maana nuru ikiondoka giza linakuwepo.

Giza ni kongwe kuliko nuru.
Giza ni kubwa kuliko nuru
Wee jamaa smart sana, giza ndio asili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…