Yalionikuta sina hamu na nyie wanaume

Alikukuta bikra?
 
Unapekuaje simu ya mwanaume wako! Tena Umechukua na namba ukapiga πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mbona hili la siku nyingi sana. Ku-save majina kama fundi bomba, mwenyekiti wa vikoba, shangazi Jamila etc... Na halina mwanamke wala mwanamme. Wote wanadanganyana.
 
Hivi Kwa mfano mwanaume kakupata Baada ya kukupa pesa, Nawe Kwa Akili zako unakaa kabisa ukiwaza kwamba upo pekeako Kwa uyo mwanaume?

Hujiulizi wadada wangapi wazuri kuzidi wewe wanataka pesa !!?

HUU NI MFANO.

Laiti Ningejua na wewe alikupataje Huyo mwanaume wako ningekuelekeza tatzo lilipoanzia.
 
Kwamba anadhani peke yake ndie anastahili kupewa pesa
 
Hakika ya Mungu,,uyo mtoto sitawahi mgusa🀣🀣
Wamuita babu yangu mtoto!?
πŸ™†πŸΏβ€β™‚οΈπŸ™†πŸΏβ€β™‚οΈπŸ™†πŸΏβ€β™‚οΈπŸ™†πŸΏβ€β™‚οΈπŸ™†πŸΏβ€β™‚οΈ.
 
Pole Sana,je gwaride back 2 back ulikuwa unapaform vizuriπŸ€”.

Kuwa mvumilivu kama mama Kwa dingie.
Hilo ndo tatizo la vitoto vya 2000🀣🀣🀣🀣
 
Halafu unakuta mwenye uzi nae mwanaume.
 
Idhini ya kubadilisha hayo majina ya kike kuwa ya kiume ameitoa wapi? Inabidi akaape mahakamani.
 
Wamuita babu yangu mtoto!?
πŸ™†πŸΏβ€β™‚οΈπŸ™†πŸΏβ€β™‚οΈπŸ™†πŸΏβ€β™‚οΈπŸ™†πŸΏβ€β™‚οΈπŸ™†πŸΏβ€β™‚οΈ.
na sitawahi acha kumuita ivo😌😌
 
Lilikuwa shati au flana? Au siku hizi Yanga wameanza kutoa na mashati?🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…