Means marufuku kifichua ufisadiJamaa anaipeleka nchi sivyo ndivyo,ni mwendo wa vitisho tu sasa huyu CAG atafanyaje kazi kwa ufanisi ?
Nalog off
Moron president.That’s my President [emoji1531]!
Hama nchi mkuu tuachie rais wetuMoron president.
Aludi chuoni akafundishe ameishapata experience nzuri akalitumikia taifa hukoAssad Alijimwambafai
Rais Magufuli ampa maagizo haya CAG mpya.
''Ukipewa maagizo kutoka kwenye mihimili fanya''
''Wewe ni mtumishi kama wengine''
''Pale ofisi za CAG ni pachafu sana, kapasafishe''
''Una elimu nzuri una Division one O Level na A Level, wewe sio kilaza ni kipanga''
''Una nidhamu sana nilivyokushusha ulikubali kwa moyo mweupe''
''Nakuonya, unaweza ukakaa hata mwaka mmoja na sio lazima ukae hadi 60 yrs''
''Nina mamlaka ya kuteua na kutengua, mimi ndiyo Rais''
''Assad leo saa sita usiku anamaliza muda wake, kesho nenda ofisini''
''Kaisafishe ile ofisi, Wizara ya Fedha itakupa taarifa zingine''
State agent
Polisi anajifanyia upelelezi na uchunguzi dhidi ya kesiKicheere anaenda kukagua madudu yake TRA.
Wakati akitumbuliwa TRA tuliambiwa ali 'under perform'.
Sasa hivi kapewa kazi ya kukagua taasisi ambayo mwaka wa fedha uliopita yeye ndie alikuwa Mtendaji Mkuu wa Taasisi hiyo.
Siye Team TANROAD tunamtakia kila la kheri.
Thubutuuuuuuu!!Anaruhusiwa kukagua BOMBADIA?
Nimeyapenda sana haya maneno ya Komredi Assad.
anakuwa ni nyoka wa kibisaMeans marufuku kifichua ufisadi