Yaliyojiri Karimjee: Zoezi la kuaga mwili wa Marehemu Dkt. John Kijazi, rais Magufuli atoa neno

Yaliyojiri Karimjee: Zoezi la kuaga mwili wa Marehemu Dkt. John Kijazi, rais Magufuli atoa neno

Muulize Mnyika alitaka Magufuli amfanyie nini ambacho kimefanyika kwingineko kilichoondoa corona?

Yani anataka Magufuli afanye nini ili watu wasife?
Serikali iweke wazi korona ipo,watu wajikinge,tunajua Ukimwi upo,na Serikali inatoa pesa za ARV,Polio ipo na Serikali inasisitiza watoto kupewa chanjo,Kansa ya shingo ya uzazi ipo,na Serikali inasisitiza watoto wakike wapate chanjo,
Inapokuja Swala la corona,serikali inataka tupige dua na maombi!unafiki kiasi gani!?
Viongozi waaandamizi wanashambulia watu waliovaa barakoa,na Serikali inakaa kimya,?
Hizi story kwamba Mungu anaipenda TZ kuriko anavyoipenda SA,UK,USA,ni upuuzi mtupu,sisi ni maskini wakutupwa ukijiringanisha na hizo nchi za magharibi,hayo mapenzi ya Mungu kwanini hakuyaonyesha wakati wa majanga ya ebora,Ukimwi,ukame,vita,utumwa,ukoloni!
Huyu Mungu ametupenda leo wakati wa corona????

Sent from my TECNO CD6 using JamiiForums mobile app
 
Muulize Mnyika alitaka Magufuli amfanyie nini ambacho kimefanyika kwingineko kilichoondoa corona?

Yani anataka Magufuli afanye nini ili watu wasife?
wizara ilitangaza uwepo wa covid watu wakafuata taratibu ikiwemo vitakasa mikono na kuvaa barakoa! baada ya muda mh. akatangaza tupo salama na kuna uwezekno hzo barakoa ndo zina corona! watu wote tukaacha kuvaa na tukamshukuru kweli, sasa leo mambo yanakuwa magumu kwa nini asitoe taarifa ya uwepo wa maradhi hya ya kupumua kwa kupaza sauti kma hapo awali..!?
 
wizara ilitangaza uwepo wa covid watu wakafuata taratibu ikiwemo vitakasa mikono na kuvaa barakoa! baada ya muda mh. akatangaza tupo salama na kuna uwezekno hzo barakoa ndo zina corona! watu wote tukaacha kuvaa na tukamshukuru kweli, sasa leo mambo yanakuwa magumu kwa nini asitoe taarifa ya uwepo wa maradhi hya ya kupumua kwa kupaza sauti kma hapo awali..!?
Unasubiri uambiwe kwa nguvu?
 
Muulize Mnyika alitaka Magufuli amfanyie nini ambacho kimefanyika kwingineko kilichoondoa corona?

Yani anataka Magufuli afanye nini ili watu wasife?
Usiwe kama fala
Lengo sio kuzuia watu wasife maana vyanzo vya kifo ni vingi, lengo ni kudhibiti kasi ya kuenea kwa virus, upo hapo ?
 
Usiwe kama fala
Lengo sio kuzuia watu wasife maana vyanzo vya kifo ni vingi, lengo ni kudhibiti kasi ya kuenea kwa virus, upo hapo ?
mbona ilishawekwa wazi mkuu.au nn hakieleweki?? au ni uzito wa ubongo?? Imetamkwa watu wajifukize....na kuchukua tahadhari binafsi. Hukumuona mkwele Jana.

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Usiwe kama fala
Lengo sio kuzuia watu wasife maana vyanzo vya kifo ni vingi, lengo ni kudhibiti kasi ya kuenea kwa virus, upo hapo ?
mbona ilishawekwa wazi !! Nini hakieleweki ??au ni uzito wa ubongo?? Ilitamkwa jifukize,na chukua tahadhari binafsi.Hukumuona mkwele jana[emoji40].

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Atangaze hadharani kwamba Corona ipo na watu wanatakiwa kuchukua tahadhari kama zinavyotolewa na wataalamu wa afya sio wanasiasa maandazi.
Tahadhali ipi wakati hakuna tahadhali inayokinga corona? Kama ipo itaje tuone imefanya kazi wapi?
 
Back
Top Bottom