Yaliyojiri Karimjee: Zoezi la kuaga mwili wa Marehemu Dkt. John Kijazi, rais Magufuli atoa neno

Yaliyojiri Karimjee: Zoezi la kuaga mwili wa Marehemu Dkt. John Kijazi, rais Magufuli atoa neno

Hiyo haikuhusu. Taja njia yeyote ya kujikinga na corona iligofanya kazi sehemu nyingine
Tatizo una hoja kama za binti yangu uko chekechea ndiyo maana tunataka tujue uliishia la ngapi mkuu?Samahani lakini
 
Ni kweli mpaka sasa hujaelewa wapinzani wanataka nini kifanyike kuhusu Corona au unabweka tu?
Wapinzani Tanzania wapuuzi sana hawajui hata wao wanataka nini
Wamekosa mwelekeo
Wakosa maarifa
Wapo kama wapo tu hawana tija kwa taifa

Na ndo mana wengi wao hawasemi magu afanye nini ili kuepuka vifo na magonjwa yenywwe Ila wanabweka tu kama mbwa koko.

Sema rais au jpm do this and this to overcome the situation acha ccm itawale milele mpaka siku wakija wapinzani wenye akili
 
Ulimchagua wewe na nani! Hebu jisemee wewe usijumuishe na wengine! Halafu acha kuhubiri amani huku umeficha upanga haki gani na kwa kipi mlitendea watanzania hapa[emoji116]bure kabisa ! NktView attachment 1706734
Haki au siyo haki, sisi na Tanzania yetu, na Magu wetu, na Mungu wetu mwenye rehema zizidizo tutaendelea kutoboa! Move on common, achana na hayo maigizo na mapichapicha!
 
Back
Top Bottom