Wapinzani Tanzania wapuuzi sana hawajui hata wao wanataka nini
Wamekosa mwelekeo
Wakosa maarifa
Wapo kama wapo tu hawana tija kwa taifa
Na ndo mana wengi wao hawasemi magu afanye nini ili kuepuka vifo na magonjwa yenywwe Ila wanabweka tu kama mbwa koko.
Sema rais au jpm do this and this to overcome the situation acha ccm itawale milele mpaka siku wakija wapinzani wenye akili