Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe - Novemba 17, 2021: Kesi yaahirishwa mpaka tarehe 18/11/2021 saa tatu asubuhi

Huyo ni msaidizi wa oc Cid Kwa hiyo jiandae kukamatwa.
kwamba uhuru wa kutoa maoni umezikwa na CCM?
Yaani, tutakuwa sasa tunaripo tu pale nyani amkmbaka mwanadamu, maana kila kitu CCM na MATAGA hamtaki kiripotiwe.
 
Sasa hivi ni mwendo wa kuedit nyaraka mahakama na serikali lao moja, hawa mawakili wa utetezi waongee na mbowe wajitoe Hakuna kesi hapo ni uzuzu tu unaendelea.
 
Mkuu hii ni nondo ya MWEZI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…