Wewe utakua uko kazini ili kuvuruga public opinion au naturally a foolSasa majaji na wao wasijichoshe, hii kesi wanatakiwa wasiwe wanaisikiliza kila siku, watuhumiwa wake siku 14 kama sheria inavyo tamka. wawe wanaletwa kila baada ya siku 14.
Ungekuwa na akili hata kidogo usingesema hayoMbowe na genge lake wanapaswa wawe na nidhamu ya kuheshimu Mahakama.
Kama wataendelea kuleta mchezo wa kitoto wa kuichafua mahakama kwa kuleta Sarakasi zisizo na kichwa wala miguu watajiweka pabaya sana...
Unakunya juu ya meza ya chakula alafu unadai heshima kwa wanao!!Mahakama inatakiwa iheshimiwe na wote kwakuwa ndio chombo pekee kinacho tafsiri sheria na kutoa HAKI.
Hana amani moyoniYaani haviishi! Matokeo yake, jamaa wanasota ndani bila sababu ya msingi. Wangekuwa WAMEDHAMINIKA, ingekuwa nafuu!
Sijui aliyebuni issue hii anajisikiaje, anapoona wenzie wanateseka kwa UBUNIFU wake!
Watu wapo kwenye FACT ww bado upo Utopoloni [emoji90]Mbowe na genge lake wanapaswa wawe na nidhamu ya kuheshimu Mahakama.
Kama wataendelea kuleta mchezo wa kitoto wa kuichafua mahakama kwa kuleta Sarakasi zisizo na kichwa wala miguu watajiweka pabaya sana...
Hata kwenye mpira wa miguu kuna VARHuyu jaji ni mvivu ,kila ikifika ishu ya maamuzi anaahirisha kesi ili aende kupokea maagizo toka juu
Alisha discontinued kitambo wakati yupo first year semester ya kwanza,hiyo law school atafikajeMkuu ulitoka law school mwaka gani?
Functus officio is a Latin maxim which means that the jurisdiction of the designated authority comes to an end once he has performed his functions for which he was appointed. Once the award is delivered to the parties, the arbitral tribunal cannot review their own award and becomes functus officio.Jamani anae jua hi Falsafa (DOCTRINE) ya 'Funtus Officio' naomba atuelezea inasema je, ili tujifunze hi kesi imekua muhimu sana kwa a cademicians
Zandrano..Mbowe na genge lake wanapaswa wawe na nidhamu ya kuheshimu Mahakama.
Kama wataendelea kuleta mchezo wa kitoto wa kuichafua mahakama kwa kuleta Sarakasi zisizo na kichwa wala miguu watajiweka pabaya sana.
Huyu Judge kama sheria alisoma basi kuna nondo aliziruka. Mimi nasema ukiamua kujua kitu basi ujue kweli. Miaka ile nikiwa nasoma nakumbuka ukiniuliza principles za physics na laws zote zilikuwa kichwani.aliomba Kuingia Kama ID na PW2 anaomba Kiingie Kama Kielelezo. Nadhani hawakuelewa suala la Pingamizi letu labda nirudie kidogo. Mahakama Ilishaitwa Kusema Jambo Au Kupokea Exhibit hii. Na katika hilo Mahakama ilisha Exercise haki yake ya Kusema...
Nionyesha jaji iliyetoa uamuzi hapa kwa papo kwa kama refa wa ndodoHuyu atakuwa jaji wa mchongo, hakuna kitu anaweza kukifanyia maamuzi mpaka akapitie notes zake za shule [emoji16][emoji16]
KWa iyo na wewe umeona umeandika KWa kutumia akili Sana, hivi nafikili Kuna siku akili zenu huwa mzifungia kabatini mnazikuta jion, mahakama sio chama cha ccm , KILA kitu kinaenda kisheria, shida ni pale mnapotaka akili zenu za kiccm lazimisha ziwe zilezile za kimahakama,Mbowe na genge lake wanapaswa wawe na nidhamu ya kuheshimu Mahakama.
Kama wataendelea kuleta mchezo wa kitoto wa kuichafua mahakama kwa kuleta Sarakasi zisizo na kichwa wala miguu watajiweka pabaya sana...
Ina impact gani? Mbona unakuza mambo? Who is Mbowe- mwizi mmojaWewe utakua uko kazini ili kuvuruga public opinion au naturally a fool
Hujui impact ya hi kesi kwa taifa hili, inaweza kusabaratisha serikali kabisa, au kufanya chama tawala kutawanyika au Amani ya nchi kupotea kabisa the earlier the better kwa vyovyote hi kesi imelizike haraka iwezekanavyo.
Unaweza kutuonesha hiyo sheria inayosema hivyo?Sasa majaji na wao wasijichoshe, hii kesi wanatakiwa wasiwe wanaisikiliza kila siku, watuhumiwa wake siku 14 kama sheria inavyo tamka. wawe wanaletwa kila baada ya siku 14.
Tungekuelewa kama ungepangua hoja za mawakili wa utetezi kwa hoja za kisheria, otherwise ulichoandika ni porojo tu.Mbowe na genge lake wanapaswa wawe na nidhamu ya kuheshimu Mahakama.
Kama wataendelea kuleta mchezo wa kitoto wa kuichafua mahakama kwa kuleta Sarakasi zisizo na kichwa wala miguu watajiweka pabaya sana...
Falsafa (DOCTRINE) ya) 'Funtus Officio
Functus officio is a Latin maxim which means that the jurisdiction of the designated authority comes to an end once he has performed his functions for which he was appointed..