Yaliyojiri katika kesi ya Mbowe 26 Jan 2022. Shahidi wa 12 Luteni Denis Urio kuendelea kutoa ushahidi wake

comte ni kituko humu jukwaani Chief! Kituko kweli kweli.
 
Kama kamondoo mwenye cheo Cha Luten anafanya utoto huu nchi yetu haipo salama, yaani mtu unaambiwa Jambo kubwa Kama hili la kuvuruga Amani, unaamua kucheza mchezo wa kua undercover kwenye kikundi kinachopanga kuleta vurugu, then wewe unaenda kufanya recruitment ya watu ambao wameachichwa jeshi kwa utovu wa nidhamu ili wakawe sehemu ya kundi, then kabla ya ushahidi wa kutosha kuhusu hizo habari unaenda kuwakamatisha watu ambao wewe ndo umewashawishi kujiunga. Je, alishindwa vipi kutafuta askari ambao bado ni waadilifu wakawa undercover ili wakaendelee kuufuatilia mtandao mkubwa wa Mbowe ambayo hata yeye alihisi kua anaweza kua ana backup ndio maana akaamua kumkubalia. That is nonsense! Kama kweli hizi njama zilikuwepo hafai kua Luten wa jeshi, Ila Kama game yao unaendelea kuchezwa tuendelee kufuatilia
 
Huyu jamaa si ndiye Adamoo alikiri alichukua kipondo cha nguvu kutoka kwa mahita.,?! Yajayo yanafurahisha
 
Aiseeeee! Amazing! Flabbergasting, even! Ushahidi wa watuhumiwa ni wa kweli, ila wa Luteni ni wa uongo! Ujiniasi wako ni wa Planet Mars!
If you are speaking about a civil case your word against an others is 50% to 50%, you must get 51% usually by presenting some type of evidence, witness, video, letters, emails, recorded audio etc. Further the judge or jury can also look at the credibility of both parties especially in a criminal trial etc.
 
Naomba mmpatie ^health breaks^ za kutosha iwapo akizihitaji, ili isitokee dharura yoyote ya kiafya; tunataka mwendelezo wa hii the so-called sinema.
Joto la Dar halafu wanaomba kwenda haja ndogo,wawe wanaomba kwenda kupunga upepo!
 
Your logic is LOGICAL!

Possibly alikuwa anataka kuridhisha pande zote mbili--upande wa ^sirikali^ na upande wa FM. Don't forget kwamba politicians wana ushawishi mkubwa sana, si kwa jeshi wala kwa raia wa kawaida.

Inaonekana mazungumzo yao yalikuwa marefu sana. Imagine watu wawili wazungumze kuanzia around saa saba hadi saa tisa! Almost two hours! Then, kuna hii kwamba walikuwa wanaendelea kuwasiliana hata baada ya hapo.

Bado kuna [SQUARE BRACKETS] nyingi sana zinazohitaji kujazwa punje halali za ngano!
 
Acha ikae hivyo
 
Sauti alizorekodiwa wakati wanakutana zitawasilishwa.
Maana FM alikataa mazungumzo ya kwenye simu akasahau Kuna voice recorder.
Yajayo yanahuzunisha.
Hizo ndo zinaweza kua Uthibitisho wa anachokisema, ngoja tusubiri. Sauti inaweza inatengenezwa hivyo bado watahitaji uhalisia wa hiyo sauti. Ko ngoma bado mbechi, tuendelee kufuatilia Ila Urio amelitia aibu jeshi letu kwa mbinu yake aliyoitumia kumkamata Mbowe na kuwakamata watu ambao yeye mwenye aliwashawishi kujiunga na Mbowe. Afu una wakamatisha kabla hata kazi hawajaanza. Hivi police walimwacha vipi anayewashawishi watu wakafanye ugaidi?
 
Shahidi: Afande Boazi alinitambulisha Kuwa Yule Mtu anaitwa ACP Ramadhan Kingai

Wakili wa Serikali: Baada ya Utambulisho huo

Shahidi: DCI akanitaka tena nianze tena Upya Kusimulia
... muda wa saa 2 kuelekea saa 3 usiku umefika nyumbani kwako kutoka kuonana na Mbowe (Mikocheni huko). Baada ya kutafakari, "likakushinda kumeza" ukaamua kumpigia DCI. DCI akakuelekeza uende ofisini kwake kesho (Dar es Salaam nadhani; hajahamia Dodoma tarehe hizo? Itakuwa Dar maana Dodoma jengo la Polisi halina ghorofa 7).

Kesho yake unaenda kwa DCI mkiwa kwenye mazungumzo anaingia mtu mwingine ambaye ulikuja kugundua ni ACP Ramadhan Kingai (ambaye kituo chake cha kazi ni Arusha)!!!!!!! Bagosha! Jifunzeni kutengeneza igizo lenye mashiko basi! Soon mtaenda kujua kwamba hamjui!

Cc: Bome-e, Frank Wanjiru, cool d, et. al. tieni neno hapa. Huyu naye akaribie hapa comte
 

Urio kachezea kelbu (vitasa) sana kule Mbweni, ili tu akubali kuongea hayo aliyoongea.
 
Naona Luten Urio katuletea kitu kimya kumbe Akina Adamo nao walikua Informer lakini wenzie wameshtakiwa kwa ugaidi yeye informer mkuu anakuja kuwazamishia huko shimoni yeye akiendelea kula bata

 
Nilikuwa sijanotice hii kitu,nadhani mawakili wa utetezi watakuwa wameliona hili!Kingai alifika lini Arusha?
 
Cross examination ya huyu na jopo la utetezi ni paka j3 au j4 hawawezi kumuacha hivi hivi lazima wamchanganye hakane watu bila kujua
Huyu kasha jengewa nyumba..kawa tahaira
 
Urio kachezea kelbu (vitasa) sana kule Mbweni, ili tu akubali kuongea hayo aliyoongea.
Mahita alimla marungu akiwa ametundikwa kichwa chini miguu juu akalia kama mbusi ya kichaga! meeeeee! nitakubali nitasema eeeehhh mmeeee!
Mahita: hili ni agizo la mwenyenchi JPM kwani mbowe mmezaliwa pamoja! Haya ongea na rais live hapa!! JPM:-- We urio shimboni shafyo-- usiposema hapo unaishia kutupwa kwenye mto wenye mamba unasikia Mimi ndiye Lahisi. Umesikia? Kibano====Meeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeemhhhhhhhhhh keleuwiii-----
General Mabeyo unaliaibisha Jeshi kwa mtindo huu!!
 
The young people think the old people are fools -- but the old people know the young people are fools"
— Agatha Christie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…